Tume ya Katiba Iondoke Sasa Isiongezewe Muda ni Kupoteza Kodi za Wananchi Bure!!

Tume ya Katiba Iondoke Sasa Isiongezewe Muda ni Kupoteza Kodi za Wananchi Bure!!

mzee Warioba ana upeo mkubwa kuliko wewe, babako na mamako yule mpiga mayowe na kelele bungeni
 
Le mutuz (FIELD MARSHALL ES) Siyo huyu mwenye njaa sasa kweli maish yanabadilika na kma isingekuwa Mama Kilango kwenda kumchoa ughaibuni sijui ingekuwaje
 
- Mkuu wacha kuongelea usiyajua ongelea unayoyajua haya ya USA huyajui ungeyajua basi usingeandika hizi nyepesi nyepesi, ha1 ha! ha!

Le Mutuz

Le Mutuz!
Wewe ndiyo hoja zako kuhusu Kamati ya Mzee Warioba ndiyo lege lege mno na hazina mashiko!Habari sijui kama Mzee Warioba anatugawa wananchi hazina any legitimate back up;habari kama Mzee Warioba anapenda media nazo ni za hovyo hovyo tu!

Labda usichojua ni kuwa Tume ya Warioba itakusanya mawazo tu na kuyahifadhi kwenye kumbukumbu,vitakuja vitu kama Bunge la Katiba na referendum ili wananchi wapige kura kuamua kama rasimu na vipengele vyake vipite au la!Kumsakama Mzee Warioba kwa kazi halali aliyopewa kisheria ni kutojua lolote!

Hii habari yako kila unairudia hapa kuwa CCM lzm wafanye watakalo ktk katiba kwa sababu wapo wengi Dodoma mjengoni inaonyesha hujui lolote kuhusu katiba inavyotengenezwa!Nakukumbusha pia kuwa kazi ya Bunge hili ni kupitisha tu katiba na kazi kubwa ya kuundwa katiba inafanywa na Bunge la Katiba ambalo wajumbe wake inabidi wasiwe wana siasa wala kupendelea chama chochote kile!

Le Mutuz siku zingine tumia muda wako vyema,fungua hata google uone katiba za wenzetu zilivyotengenezwa;Bunge ni hatua ya mwisho kwenye katiba mpya na Bunge haliwezi zuia katiba ya watu!Badala ya kurandaranda huko na vibinti usiku wa manane kaa chini siku moja moja soma katiba na uundwaji wake!
 
- Sijaona hadidu zako zinaposema tume inatakiwa kutengeneza maoni ya wananchi au? Kuhusu mimi nipo supa sana ndio maaana mabebs wanajigonga gonga sana u know that, so worry not na me I am fine sana!! ha1 ha!

Le Mutuz

Daah jamaa unafurahisha sana kiukweli we hamna demu anayeweza kukupenda bonge mchamba wima unanuka m.a.v.i, selfish mkubwa wewe
 
- Nah nataka katiba bora na ili kupata katiba bora Wapinzani mnahitaji kuomba kuahirishwa kwa mchakato wa sasa mpaka mtakapokuwa na wabunge wa kutosha bungeni so far hamna, ndio political fact on our land, poleni sana huwa mnapenda kurukia rukia sana mambo bila kufanya utafiiti!!

Le Mutuz
This guy is possibly mentally derranged.
 
W. J. Malecela
any constitution amendment which does not come through the ballot is a big joke! I am not in favor of this tume however if Tanzanians wants their katiba changes implemented through the group of morons then let it be done that way; why the government is scared to bring the changes through the ballot???? we know what we want; it does not make any sense to give group of people absolute power to do the changes on our behalf; it seems majority of Tanzanians don't the faith with TUME so why take short cut??? extending their time does not mean anything because whatever outcome will not reflects the will of Tanzanians; we missed opportunity of making real changes because of lack of strong opposition and I still doubt if MPs who were elected through corruptions and other means can bring the changes!
 
