Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Sep 24, 2020 #1 https://www.facebook.com/
Fortilo JF-Expert Member Joined Apr 10, 2012 Posts 5,807 Reaction score 17,416 Sep 24, 2020 #2 Hivi amezungumzia rufaa za ubunge 'wa upinzani' zinazocheleweshwa na sababu yake nini zikiwa zimebaki siku chache kabla ya uchaguzi?
Hivi amezungumzia rufaa za ubunge 'wa upinzani' zinazocheleweshwa na sababu yake nini zikiwa zimebaki siku chache kabla ya uchaguzi?
Madenge Origino JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 1,847 Reaction score 1,095 Sep 24, 2020 #3 NEC wao wana wajibu wa kusimamia Haki itendeke. Mkumbusheni bwana Mahela nyinyi waandishi wa habari ya kwamba Amani ni tunda la Haki!
NEC wao wana wajibu wa kusimamia Haki itendeke. Mkumbusheni bwana Mahela nyinyi waandishi wa habari ya kwamba Amani ni tunda la Haki!
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Sep 24, 2020 Thread starter #4 Sky Eclat said: https://www.facebook.com/ Click to expand... Vyombo vya habari vihimize wananchi mirisho pm said: Hivi amezungumzia rufaa za ubunge 'wa upinzani' zinazocheleweshwa na sababu yake nini zikiwa zimebaki siku chache kabla ya uchaguzi? Click to expand... Hakugusia rufaa kabisa, ana wasiwasi na amani na maneno ya uchochezi kutoka vyama vya upinzani.
Sky Eclat said: https://www.facebook.com/ Click to expand... Vyombo vya habari vihimize wananchi mirisho pm said: Hivi amezungumzia rufaa za ubunge 'wa upinzani' zinazocheleweshwa na sababu yake nini zikiwa zimebaki siku chache kabla ya uchaguzi? Click to expand... Hakugusia rufaa kabisa, ana wasiwasi na amani na maneno ya uchochezi kutoka vyama vya upinzani.
Ngwasa Omuyaya JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 2,629 Reaction score 2,733 Sep 24, 2020 #5 Amani ipi anayoongelea ikiwa Tundu alipigwa risasi mchana na hakuna kinachoendelea mpaka leo. Mahela acha porojo ,amani itakuwepo kama msipoiba kura zetu.
Amani ipi anayoongelea ikiwa Tundu alipigwa risasi mchana na hakuna kinachoendelea mpaka leo. Mahela acha porojo ,amani itakuwepo kama msipoiba kura zetu.
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Sep 24, 2020 Thread starter #6 Ngwasa Omuyaya said: Amani ipi anayoongelea ikiwa Tundu alipigwa risasi mchana na hakuna kinachoendelea mpaka leo. Mahela acha porojo ,amani itakuwepo kama msipoiba kura zetu. Click to expand... Mahera anaongelea amani wakati wabunge kadhaa wa CCM waliopita bila kupingwa
Ngwasa Omuyaya said: Amani ipi anayoongelea ikiwa Tundu alipigwa risasi mchana na hakuna kinachoendelea mpaka leo. Mahela acha porojo ,amani itakuwepo kama msipoiba kura zetu. Click to expand... Mahera anaongelea amani wakati wabunge kadhaa wa CCM waliopita bila kupingwa