Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi, yatoa ratiba ya Uchaguzi 2020

Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi, yatoa ratiba ya Uchaguzi 2020

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Tume ya Taifa ya Uchaguzi, yatoa ratiba ya utekelezajo wa Shughuli za Uchaguzi 2020
RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2020-1.jpg
RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2020-3.jpg
RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2020-4.jpg
RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2020-5.jpg
RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2020-6.jpg
RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2020-7.jpg
RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2020-8.jpg
 

Attachments

Uchaguzi Huu utakuwa Huru na Haki.

Tufanye Kampeni Safi.

Hakuna kutafuta Huruma Ya Wananchi.


Matusi na Kejeli Hazifai.
 
Uchaguzi Huu utakuwa Huru na Haki.

Tufanye Kampeni Safi.

Hakuna kutafuta Huruma Ya Wananchi.


Matusi na Kejeli Hazifai.

Rais tuliye naye sio muumini wa box la kura. Toka ameingia madarakani hakuna uchaguzi wowote uwe wa marudio au wa SM ulifanyika kwa usahihi. Zote aliagiza box la kura linajisiwe.

Hii kusema utakuwa huru na haki, ni ili kuhadaa watu wajitokeze kwa wingi, kwani kinachoendelea kwenye box la kura toka aingie, kimechangia watu kutukujitokeza kupiga kura.

Uchaguzi utakuwa huru kama kuna tume huru ya uchaguzi, sio kwa hadithi za rais anayeagiza box la kura libakwe. Hapo alipo ana matokeo tayari mfukoni.
 
Tumezoea miaka ya uchaguzi mkuu zoezi la uchukuaji wa fomu za tume huwa zinaanza mwanzoni mwa August na kampeni huwa zinaanza wiki ya pili ya August lakini mwaka huu naona ni tofauti sana , kampeni ni siku 60 tu
 
me hata hizo 60 naona ni nyingi, sa mtu ka mgombea udiwani siku zote 60 anakua anaongea nini? ndomana wanatupaga ahadi za uongo coz ukiwa mkweli na mwenye fact siku chache tu zinakutosha na ukaeleweka, ila kwakua siku ni nyingi wanaamuaga kutafuta uongo wa kutosha siku zote
 
me hata hizo 60 naona ni nyingi, sa mtu ka mgombea udiwani siku zote 60 anakua anaongea nini? ndomana wanatupaga ahadi za uongo coz ukiwa mkweli na mwenye fact siku chache tu zinakutosha na ukaeleweka, ila kwakua siku ni nyingi wanaamuaga kutafuta uongo wa kutosha siku zote
Vipi kuhusu mgombea Urais anyapaswa kufika wilaya zote sijui mia mbili na ngapi kwa siku 60? Bado ni nyingi?
 
me hata hizo 60 naona ni nyingi, sa mtu ka mgombea udiwani siku zote 60 anakua anaongea nini? ndomana wanatupaga ahadi za uongo coz ukiwa mkweli na mwenye fact siku chache tu zinakutosha na ukaeleweka, ila kwakua siku ni nyingi wanaamuaga kutafuta uongo wa kutosha siku zote
wanaweka siku nyingi ili wale hela za kampeni!
 
Nimepitia hiyo Ratiba na kuona mapungufu 8 ya haraka katika vipengere vifuatavyo:

