Tume ya Katiba Iondoke Sasa Isiongezewe Muda ni Kupoteza Kodi za Wananchi Bure!!

Tume ya Katiba Iondoke Sasa Isiongezewe Muda ni Kupoteza Kodi za Wananchi Bure!!

William kila siku unazidi kurudi nyuma kimtazamo; CCM ni zidumu fikra za Mwenyekiti, kawaambia mjiandae kisaikolojia WEWE na Bosi wako Bulembo mpo kwenye lindi la usingizi wa pono. Amkeni!!!!
 
Kama ungekuwa unaongelea katiba husingeanza kutaja watu sijui kizee kina nini. Wewe ndiye umeanza kuongelea familia za watu na mara hii umeshasahau ulichoongea au tuambie kama akili zako zinafuata mtiririko wa kile unaongea? Au ukishaongea kitu memory inafuta? Halafu nakuona kama vile huna uzalendo wowote na nchi yako. Uko sana kwenye maslahi binafsi badala ya kuona Tanzania ya baadae wewe unaona si zaidi ya pua yako

- Ungefungua thread yake hapa ninaongelea tume ya katiba, pole sana una muda mpaka wa kufutailia maisha yangu na familia yangu ina maana huna kazi bro? ha1 ha! ha!

- Le Big Shoow
 
William anastahili kuombewa ILI aanze upya harakati za siasa
 
- U know what I love me kwa sababu all my topics huwa hamuwezi kujibu hoja kwa hoja, maana mnajua ukijaribu nitawachana zaidi so huwa mnaleta hizi za ujinga ujinga kujaribu kubadilisha topic, ok boss fungua thread ya Mwalimu na Malecela hii inahusu Tume ya katiba, ha! ha! ha!

Le Mutuz
hapo kwenye nyekundu ndo manake nini
 
Ukishashiba ugali wa Mama Anne Kilango unabaki kuropoka ropoka tu. Ni aibu sana kwa mzee wa miaka 55 ambayo ni umri wa kustaafu hapa nchini kuwa useless kwenye familia. Achana na biashara ya kuwa WALLET ya Abdallah Bulembo, tafuta kazi umpunguzie mzee wako masononeka
 
Unajua humu jamii forums kuna vijana hadi wa secondary, tatizo hizo nguo ulizovaa wengine wanaweza kukuchanganya wakafikiri ni msomi. TUME YA WALIOBA ITAKUFA SIKU MWANASHERIA MKUU wa serikali atakapotia saini katiba mpya.
 
Jamani chonde chonde angalieni msije kusababisha majanga hapa...Huyu mtoto wa Jumanne ni empty.....Anatunzwa na Baba at the age of 55.....lol

Mzee Malecela atakuwa anamkumbuka sana yule aliyegombea UVCCM akapigwa SHAKIZI na Nchimbi alikuwa anaitwa Ipyana kama sikosei, RIP. Baada ya yule naona mzee hana mtoto wa kiume mwenye akili.

Nina uhakika huyu KULA KULALA hajawahi hata kuisoma rasimu ya Katiba, only kwa kuwa Abdalah Bulembo ameipinga na yeye amerukia Bandwagon
 
Yaani hizi ni chuki za wewe na Ustazi John baada ya kushindwa kuishi IKULU. Tunajua mnavyomuunganisha mzee huyu Warioba na kushindwa wewe na baba yako kwenda kuishi ikulu. Vipi ule mzigo mliopokea toka Uarabuni ulishaisha?

mudushi

- HA! HA! ha! bad communication, mimi naongelea tume ya katiba wewe unaongelea mengine kabisa fungua thread yake kama vipi! ha1 ha!