Last edited by a moderator:
Inaelekea haikuingii akilini katiba ni zaidi ya chama na ni mustakabali wa nchii na vizazi vya watoto wetuu.. Mawazo yako yamejengwa juuu ya chama kushika hatamu na naona kweli kimefanikiwa maana hata mawazo yako yameshikwa hatamu, bahati mbaya ni kwa fikra za mwenyekiti zinatofautiana na unachokiamini... ndani ya ccm unatapatapa na kila hatua unayochukua unajichimbia kaburiii... kwenye haya mambo ya katiba unatakiwa uwe makini sanaa maana ushatoa kauli nyingi za utata ambazo zinaonyesha unapingana na kumdhalilisha mwenyekiti wakoo, slow down boy... na anza kufikiria maisha yako nje ya ccm yatakuwaje... unapenda kujipa ubwana mkubwa ambaoo ambao huna na kutoa kauli za kumshurutisha mwenyekiti wakooo.... i told u before and i willl say the same word, ''watch your back boy.''

Kidumu Chama cha Mapinduzi
Zidumu fikra za mwenyekiti na siasa ya ujamaa na kujitegemea..
 
Du! Huyu bwana W. J. Malecela ni sawa sawa na bonge la kamasi!!! Unbelievable!!
 
Huku kwetu usukumani tunamuona huyu jamaa kama vile alitolewa NDAGU na mzee wake nyakati zile za ndoto ya urais ndo maana kichwa chake hakipo timamu
 
Le Mutuz!
Wewe ndiyo hoja zako kuhusu Kamati ya Mzee Warioba ndiyo lege lege mno na hazina mashiko!Habari sijui kama Mzee Warioba anatugawa wananchi hazina any legitimate back up;habari kama Mzee Warioba anapenda media nazo ni za hovyo hovyo tu!

Labda usichojua ni kuwa Tume ya Warioba itakusanya mawazo tu na kuyahifadhi kwenye kumbukumbu,vitakuja vitu kama Bunge la Katiba na referendum ili wananchi wapige kura kuamua kama rasimu na vipengele vyake vipite au la!Kumsakama Mzee Warioba kwa kazi halali aliyopewa kisheria ni kutojua lolote!

Hii habari yako kila unairudia hapa kuwa CCM lzm wafanye watakalo ktk katiba kwa sababu wapo wengi Dodoma mjengoni inaonyesha hujui lolote kuhusu katiba inavyotengenezwa!Nakukumbusha pia kuwa kazi ya Bunge hili ni kupitisha tu katiba na kazi kubwa ya kuundwa katiba inafanywa na Bunge la Katiba ambalo wajumbe wake inabidi wasiwe wana siasa wala kupendelea chama chochote kile!

Le Mutuz siku zingine tumia muda wako vyema,fungua hata google uone katiba za wenzetu zilivyotengenezwa;Bunge ni hatua ya mwisho kwenye katiba mpya na Bunge haliwezi zuia katiba ya watu!Badala ya kurandaranda huko na vibinti usiku wa manane kaa chini siku moja moja soma katiba na uundwaji wake!

- Umejichanganya sana kwa mtu unayeishi majuu, hakuna taifa lolote duniani limewahi kurekebisha katiba yake huku bunge lake likiwa na wabunge 280 majority na 46 minority, haijawahi kutokea ina maana hata wewe kuishi kwako majuu hakujakusaidia, huo usiku wa manane ninapookwenda club huwa ninaenda kwenye Club ya Mwenyekiti wako wa Chadema, sasa mwenye makosa yupi mimi visitor au mmiliki?

