Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

Marekani Gani unayozungumzia Dunia Nzima CPA..Lazma watambulishwe Kwa Initial Aidha kwa kuandikwa mwanzo mwa Jina au Mwisho wa Jina..

Marekani wanatumia Mfumo wa Kuandika mwisho wa Jina kama Daktari anavyoandikwa..

Freddie matuja,CPA
Freddie matuja, MD

Ila sio mwanzo kama Uandishi wa Bristish
Dr Freddie Matuja
CPA freddie Matuja.

Tanzania Inafuata Mfumo wa British..
Watu wamekalilishwa tu kua kila Dr, CPA, Eng basi ni za kununua au za mchongo wakati watu wamezisotea miaka kibao darasani.

Mtu Accountant halafu bado anakengeuka nyongo jamaa kuipambania CPA yake, bongo nyoso aisee.
Watu wana wivu wa kipumbavu sana.
 
Watu wana hasira sana na wenzao wanaopiga hatua. Nilishawahi kusema kuwa watanzania wengi sio kwamba wanachukia ufisadi ila wanachochukia ni wao kutohusishwa kwenye huo ufisadi.
Kwenye uzi huu nimeligundua hilo, ndio maana ufisadi hauwezi kuisha.

Mtu hachukii ufisadi ila anawachukia mafisadi, akikalia cheo na yeye anakua fisadi vilevile.
 
Nimesoma ndio maana nimekujibu hivyo. Acheni kutunga title zenu. Kama wewe siyo Dr. au Prof title yako ni Mr, Mrs au Ms period. Ukienda nchi nyingine na kujitambulisha CPA sijui Makalla hakuna atakayekuelewa sana sana watafikiri ni initials zako tu.
Jitungie na wewe yako mkuu, huyo anaejitambulisha CPA wengine tunamtambua na tunaelewa nini anamaanisha.
 
Jitungie na wewe yako mkuu, huyo anaejitambulisha CPA wengine tunamtambua na tunaelewa nini anamaanisha.
Sawa sijakataa kuwa hamumuelewi. Ndiyo maana nimesema somewhere kuwa Tanzania wataekewa. Ila wakitoka nje ya nchi hakuna atakayekuelewa tofauti na title nyingine. Made in Tanzania.
 
Ni upuuzi, ushamba na ujima wa akili kutumia initial ya CPA, inamana na waliosomea taaluma za procument, utawala na wao waweke miinitial ya kihafidhina na ufashisti kama hiyo CPA. Kwanza hata hainogi ni aibu.
 
Kila kukicha TANZANIA haikosi vituko.

Tume ya madini tuambieni mtumishi jina kuanza na neno CPA, ni nini maana yake na kirefu chake ni nini.

Mfano ni huu hapa👇

1. CPA. William E. Mtinya
Director, Corporate Services Department.

2. CPA. Elikana P. Buremo
Director, Internal Audit Unit.

3. CPA. Mwagule D. Ikunga
Manager, Finance and Accounts Section.

Hii imetupa taharuki, na mambo yakienda hivi , Kuna siku utumishi wa umma ,utakuwa ni kijiamulia kuchagua cheo cha kujiita.
Cc financial services
 
Ni upuuzi, ushamba na ujima wa akili kutumia initial ya CPA, inamana na waliosomea taaluma za procument, utawala na wao waweke miinitial ya kihafidhina na ufashisti kama hiyo CPA. Kwanza hata hainogi ni aibu.

Procurement waliokuwa certified wanaweka

CPSP(T) mushi Ndesaruo

Km hakuna ulazima basi hata Dr na prof not necessary
 
CPA - Certified Public Accountant. Au nimekosea soulimeti? Ni title tu sawa na Mhandisi, Dr, Prof....

View attachment 2964357
Kwa uelewa wangu mwenye CPA huitaja, ila ni baada ya jina, ila kwa Tz naona ni kinyume. Na wahasibu hawaitwi mhasibu Juma, ila Daktari Juma ipo! WaTz ni limbukeni, faraja ya kuonesha wamesoma ila utendaji na ufanisi hakuna!
 
Mkuu, mfano wa kutunga...!?

Leta mfano halisi. Wapi zaidi ya Tanzania wanatumika CPA....!!?

Tukianzia tu EA, hakuna, SADC pia, hakuna, West Africa nina uhakika na Ghana na Nigeria hakuna huo upuuzi.

Huwezi kuwa na title ambayo inatambuliwa nchi moja tu.
😀😀😀😀 Tuanze na Kenya tu hapo 😀😀
Vector.png
Call Us: +254 (020)4923000
Group-4299.png
Email Us:info@kasneb.or.ke
kasneb : Professional (CPA,CS,CIFA,CICT,CCP) , Diploma (ATD,DICT,DCM) and Technician Examinations


Board Members​

The board provides oversight over the management of kasneb.