Le Mutuz
 
Hapana, huyu mzee wako bwana hata dingi wa taifa hili alimkataa kwa kukosa weledi na hekima ya kuwa kiongozi, hata wewe ulikosa ubunge wa east africa kwa kukosa hekima kila siku ni Warioba na Slaa sijui unafikiri hawa ndo waliosababisha mshua wako achanganyikiwe na kusababisha wewe kukosa Uridhiwani!!!!?. Kwa comments zako naona hufai kuwa hata kiongozi wa nyumba kumi. Nani aliyesema mabaraza ndo yaliyokuwa yanatakiwa kutoa maoni kwa kupinga rasimu au ndo akili ilivyo fupi? mwongozo uliotolewa ni uboreshaji wa rasimu siyo kubadilisha maudhui ya kile walichokikusanya kwa wananchi kama ungekuwa na hekima nafikiri ungeanza kuhoji kwa nini wananchi waliotoa maoni walitaka Serikali tatu badala ya kila ukimuona Warioba na Butika uanfikiri ni Slaa hivyo uharo unakutoka.

- Hakuna baba wako hapa kama huna hoja nyamaza waachie wengina maana baba yako hahusiki hapa, ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
- HA! HA! ha! bad communication, mimi naongelea tume ya katiba wewe unaongelea mengine kabisa fungua thread yake kama vipi! ha1 ha!

Le Mutuz

Kwa vile hakuna cha kujadili kwenye thread hii wacha tukujadili wewe mtoa thread. Hata wenzio wa Lumumba wanaingia na kutoka hapa kwa kushindwa kukusaidia!
 
Kama ungekuwa unaongelea katiba husingeanza kutaja watu sijui kizee kina nini. Wewe ndiye umeanza kuongelea familia za watu na mara hii umeshasahau ulichoongea au tuambie kama akili zako zinafuata mtiririko wa kile unaongea? Au ukishaongea kitu memory inafuta? Halafu nakuona kama vile huna uzalendo wowote na nchi yako. Uko sana kwenye maslahi binafsi badala ya kuona Tanzania ya baadae wewe unaona si zaidi ya pua yako

- Nimeisema tume na madudu yake na wahusika, nilitegemea utajibu hoja naona unahangaika sana jibu hoja, ha! ha! hayo mengine siyaogopi ila hapa sio pake! ha! ha1

Le Mutuz
 
Kwa vile hakuna cha kujadili kwenye thread hii wacha tukujadili wewe mtoa thread. Hata wenzio wa Lumumba wanaingia na kutoka hapa kwa kushindwa kukusaidia!

- Sijawahi kuja hapa kutegemea kusaidiwa na mtu, tatizo lako unanishambulia kwa mambo ambayo ni ya Viongozi wako zaidi ndio maana nakushangaa maana unakuwa unawacheka Viongozi wako mwenyewe wa Chadema, ha1 ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
- Nimeisema tume na madudu yake na wahusika, nilitegemea utajibu hoja naona unahangaika sana jibu hoja, ha! ha! hayo mengine siyaogopi ila hapa sio pake! ha! ha1

Le Mutuz

Kuna hoja gani katika bandikom lako hili zaidi ya chuki yako na Mzee Warioba? Hata yule Bulembo atakuwa aliyaongea yale kwa maagizo yako na mzee wako
 
- Nah! sina sababu ya kumshoot down aliyeunda tume kwa sababu ametumia katiba, na so far hajakosea ninataka katiba mpya lakini inayofuata Sheria ya kuibadilisha ambayo ipo wazi sana ndio ninasema Wapinzani ombeni kuahirishwa kwa hili zoezi la katiba mpya maana time is not on your side now hata ianguke mvua ya mawe ni CCM yenye Wabunge wengi bungeni ndio itakayokuwa na haki kisheria kuamua katiba iwe vipi,

- NI USHAURI WA BURE TU SUBIRINI MPAKA MUWE NA WABUNGE WENGI BUNGENI SASA HAMNA NAMBA ZA KUTOSHA KUBADILISKA KATIBA AS U WANT!!

LE Mutuz
Hivi ulishaisoma Sheria ya Mabadiliko ya Katiba [Sura ya 83 Toleo la mwaka 2012] na kujiuliza maswali kuhusu maana ya kipengele cha 8(2) na pia kipengele cha 10 ambapo sahihi ya Mwenyekiti wako Taifa ameiridhia na sasa inatumika kama sheria.

