Tanzania ina Rais wa ajabu sana, Tume ya Madini ni Taasisi muhimu sana nchini , cha ajabu
Eng. Yahya I. Samamba
Acting Executive Secretary amekaimu nafasi hiyo kwa miaka 3 sasa.
Ina maana Tanzania hakuna mtu wa kuweza au mwenye uwezo kusimamia Tume ya madini ?
In aibu kubwa sana, hata Prof Manya umekosa uwezo wa kumshauri Rais tangu uteuliwe kuwa Naibu Waziri na kuachia nafasu hiyo muhimu kwa kipindi cha miaka 3?