Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Hataki anataka ?👨🏿🦯Mahera hataki brabra
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hataki anataka ?👨🏿🦯Mahera hataki brabra
Yaani watumishi wakiwa wa kuajiriwa itakuwa rahisi kula rushwa popote pale penye mnofu,NEC Ili iweze kutenda haki na kulaumiwa kama haijatenda haki ni lazima kuondoa watumishi wa serikali hasa wakurugenzi na watendaji.wa kata na watumishi wengine. Tume lazima iajiri watumishi wake.
Mkuu ni kweli...lakini usisahau hawa wasomi wetu wakipewa teuzi hasa kipindi cha awamu iliyopita walikuwa wanajitoa ufahamu..mfano mzuri ni Prof Kabudi, na hata Kitila (ukiangalia michango ya Kitila sasa hivi huko Twitter utadhani sio Kitila yule aliyekwenda kuzindua trela kule Ruvu JKT)!Mwalimu anatakiwa awe mfano mzuri kwa wanafunzi wake !!
Namkumbuka huyo bwana Mahera hapo pichani, wakati huo alikuwa na nguvu kama rais wa nchi, ni muuaji mkuu wa demokrasia ya nchi yetu.View attachment 2183424
===
- Kuajiri watumishi wake hadi ngazi ya Wilaya, kata
- Sasa rasmi kusimamia uchaguzi Serikali za Mitaa
- Mapendekezo ya muundo wake yasubiri wadau
Kwa mujibu wa Gazeti la Raia Mwema la Aprili 11, 2022 ni kuwa kuna uwezekano mkubwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuundwa upya kabla ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.
Aidha, gazeti hilo linaelezwa kuwa taarifa za ndani ya Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kikosi kazi zinaeleza kuwa tayari mapendekezo ya kuunda upya kwa NEC yameshawasilishwa kwa Rais Samia na ndani ya muda mfupi chombo hicho kitaundwa upya.
Zaidi ya hayo, inaelezwa kuwa kiongozi Mwandamizi ndani ya CCM alieleza kuwa Tume ya Uchaguzi iliyopo sasa imeonekana machoni mwa watu kuwa imeshindwa kusimamia uchaguzi hasa kutokana na muundo wake uliopo kwa sasa, hivyo kikosi kazi kimependekeza Tume hiyo iwekewe Muundo mpya ikiwamo watendaji wake.
Taarifa juu ya kufumuliwa kwa Tume ya Uchaguzi zinakuja baada kuwapo malalamiko kutoka kwa wadau mbalimbali juu ya Muundo wa NEC pamoja na Mamlaka ya Tume hiyo kushindwa kusimamia Uchaguzi Huru na Haki.
Zaidi kuhusu taarifa hizi soma hapa chini
View attachment 2183528
View attachment 2183541
View attachment 2183542
View attachment 2183543
Chanzo: Raia Mwema
Jambo la muhimu ni kuwa NEC iwe na watumishi wake. Itakuwa na watumishi waje kwa muundo gani, ni suala jingine.Hujaelewa, kufumuliwa ifumuliwe lakini sio kwa utaratibu wa kuajiri kuanzia mtaa, we unategemea ni watumishi wangapi wataajiriwa nchi nzima. Hapo ndio nnapokataa. Ni Kama leo TRA iajiri kuanzia mtaa. Yaani kuwe na ofisi ya mtaa, kata,
Mhalifu kama Mahera hastahili kuumiza vichwa, wapi kwa kumpeleka. Ni kumrydisha kwenye ukurugenzi wa Halmashauri. Anaweza kupelrkwa huko Uvinza au Namanyere. Akileta upuuzi wake, atashughulikiwa huko huko.Dk. Charles Wilson Mahera ( aliyekuwa Mtu wa Hayati Rais Dkt. Magufuli Kiukaribu na Kiutii ) hatakiwi tena hapo, ila huenda bado wanatafakari ni wapi wampeleke Kiuteuzi kama akiondolewa katika hiyo Nafasi Muhimu na Nyeti katika Maamuzi ya Afya ya Kisiasa, Kiusalama na Kidemokrasia nchini.
