Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

Mkuu, ni prof qualification. Inatumika kuombea ajira au tenda. Hizo linkedin na page zinazoonyesha portfolio za watendaji ni sehemu rasmi za kuombea kazi au tenda au utambulisho wa waajiriwa. Ila again, binafsi sioni tatizo mtu akijipachika hayo majina hata akiwa anatambulishwa msibani.
Katika Majina niliyotuma Linkedn ni Moja tu tena ya Mwishoni..
 
Marekani Gani unayozungumzia Dunia Nzima CPA..Lazma watambulishwe Kwa Initial Aidha kwa kuandikwa mwanzo mwa Jina au Mwisho wa Jina..

Marekani wanatumia Mfumo wa Kuandika mwisho wa Jina kama Daktari anavyoandikwa..

Freddie matuja,CPA
Freddie matuja, MD

Ila sio mwanzo kama Uandishi wa Bristish
Dr Freddie Matuja
CPA freddie Matuja.

Tanzania Inafuata Mfumo wa British..

Acha uongo. Kwanza British hawatumiki CPA.

Tofauti na qualified Accountants wa USA, British wanatumia CA, Chartered Accountant. Hivyo kusema British wanatumia CPA kama title ni upotoshaji.
 
Diploma Mambo Jambo. Hii ipo sawa?
Kwamba Diploma Ikae mwanzo mwa jina?
Kuna Vitu unatakiwa kujua Kuna Qualification na Proffesionalism..

Kwa mfano Engeneer Ni Proffesional Ila Qualification yake ni Aitha civil au masomo mengine yanayoHusu engeneer..

Preffix haitambulishi Qualification Bali inatambulisha Proffesionalism..

Kumbuka Mwanasheria Hawezi kuitwa Advocate mpaka awe ni Amesoma Law school..

So proffesionalism ndo hutambulishwa na Eidha Preffix ama surffix..

Kwa Mfano Huwezi Kuandika MMED (Paed) Mambo jambo..

Hii Ni qualification..

Ila utaandika Kama proffesional..

Mambo jambo,MMED,MD (Kwa mfumo wa Marekani)

Ila kwa Mfumo wa Bristish Utaandika Dr Mambo Jambo
 
Acha uongo. Kwanza British hawatumiki CPA.

Tofauti na qualified Accountants wa USA, British wanatumia CA, Chartered Accountant. Hivyo kusema British wanatumia CPA kama title ni upotoshaji.
Mkuu Unajua maana Ya Mfano???
Ningeweza Kuandima CA ila nimetoa mfano..
Ili kuonyesha na kutofautisha Preffux na initial baina ya Nchi..

Na ndo maana umeona nimeonyesha Mpaka kada nyingine hapo
 
Hapa ni ofisi za umma? Hizi si ni platforms za kuombea kazi na kutafuta wateja kwenye field husika. Sasa sisi hapa bongo kwenye ufunguzi wa vyoo vya stendi, kiongozi wa serikali anatajwa kama Advocate utadhani kuna kesi pale stendi. Na tukienda kukagua mafuriko, kiongozi anaitwa CPA utadhani mahesabu ya biashara yanafanyika.
 
Na condoleezza ana only PhD..
Na PhD mara nyingi kwa marekani na Mataifa Mengi Hawaipi Umuhimu wa Initial wala Preffix
Ndio msingi wa hoja yangu, hapa kwetu PhD holder mmoja anadai ni msomi anataka tuhamie Burundi. Ila ukimuuliza ukuaji wa uchumi, anataja gari mikweche namba E ni nyingi na kufanyika kwa harusi nyingi mtaani. Anapima uchumi kwa nyege za watu.
 
Proffesor its not a Big deal Here in USA
Alafu Dr. na CPA ndio big deal si ndio?

Tittle ya mtu ni deal kwenye field yake. Marekani hawawezi kuwa wanacheza gofu, Daktari Mambo Jambo akaitwa Dr., ataitwa Bwana Mambo Jambo. Uku Tanzania hata ukifuma watu wanajisaidia vichakani kama ni madokta bado watataka waitwe kwa vyeo vyao.
 
Wala sio case mkuu.
Nipe Makala au jarida lolote linalomtambulisha mtaalam wa uhasibu iwe USA au UK (kwenye ACCA) ambapo utambulisho wa mhusika unakuwa sawia na maelezo yako.
Marehemu baba yangu alisomea acca miaka ya sabini mwanzoni mpaka miaka ya 80 mwanzoni alikuwa fellowship Ila sikuwahi kuona akijitambulisha na hizo initial.

Ni ushamba tu wa wasomi wa siku hizi.
 
