Tume ya Madini, Eng. Yahya I. Samamba Acting Executive Secretary amekaimu kwa miaka 3 Hakuna Mtanzania mwenye uwezo wa nafasi hiyo?

Tume ya Madini, Eng. Yahya I. Samamba Acting Executive Secretary amekaimu kwa miaka 3 Hakuna Mtanzania mwenye uwezo wa nafasi hiyo?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Tanzania ina Rais wa ajabu sana, Tume ya Madini ni Taasisi muhimu sana nchini , cha ajabu

Eng. Yahya I. Samamba​

Acting Executive Secretary amekaimu nafasi hiyo kwa miaka 3 sasa.

Ina maana Tanzania hakuna mtu wa kuweza au mwenye uwezo kusimamia Tume ya madini ?

In aibu kubwa sana, hata Prof Manya umekosa uwezo wa kumshauri Rais tangu uteuliwe kuwa Naibu Waziri na kuachia nafasu hiyo muhimu kwa kipindi cha miaka 3?
 
Back
Top Bottom