Kiini macho. Tunataka Katiba Mpya.Tusubiri tuone
Je hawatakuwa na bei ya kuwanunua!?
- Kuajiri watumishi wake hadi ngazi ya Wilaya, kata
- Sasa rasmi kusimamia uchaguzi Serikali za Mitaa
- Mapendekezo ya muundo wake yasubiri wadau
Hautakuwa na maana kabisa kama MAMLAKA YA UTEUZI WA MWENYEKITI WA TUME IABAKI ILE ILE.Huo ufumuaji hautakuwa na maana kama mamlaka ya uteuzi wa mwenyekiti wa tume itabaki ile ile.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ipo kikatiba kwa mujibu wa Ibara ya 74(1-5 na mjukumu yake Ibara ya 74 (6) (a-e), kifungu cha 4c cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343 na Tume kuwa chombo huru kwa mujibu wa Ibara 7 na 11. Tume pia ipo kwenye katiba pendekezwa. Kama ni mabadiliko lazima Katiba ibadilishwe na Bunge litunge sheria piaView attachment 2183424
===
- Kuajiri watumishi wake hadi ngazi ya Wilaya, kata
- Sasa rasmi kusimamia uchaguzi Serikali za Mitaa
- Mapendekezo ya muundo wake yasubiri wadau
Kwa mujibu wa Gazeti la Raia Mwema la Aprili 11, 2022 ni kuwa kuna uwezekano mkubwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuundwa upya kabla ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.
Aidha, gazeti hilo linaelezwa kuwa taarifa za ndani ya Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kikosi kazi zinaeleza kuwa tayari mapendekezo ya kuunda upya kwa NEC yameshawasilishwa kwa Rais Samia na ndani ya muda mfupi chombo hicho kitaundwa upya.
Zaidi ya hayo, inaelezwa kuwa kiongozi Mwandamizi ndani ya CCM alieleza kuwa Tume ya Uchaguzi iliyopo sasa imeonekana machoni mwa watu kuwa imeshindwa kusimamia uchaguzi hasa kutokana na muundo wake uliopo kwa sasa, hivyo kikosi kazi kimependekeza Tume hiyo iwekewe Muundo mpya ikiwamo watendaji wake.
Taarifa juu ya kufumuliwa kwa Tume ya Uchaguzi zinakuja baada kuwapo malalamiko kutoka kwa wadau mbalimbali juu ya Muundo wa NEC pamoja na Mamlaka ya Tume hiyo kushindwa kusimamia Uchaguzi Huru na Haki.
Zaidi kuhusu taarifa hizi soma hapa chini
View attachment 2183528
View attachment 2183541
View attachment 2183542
View attachment 2183543
Chanzo: Raia Mwema
Wewe ni mjinga mmoja mkubwa sana- sasa unamatukana mwenzako sababu ikiwa ni ipi- mjinga sana wewe. HUNA UNALOELEWA NA HIYO NI HULKA ZA UANAHARAKATIKwasababu ya upumbavu wako hujui gharama sio kitu mbele ya amani. Tume ya taifa inge au itasababisha vita siku moja gharama sio kitu.
Wateuliwe na nani sasa?Mfumo mzima wa tume kusiwe na mtu anayeteuliwa na President....
Hapo tunaweza kuanza kujadili mengine
Mama yako asingekuwa na kiuno usingezaliwa- punguza ujingaMjinga ni wewe na kiuno cha mama yako.
Haitasaidia kitu kama watumishi wake wataendelea kuona wajibu wao ni kwa Chama Tawala na sio Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tume iliyopo ilikuwa na mamlaka ya kuwaadabisha wasimamizi wa uchaguzi ambao walionekana dhahiri kuegemea upande fulanilakinini hawakufanya hivyo kwa sababu na wao waliegemea upande ule ule. Tume ilikuwa na haki ya kubatilisha maamuzi ya kuwaondoa wagombea kwa sababu za kijinga lakini hawakufanya hivyo kwa sababu waliunga mkono vitendo hivyo.NEC Ili iweze kutenda haki na kulaumiwa kama haijatenda haki ni lazima kuondoa watumishi wa serikali hasa wakurugenzi na watendaji.wa kata na watumishi wengine. Tume lazima iajiri watumishi wake.