Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

Unamdanganya nani. Condoleezza Rice ni Professor ana elimu chungu nzima hadi kaenda Moscow kasoma Kirusi, hakuna sehemu ofisi yake, serikali, waandishi wa habari Marekani wanaandika title yake kwa kutaja uprofesa wake

Sisi hapa mmiliki wa kikundi cha wanenguaji akiwa mbunge kwa kigezo cha kujua kusoma na kuandika (Kiswahili na kilugha pekee, hakuna lugha nyingine), baada ya miaka mitatu anaitwa Dk. Taletale.
 
Hili Nimeshalijibu Post ya Nyuma kuwa Kama Una PhD hauandikwi ni Daktari..
Unaandikwa Jina lako halafu mwishoni inawekwa Nukta halafu PhD..

Kama Juma hamisu, PhD

Kuhusiana na Proffesor
Proffesor Ni mwalimu na wala Huko Sio Cheo cha kujisifu..

Ukipewa Honorary PhD huwezj kuiandika kwa sababu Wamerkani hawana Preffix isiyo ya Kitaalma
 
Proffesor its not a Big deal Here in USA
 
Na condoleezza ana only PhD..
Na PhD mara nyingi kwa marekani na Mataifa Mengi Hawaipi Umuhimu wa Initial wala Preffix
 
Hizi ni za kuombea kazi mkuu. Yaani umeingia kwenye platforms za ajira au company portfolio. Wenzetu hawana sana haya mambo ya kuitana wakili msomi au CPA. Ila si tatizo tukiitana huku ni sawa pia.
Platform Ipi ya kuombea kazi??
Kasome tena nilizokutumia Na ukitaka Zipo nyingi Nimesort majina machache kwa ajili ya Kumuonyesha aliyesema anataka Sehemu yoyote imeonyesha hivyo
 
Mkuu, mtu akiandika Mohamed Said CPA ni sawa. Lakini huwezi kuandika CPA Mohammed Said.

Tatizo ni CPA kutangulia kabla ya jina. Hiyo namaanisha ni title.

Unaweza kuandika Mohamed Said, PhD lakini huwezi kuandika PhD Mohamed Said.

Tatizo hapa ni CPA kutangulia kabla ya jina. Hiyo inaifanya ionekane kama vile ni title which is wrong.
 
Platform Ipi ya kuombea kazi??
Kasome tena nilizokutumia Na ukitaka Zipo nyingi Nimesort majina machache kwa ajili ya Kumuonyesha aliyesema anataka Sehemu yoyote imeonyesha hivyo
Mkuu, ni prof qualification. Inatumika kuombea ajira au tenda. Hizo linkedin na page zinazoonyesha portfolio za watendaji ni sehemu rasmi za kuombea kazi au tenda au utambulisho wa waajiriwa. Ila again, binafsi sioni tatizo mtu akijipachika hayo majina hata akiwa anatambulishwa msibani.
 
Mkuu, mtu akiandika Mohamed Said CPA ni sawa. Lakini huwezi kuandika CPA Mohammed Said.

Tatizo ni CPA kutangulia kabla ya jina. Hiyo namaanisha ni title.

Unaweza kuandika Mohamed Said, PhD lakini huwezi kuandika PhD Mohamed Said.
Upo sahihi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…