- Rudia tena post hakuna point hata moja nimemtaja Warioba, tatizo langu ni Tume nzima haifai kwa sababu badala ya kukusanya maoni wamekuwa wakitengeneza maoni na nimejionea kwa macho na masikio yangu sio kama wewe uliye mbali unayasikia haya mambo hapa halafu eti unajua unajua nini? Muswaada uliosainiwa na Rais ulipitishwa na nani kama sio WAbunge wengi wa CCM? Inaonyesha huelewi kitu kabisa maana ungekuwa ungeeelewa ni kwa nini Wabunge wa Republican walifunga Serikali ya huko unakoishi ni kwa sababu ya wingi wao bungeni sio kwa sababu nyingine yoyote,

- Kwa kawaida huwa ninakuheshimu sana kumbe ni bogasi kabisa, sasa humu JF nani wa kumuamini maana mimi nilidhani wewe u nazo akili sio kama hawa wengine mamburulazz, lakini na wewe unaandika kama ngumbaru, hasara sana hili taifa sasa si mrudi tu nyumbani maana nini faida ya kuwa na watu kama wewe nje hata hujui kinachoendelea kwenye taifa unaloishi unakuja kujikanyaga kanyag hapa si ungenyamaza tu! ha1 ha1 ha! ha!

LE Mutuz
 
W. J. Malecela
any constitution amendment which does not come through the ballot is a big joke! I am not in favor of this tume however if Tanzanians wants their katiba changes implemented through the group of morons then let it be done that way; why the government is scared to bring the changes through the ballot???? we know what we want; it does not make any sense to give group of people absolute power to do the changes on our behalf; it seems majority of Tanzanians don't the faith with TUME so why take short cut??? extending their time does not mean anything because whatever outcome will not reflects the will of Tanzanians; we missed opportunity of making real changes because of lack of strong opposition and I still doubt if MPs who were elected through corruptions and other means can bring the changes!
point of correction... we are not amending the constitution,we are making the new constitution.
 
Last edited by a moderator:
Inaelekea haikuingii akilini katiba ni zaidi ya chama na ni mustakabali wa nchii na vizazi vya watoto wetuu.. Mawazo yako yamejengwa juuu ya chama kushika hatamu na naona kweli kimefanikiwa maana hata mawazo yako yameshikwa hatamu, bahati mbaya ni kwa fikra za mwenyekiti zinatofautiana na unachokiamini... ndani ya ccm unatapatapa na kila hatua unayochukua unajichimbia kaburiii... kwenye haya mambo ya katiba unatakiwa uwe makini sanaa maana ushatoa kauli nyingi za utata ambazo zinaonyesha unapingana na kumdhalilisha mwenyekiti wakoo, slow down boy... na anza kufikiria maisha yako nje ya ccm yatakuwaje... unapenda kujipa ubwana mkubwa ambaoo ambao huna na kutoa kauli za kumshurutisha mwenyekiti wakooo.... i told u before and i willl say the same word, ''watch your back boy.''

Kidumu Chama cha Mapinduzi
Zidumu fikra za mwenyekiti na siasa ya ujamaa na kujitegemea..

- Nonsense!!

LE Mutuz
 
point of correction... we are not amending the constitution,we are making the new constitution.

Thanks for correction but it doesn't matter whether we do amendments or we write new constitution any measure should come through the ballots and not through the TUME; are sure the so called Tume ya Katiba is not biased? will it be able to take into consideration all suggestions or concerns raised by Tanzanians? There so many answered questions so if we really want to have new constitution then let Tanzanians have direct say through the votes!
 
This guy is possibly mentally derranged.

He is a MORON!Sometimes he doesn't know that he is making a fool of himself by coming up with these nonsensical comments on here!This guy Malecela is physically aged but his mental maturity level is like that of a TODDLER.What a retard!
 
- ha! ha! kwanza sina watoto 4 na besides fungua thread inayonihusu, Katibu wako wa Taifa ameacha mke na sasa anagombea mke wa mtu, so tumia akili kidogo unapoamua kuongelea mambo yasiyohusu maana huenda unajicheka mwenyewe, afadhali ya kukimbizana na kila lulu single babes kuliko mke wa mtu kwenda naye mahakamani, ha! ha! ha!

LE Mutuz

Hivi kama sio laana ni nini. Hapo kwenye red colour umeonyesha ulivyokuwa na laana, hivi kweli a person with 55+ anaweza kutoa maneno kama haya kwa 20+ person. Hapana hii ni laana. Hivi huyu si mjukuu wako wewe kibabu.
 
Back
Top Bottom