Nguvu hizo za Tume ya Jaji Warioba unazozipigia kelele pamoja na mambo mengine zinatoka hapa,

8.-(1) Hadidu za rejea za Tume zitakuwa kama zilivyoainishwa katika vifungu vya 9 na 17 vya Sheria hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (1), Tume inaweza kushughulikia jambo lolote kama itakavyoona inafaa katika kutekeleza majukumu yake.
(3) Tume itakamilisha kazi yake ndani ya kipindi kisichozidi miezi kumi na nane kuanzia tarehe ya kuanza kazi.
(4) Endapo Tume itashindwa kukamilisha kazi yake ndani ya kipindi kilichoelezwa katika kifungu kidogo cha (3), Rais, kwa
makubaliano na Rais wa Zanzibar, anaweza kuongeza muda usiozidi miezi miwili ili kuiwezesha Tume kukamilisha na kuwasilisha ripoti.
9.-(1) Majukumu ya Tume yatakuwa ni-
(a) kuratibu na kukusanya maoni ya wananchi;
(b) kupitia na kutafiti usahihi na ulinganifu wa masharti ya kikatiba yanayohusu mamlaka ya wananchi, mifumo ya kisiasa, demokrasia, utawala wa sheria na utawala bora;
(c) kutoa mapendekezo kwa kila hadidu ya rejea; na
(d) kuandaa na kuwasilisha ripoti.
(2) Katika kutekeleza masharti ya kifungu kidogo cha
(1), Tume itaongozwa na misingi mikuu ya kitaifa na maadili ya jamii ya kuhifadhi na kudumisha mambo yafuatayo:
(a) kuwepo kwa Jamhuri ya Muungano;
(b) uwepo wa Serikali, Bunge na Mahakama;
(c) mfumo wa kiutawala wa kijamhuri;
(d) uwepo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar; (e) umoja wa kitaifa, amani na utulivu;
------ -----------------
10.Tume itakuwa na mamlaka na uhuru kwa kadri itakavyokuwa muhimu kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu na mamlaka yake chini ya Sheria hii na haitaingiliwa na mtu au mamlaka yoyote.
 
Kuna hoja gani katika bandikom lako hili zaidi ya chuki yako na Mzee Warioba? Hata yule Bulembo atakuwa aliyaongea yale kwa maagizo yako na mzee wako

- ha! ha! ha! tume imekosa muelekeo toka siku nyingi sana inajiingiza kwenye media kutafuta nini? Ni tume gani Duniani umewahi kuisikia inatakiwa kukusanya maoni lakini yenyewe inaaanza malumbano na walioichagua sijawahi kusikia ndio maana nasema hii tume ni useless, vipi una maoni gani on that? ha1 ha! ha!

Le Mutuz
 
- Unajisema mwenyewe kuwa ni mweupe maana huwezi kuwa umejaa ukaja kupoteza muda na mtu mweupe, ha1 ha1 leo hamchomoki hapa nimewashika pabaya na tume yenu, ha! ha! ha1

Le Mutuz

Siwezi kuacha watu kama wewe walete upotoshaji kisa nionekane mweupe! Nitapambana na wewe kila utakapo jaribu kupotosha wengine. Wewe ni nani ututolee amri kuwa tume iondoke kwa kuwa inakula kodi zetu. Wewe unalipa kodi?
 
Kuna hoja gani katika bandikom lako hili zaidi ya chuki yako na Mzee Warioba? Hata yule Bulembo atakuwa aliyaongea yale kwa maagizo yako na mzee wako

Anadhani baba yake alikosa urais kwasababu ya Warioba na Butiku kumchongea kwa Mwl. Nyerere!
 
- Nimeisema tume na madudu yake na wahusika, nilitegemea utajibu hoja naona unahangaika sana jibu hoja, ha! ha! hayo mengine siyaogopi ila hapa sio pake! ha! ha1

Le Mutuz

tume ilioundwa na rais wa bara na pwani ina madudu eti mhhhhhhhh kazi kweli ..ile kazi yenu na bulembo kumshambulia huyu mzee imeishia wapi?au unaiiendeleza humu kwenye mtandao
 
Back
Top Bottom