tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
wa2 acheni kukalili!we fuata maelekezo yaliyomo kwenye tangazo husika,ila kwa ajira za serikalini,barua lazima iandikwe kwa mkono(sio typing)na ndilo huwa hawasemi!lakini mengine yote husemwa.
hiyo ya kuandika kwa mkono mnaitoa wapi? Mbona mnaendekeza ujima?