Uchaguzi 2020 Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC), nawasihi, kupitisha jina la Lissu kugombea Urais, ni kuweka rehani Amani na Usalama wa Taifa

sasa kama process ya kutafuta wadhamini tu kashavunja sheria akienda ikulu si ndo itakua balaa, mm nadhan akatwe tu! kwanza haendi kushinda cha pili sio mfuata utaratibu
 
Naona MATAGA walivyotawanyika kila sehemu kuhakikisha wanamchafua Lissu halafu ndo kwanza wanajikuta wanazidi kumpigia kampeni.
Hahhaa hawajui walifanyalo. Kuna mmoja leo ameenda kunajisi mimbari akidhani anawafurahisha kumbe nio kwanza kapeleka Kero nyingine.

Amewakera wakristo na akawakera waislma kwa wakati mmoja

Hii inaitwa kutapatapa.
 
Wacheni woga wa kitoto kama hafai wananchi wataamua,hisia zenu zinalenga kuwadharau wapiga kura kuwa hawana upeo wa kutambua zuri na baya.
 
Haujatumwa na mtu ni maoni yako binafsi baada ya kuvuta Bangi, acha ufala wewe yaani umempiga risasi ukamnyima matibabu ukampora ubunge kaja kuwambia watanzania ukweli unadai anahatarisha Amani? Amani ipi anahatarisha? Mwisho umoja wako na wavuta Bangi wenzako ndiyo ushindi wako kwa maendeleo yapi? Kwani maendeleo ni pesa binafsi toka mfukoni mwa CCM? Maendeleo ni Hisani za CCM? Maendeleo ni pesa za walipa kodi ambao ni watanzania wote wengi wakiwa ni wapinzani na pia wale wasio na vyama. Amani ya Tanzania unavunjwa na CCM kwa vitendo vyake haramu na kishetani kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani unyanyasaji uonevu na sasa wamewapa pesa bichwa kubwa jinga Shibuda na Profeselii mjinga mjinga Lipumba wakaweke pingamizi NEC wakizani watanzania ni wajinga hawajui kuwa CCM ndiyo chanzo cha vitendo vya hovyo hovyo Nchini.
 
Lissu hayuko peke yake ,kuna kundi la baadhi ya maadui wa mafanikio ya taifa hili
Kwa hiyo Tundu Lissu anatumiwa na Maria Sarungi na Fatuma Karume ndio azuiwe kugombea Uraisi?
 
Weka hapa hizo shari nasi tuzipime; au shari zenyewe nizile za nitafuta vitambulisho vya machinga, nitaifumua habari maelezo, nitawalipa watumishi stahiki zao, nitawaongeza mishahara watunishi, nitatoa ajira nk.
Watetezi wa CCM mitandaoni wengi wapo gheto kwa cyprian Musiba wakivuta Bangi wakitoka huko hukimbilia kuanzisha mada pasipo kutafakari, tuendelee kuwashona kwa sindano kali mpaka CCM watambue kuwa ujinga wao umebainika vizuri
 
HUYU KIMA LISSU HAKIKA AMETUMWA NA MABEBERU KUIVURUGA NCHI YETU. ITOSHE TU KUSEMA KAMA TUME ITAKATA JINA LAKE NI VEMA ILA HATA AKIPITISHWA NI BORA ZAIDI MAANA KUSHINDA HASHINDI NA WATANZANIA HAWATOKUBALI UJINGA WAKE WA KULIINGIZA TAIFA PABAYA. TUNAMSTAAFISHA SIASA HUYU RASMI AKAENDELEE KUFANYA MICHEZO YAKE HUKO UBELIGIJI
 
 
Pamoja kiongozi
 
Angalia chadema YouTube
Wewe endelea kuvuta Bangi huku ukijona ni mjanja kumbe unazidi kuichafua CCM inaonekana ni chama cha hovyo sana, mnajinadi mmeleta maendeleo lakini cha ajabu mpo busy kuihujumu kuidhoofisha chadema
 
Watetezi wa CCM mitandaoni wengi wapo gheto kwa cyprian Musiba wakivuta Bangi wakitoka huko hukimbilia kuanzisha mada pasipo kutafakari, tuendelee kuwashona kwa sindano kali mpaka CCM watambue kuwa ujinga wao umebainika vizuri
We baboon endelea kujipa moyo
 
Na yule mgombea aliyemmiminia Lissu risasi ndo haweki rehani amani ya Taifa?

Pia Soma historia ya dunia, Wagombea aina ya Lissu wanaponyimwa haki zao za kikatiba nini hutokea...acheni Ujinga
Sudan Tunisia Egypt Zimbabwe walikuwa na Tabia za hovyo kama za CCM leo hii wapo wapi?
 
Vumilia nagutule shinge
 
Maovu yanayoendelea leo hii huyaoni?

Unazungumzia umoja katika ya chuki za kisiasa mlizopandikiza?

Unazungumzia umoja katikati ya ubaguzi kwa misingi ya kisiasa uliopo leo hii?

Mkateni muone moto wake.
 
lissu ananikumbusha Scofied kwenye prison break..kwamba we are not running. kamwe njia ya kumshida adui sio kumkimbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…