peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Tanzania ina Rais wa ajabu sana, Tume ya Madini ni Taasisi muhimu sana nchini , cha ajabu
Ina maana Tanzania hakuna mtu wa kuweza au mwenye uwezo kusimamia Tume ya madini ?
In aibu kubwa sana, hata Prof Manya umekosa uwezo wa kumshauri Rais tangu uteuliwe kuwa Naibu Waziri na kuachia nafasu hiyo muhimu kwa kipindi cha miaka 3?
Eng. Yahya I. Samamba
Acting Executive Secretary amekaimu nafasi hiyo kwa miaka 3 sasa.Ina maana Tanzania hakuna mtu wa kuweza au mwenye uwezo kusimamia Tume ya madini ?
In aibu kubwa sana, hata Prof Manya umekosa uwezo wa kumshauri Rais tangu uteuliwe kuwa Naibu Waziri na kuachia nafasu hiyo muhimu kwa kipindi cha miaka 3?