Mkuu Unajua maana Ya Mfano???
Ningeweza Kuandima CA ila nimetoa mfano..
Ili kuonyesha na kutofautisha Preffux na initial baina ya Nchi..

Na ndo maana umeona nimeonyesha Mpaka kada nyingine hapo

Mkuu, mfano wa kutunga...!?

Leta mfano halisi. Wapi zaidi ya Tanzania wanatumika CPA....!!?

Tukianzia tu EA, hakuna, SADC pia, hakuna, West Africa nina uhakika na Ghana na Nigeria hakuna huo upuuzi.

Huwezi kuwa na title ambayo inatambuliwa nchi moja tu.
 
Kwamba Diploma Ikae mwanzo mwa jina?
Kuna Vitu unatakiwa kujua Kuna Qualification na Proffesionalism..

Kwa mfano Engeneer Ni Proffesional Ila Qualification yake ni Aitha civil au masomo mengine yanayoHusu engeneer..

Preffix haitambulishi Qualification Bali inatambulisha Proffesionalism..

Kumbuka Mwanasheria Hawezi kuitwa Advocate mpaka awe ni Amesoma Law school..

So proffesionalism ndo hutambulishwa na Eidha Preffix ama surffix..

Kwa Mfano Huwezi Kuandika MMED (Paed) Mambo jambo..

Hii Ni qualification..

Ila utaandika Kama proffesional..

Mambo jambo,MMED,MD (Kwa mfumo wa Marekani)

Ila kwa Mfumo wa Bristish Utaandika Dr Mambo Jambo
Professional qualifications haijakaa kama title, imekaa kama qualification japo ukiwa una CPA hukatazwi kuitwa CPA so and so sema imekaa kindezi mno tofauti na ukiwa na Phd ukaitwa Dr.
 
Alafu Dr. na CPA ndio big deal si ndio?

Tittle ya mtu ni deal kwenye field yake. Marekani hawawezi kuwa wanacheza gofu, Daktari Mambo Jambo akaitwa Dr., ataitwa Bwana Mambo Jambo. Uku Tanzania hata ukifuma watu wanajisaidia vichakani kama ni madokta bado watataka waitwe kwa vyeo vyao.
Hili Nimeliezea Kwa Marekani Mfumo wa kitaaluma Utatambisha Taaluma yako mwishoni mwa Jina lako..
Ila kwa Ulaya Unaandika Preffix..
Kwa Mfano "Mambo jambo, MD.MMED (paed), Neo.."

Ila kwa Bristish only "Dr Mambo jambo.."

Kwa Marekani Proffesor its Just Job attainment..
Yaani mwalimu Wa chuo..

Sasa mwalimu wa chuo.Huwezi ukawa unamuita Mwalimu hata Nje ya Chuo..

Na ndo maana Unaweza kukuta mwalimu wa Chuo ambaye ni Daktari Pia..na wakati huo huo labda alisoma Engeneer utamuitaje..

Proffesor Engeneer Dr Mambo jambo? 🤣🤣..

Amercan has Distntive way of Naming things
 
Professional qualifications haijakaa kama title, imekaa kama qualification japo ukiwa una CPA hukatazwi kuitwa CPA so and so sema imekaa kindezi mno tofauti na ukiwa na Phd ukaitwa Dr.
Ukiwa na PhD Nchi nyingi sana Huitwi Dr..
Ila unaongezewa Neno PhD mwishoni mwa Jina lako..
Mfano mzuri Angalia Kenya kwa Rais wa Kenya..
Ana PhD ila umewahi kusikia Dr Ruto??
 
Marehemu baba yangu alisomea acca miaka ya sabini mwanzoni mpaka miaka ya 80 mwanzoni alikuwa fellowship Ila sikuwahi kuona akijitambulisha na hizo initial.

Ni ushamba tu wa wasomi wa siku hizi.

Ni uhuni tu wa vijana siku hizi kujionyesha wamesoma.

Kama mtu siyo MD, Vet, PhD holder au Prof, yeye title yake ni Mr, Ms. au Mrs period. Unless atumie title za dini.
 
Ukiwa na PhD Nchi nyingi sana Huitwi Dr..
Ila unaongezewa Neno PhD mwishoni mwa Jina lako..
Mfano mzuri Angalia Kenya kwa Rais wa Kenya..
Ana PhD ila umewahi kusikia Dr Ruto??
Bado inapendeza. Mambo Jambo, PhD. Hata Mambo Jambo, CPA inapendeza. Ila CPA Mambo Jambo hapana ipo kindezi sana.
 
Back
Top Bottom