Hii ni kawaida kwa Tanzania na nchi ambazo kuna ulimbukeni wa elimu. Tumeishi nchi ambazo hadi ujue huyu ni Prof, Dr, Eng nk lazima umjue vizuri walau, usome articles zake au akufundishe.Mbona ni kawaida Mzee Kuanza na Initial Ya CPA ni kama walivyo DR, Mr na zingine
Uko sahihi kabisaHii ni kawaida kwa Tanzania na nchi ambazo kuna ulimbukeni wa elimu. Tumeishi nchi ambazo hadi ujue huyu ni Prof, Dr, Eng nk lazima umjue vizuri walau, usome articles zake au akufundishe.
Ushamba boss. Wakili msomi kwa kingereza anatamkwaje hivi?Wakili msomi ni swala la kidunia, kwani huangalii hata movie za wenzetu Mkuu?
Unaelekezwa nenda kwa cpa top gear ndo amehold cheque yako anaenda kwa cpa top gear analeta janja janja ili apate kakitu kadogo baada ya hapo kila ukiona cpa so and so unaona ni tatizo.Kwa wao kuandika hizo Cpa mbele ya majina yao,naomba unitajie sheria waliyovunja?
Aisee.Unaelekezwa nenda kwa cpa top gear ndo amehold cheque yako anaenda kwa cpa top gear analeta janja janja ili apate kakitu kadogo baada ya hapo kila ukiona cpa so and so unaona ni tatizo.
Kwa hiyo wewe kipofu hujaona hoja hapo? Nikusaidieje CPA GamboshiJenga hoja yenye element za legislative legal Drafting kwanini Sheria ibadilishwe na siyo hisia tu Kwa sababu ya generalization na possible chuki zako binafsi Kwa Makala.Nini athari za ku- maintain status quo na nini faida ya Hilo badiliko unalopendekeza?
Wamepambania wakati hii ni moja ya dying profession, accounts kwa sasa haihitaji mtu wa cpa kuandaa taarifa, ni kazi ya dk 5 tu inafanyika..ni mbwembwe tu hazina maana yoyote, wala thamani ya maarifa si title!Ni mara chache au kama sio zote kumkuta wakili anaanza kujiita Adv. ABCD, ila hao watu wa CPA na wahandisi, wanapenda sana. Lakini sio kesi, wamepambania taaluma hizo acha wajiite watakavyo
Acha kuruka ruka, leta hoja ambayo ni substantive kisheria Kwa Legislative Legal Drafters ,inayokidhi justification ya Amendment ya Sheria husika .Nimekueleza Ili ufanye ku-repeal au ku- Amend Sheria inatakiwa Uje na hoja ya kuonyesha athari mbaya za ku- maintain Status Quo au Justification ya Faida ya kufanya hizo amendment.Tuambie Kwa Mhasibu kuweka ' CPA' mbele ya Jina lake inakukera Nini na Ina athari gani kwako na society at large,vinginevyo utakuwa na matatizo mengine ambayo sidhani hii forum itakusaidia kuyatatuaKwa hiyo wewe kipofu hujaona hoja hapo? Nikusaidieje CPA Gamboshi
wazungu utaona kwenye utendaji wao hapa kwetu utendaji zero ili ujue kama amesoma lzm akuambie au aandike kwenye jina namna hiyo.mfano ni mchumi namba Moja.Eti CPA,Amosi makala!!wafrika bnana!!yaani ni shida,mbona wazungu wengi wala hukuti hayo
Kwamba kazi ya mhasibu ni kuandaa taarifa pekee?Wamepambania wakati hii ni moja ya dying profession, accounts kwa sasa haihitaji mtu wa cpa kuandaa taarifa, ni kazi ya dk 5 tu inafanyika..ni mbwembwe tu hazina maana yoyote, wala thamani ya maarifa si title!
Acha wivu watu wameingia darasani hao.Kila kukicha TANZANIA haikosi vituko.
Tume ya madini tuambieni mtumishi jina kuanza na neno CPA, ni nini maana yake na kirefu chake ni nini.
Mfano ni huu hapa👇wa watumishi wa Tume ya Madini.
1. CPA. William E. Mtinya
Director, Corporate Services Department.
2. CPA. Elikana P. Buremo
Director, Internal Audit Unit.
3. CPA. Mwagule D. Ikunga
Manager, Finance and Accounts Section.
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere , Huwa haitumii hizio initial, kwenu huko tume ya madini ni mabosi wa CAG?
Hii imetupa taharuki, na mambo yakienda hivi , Kuna siku utumishi wa umma ,utakuwa ni kijiamulia kuchagua cheo cha kujiita.
Achana na hao, pia tuna Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Komredi CPA Amos Makalla! Ahahahahaha!!!Kila kukicha TANZANIA haikosi vituko.
Tume ya madini tuambieni mtumishi jina kuanza na neno CPA, ni nini maana yake na kirefu chake ni nini.
Mfano ni huu hapa👇wa watumishi wa Tume ya Madini.
1. CPA. William E. Mtinya
Director, Corporate Services Department.
2. CPA. Elikana P. Buremo
Director, Internal Audit Unit.
3. CPA. Mwagule D. Ikunga
Manager, Finance and Accounts Section.
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere , Huwa haitumii hizio initial, kwenu huko tume ya madini ni mabosi wa CAG?
Hii imetupa taharuki, na mambo yakienda hivi , Kuna siku utumishi wa umma ,utakuwa ni kijiamulia kuchagua cheo cha kujiita.
NI roho pekee ndiyo haiuzwiMbona Musukuma aliweza kununua PhD yake?! Hakuna kitu hakiuzwi Duniani.
Anakwenda turkey,wiki hii,Kuna uwezekano wa kupewa CPA.Tuambie na maza kuitwa Dr ni Dr wa nini?
Inapaswa watu waitwe ndugu/Mr/MRS/MISS tuachane na huu upumbavu sijui Pro/Dr/CPA/Wakili msomiCPA zimeweza kuisaidiaje Tume ya madini, kutatua changamoto za Tume? Mapato ya Tume ya koje?
Tayari kashapewaAnakwenda turkey,wiki hii,Kuna uwezekano wa kupewa CPA.
🤣Tayari kashapewa
Wampe na ufalme