Board Members

Senior Management

Dr. Nancy N. Muriuki

Dr. Nancy N. Muriuki
Chairman Of The Board Of Directors.
.
FCPA Prof. Nicholas K. Letting’ PhD, EBS, HSC.

FCPA Prof. Nicholas K. Letting’ PhD, EBS, HSC.
Secretary/Chief Executive Officer
.
Dr. Joseph Maina Kanyi

Dr. Joseph Maina Kanyi
(Representing the Ministry of Education)
.
FCPA George Mokua

FCPA George Mokua
Representing Institute of Certified Public Accountants of Kenya (ICPAK)
.
Eng. Stephen Ogenga

Eng. Stephen Ogenga
Representing Federation of Kenya Employers (FKE)
.
Prof. CPA Elizabeth M. Kalunda

Prof. CPA Elizabeth M. Kalunda
Representing Institute of Certified Public Accountants of Kenya (ICPAK)
.
Dr Percy Opio

Dr Percy Opio
Representing kasneb Board
.
CPA Jane W. Njogu-Macharia

CPA Jane W. Njogu-Macharia
(Representing the National Treasury)
.
Mr. Yussuf M. Ibrahim

Mr. Yussuf M. Ibrahim
Representing Ministry of Public Service, Performance and Delivery Management
.
Ms. Lilian Abishai

Ms. Lilian Abishai
Representing Ministry of Public Service, Performance and Delivery Management

GET IN TOUCH​

kasneb Towers, Off Hospital Road
P.O. Box 41362 00100
Nairobi, Kenya
Tel: 020 4923000, 020 2712640, 020 2712828
ISDN: 020 4923000
Email: info@kasneb.or.ke
Terms and conditions. Another one from Ideas Factory
 
Ni upuuzi, ushamba na ujima wa akili kutumia initial ya CPA, inamana na waliosomea taaluma za procument, utawala na wao waweke miinitial ya kihafidhina na ufashisti kama hiyo CPA. Kwanza hata hainogi ni aibu.
Bahati nzuri/mbaya haiko pale kwa ajili ya kunogesha.Ukitaka ya kunogesha jiite hata Pedeshee,inanoga zaidi.
 
😀😀😀😀 Tuanze na Kenya tu hapo 😀😀
Vector.png
Call Us: +254 (020)4923000
Group-4299.png
Email Us:info@kasneb.or.ke
kasneb : Professional (CPA,CS,CIFA,CICT,CCP) , Diploma (ATD,DICT,DCM) and Technician Examinations


Board Members​

The board provides oversight over the management of kasneb.

Board Members

Senior Management

Dr. Nancy N. Muriuki

Dr. Nancy N. Muriuki
Chairman Of The Board Of Directors.
.
FCPA Prof. Nicholas K. Letting’ PhD, EBS, HSC.

FCPA Prof. Nicholas K. Letting’ PhD, EBS, HSC.
Secretary/Chief Executive Officer
.
Dr. Joseph Maina Kanyi

Dr. Joseph Maina Kanyi
(Representing the Ministry of Education)
.
FCPA George Mokua

FCPA George Mokua
Representing Institute of Certified Public Accountants of Kenya (ICPAK)
.
Eng. Stephen Ogenga

Eng. Stephen Ogenga
Representing Federation of Kenya Employers (FKE)
.
Prof. CPA Elizabeth M. Kalunda

Prof. CPA Elizabeth M. Kalunda
Representing Institute of Certified Public Accountants of Kenya (ICPAK)
.
Dr Percy Opio

Dr Percy Opio
Representing kasneb Board
.
CPA Jane W. Njogu-Macharia

CPA Jane W. Njogu-Macharia
(Representing the National Treasury)
.
Mr. Yussuf M. Ibrahim

Mr. Yussuf M. Ibrahim
Representing Ministry of Public Service, Performance and Delivery Management
.
Ms. Lilian Abishai

Ms. Lilian Abishai
Representing Ministry of Public Service, Performance and Delivery Management

GET IN TOUCH​

kasneb Towers, Off Hospital Road
P.O. Box 41362 00100
Nairobi, Kenya
Tel: 020 4923000, 020 2712640, 020 2712828
ISDN: 020 4923000
Email: info@kasneb.or.ke
Terms and conditions. Another one from Ideas Factory
Mkuu Mbona unapiga kwenye Utosi..
Akiinuka Malizia na shingo
 
Nenda Marekani au UK, haya mavyeo mbele ya majina ni kwa watu kama medical doctors, Dentists na Veterinary Doctors.
Tanzania kuna mambo ya ajabu sana, kama Adv., Arch. Eng. CPA, Dr (za mchongo kama za wabonge baadhi)

Elimu ya vyeti ingeanzia huku, kila taaluma ingekuwa unatoa vyeti na watu wote wangeamua kuweka titles za walichosomea.
Nimeona na wale wa Procurement nao wamekuja na ujuha wao
 
Back
Top Bottom