12. Kuhusu Kupokea Pingamizi dhidi ya Uteuzi wa Wagombea Ubunge na Udiwani : Hivi ni Madiwani na wabunge pekee waopingwa au hata uteuzi wa Raisi pia waweza kupingwa ?
14: Kushughulikia pingamizi dhidi ya Uteuzi wa Wagombea Ubunge na Udiwani : Pingamizi dhidi ya wagombea uraisi ni lini?
29. Kuchambua na kupanga vifaa vya kupigia kura kwa kila kituo :Hili ndilo linatakiwa kuwa la kwanza au la pili at maximum.
33. Vyama vya siasa kupatiwa Orodha ya Vituo vya Kupigia Kura: Hili liwe la pili baada ya number 29.
37. Mawakala wa Vyama vya Siasa pamoja na Mawakala mbadala kula kiapo cha kutunza siri mbele ya Wasimamizi wa Uchaguzi/ Wasimamizi Wasaidizi kwenye Kata siku 7 kabla ya Siku ya Uchaguzi : Ni siri gani inayozungumziwa hapa? kificho cha matokeo au kiapo cha siri cha mambo mengine. ni yapi hayo?
42. Kuvitaarifu vyama vya Siasa mahali pa kujumlishia kura : de facto, Kwa nini isiwe katika kituo cha kupigia kura? au wanataka kuchakachua
47. Kusafirisha masanduku ya Kura, Fomu na vifaa vya Uchaguzi wa Rais, na Wabunge kutoka vituoni kwenda Makao Makuu ya Halmashauri.  Kusafirisha masanduku ya Kura, Fomu na vifaa vya Uchaguzi wa Madiwani hadi Makao Makuu ya Kata : hapa ndio uchakachuaji wenyewe unafanyika ... matokeo yatangazwe vituoni na majibu yatolewe pale pale kama uchaguzi wa ccm kuwapata wagombea ulivyofanyika
48. Kujumlisha Kura za Uchaguzi wa Rais na Wabunge – Makuu ya Halmashauri  Kujumlisha Kura za Uchaguzi wa Madiwani Makao Makuu ya Kata : Huu ni Mushkeri mwingine huu... kura zihesabiwe mahala zilipo pigiwa full stop , hakuna njia nyingine zaidi ya hii. Tume iyakusanye majibu kutoka kila kituo na kuyajumlisha kwa wazi kama walivyofanya kenya.. short of that ni uchakachuaji.. full stop .

Ni hayo tu kwa leo, maboresha yanaruhusiwa bila mkwaruzo....
 
Hii Tume haiaminiki. Kazi yake kubwa ni kuibeba ccm.

Hivi Mr Amsterdam hawezi kuimulika?
 
Rais tuliye naye sio muumini wa box la kura. Toka ameingia madarakani hakuna uchaguzi wowote uwe wa marudio au wa SM ulifanyika kwa usahihi. Zote aliagiza box la kura linajisiwe.

Hii kusema utakuwa huru na haki, ni ili kuhadaa watu wajitokeze kwa wingi, kwani kinachoendelea kwenye box la kura toka aingie, kimechangia watu kutukujitokeza kupiga kura.

Uchaguzi utakuwa huru kama kuna tume huru ya uchaguzi, sio kwa hadithi za rais anayeagiza box la kura libakwe. Hapo alipo ana matokeo tayari mfukoni.
Kama mnalijuwa hili mmeweka wagombea wa nn?
 
Hii Tume haiaminiki. Kazi yake kubwa ni kuibeba ccm.

Hivi Mr Amsterdam hawezi kuimulika?

Mpaka Mr Amsterdam aje, itakuwa too late...
Mabadiliko ya vipengere vya uchaguzi yafanyike sasa na tume iwashirikishe wadau wote kabla ya uchaguzi na wakubaliahe na rules zitakao uongoza uchaguzi huu...

Kuingia katika uchaguzi na mapungufu ya vipengere hivyo maana yake wapinzani wamekubali kuchakachuliwa asubuhi na mapema...mchezo lazima uwe sheria ambazo hazijengi mazingira ya upendeleo kwa timu moja...

Halafu kwa sasa duniani hapa mambo Karibu yote ni digital, kwa nini hii tume isiufanye uchaguzi ki-digital ; wanapenda sana kutumia makaratasi, na kuundesha chaguzi ki- analogia- hii njia kwa sasa na tangu zamani imezua manunguniko mengi...

Ni wakati sasa watuletee digital election au uchaguzi utao fanywa kutotiliwa mashaka, ukakasi na ujanja ujanja .
 
Mpaka Mr Amsterdam aje, itakuwa too late...
Mabadiliko ya vipengere vya uchaguzi yafanyike sasa na tume iwashirikishe wadau wote kabla ya uchaguzi na wakubaliahe na rules zitakao uongoza uchaguzi huu...

Kuingia katika uchaguzi na mapungufu ya vipengere hivyo maana yake wapinzani wamekubali kuchakachuliwa asubuhi na mapema...mchezo lazima uwe sheria ambazo hazijengi mazingira ya upendeleo kwa timu moja...

Halafu kwa sasa duniani hapa mambo Karibu yote ni digital, kwa nini hii tume isiufanye uchaguzi ki-digital ; wanapenda sana kutumia makaratasi, na kuundesha chaguzi ki- analogia- hii njia kwa sasa na tangu zamani imezua manunguniko mengi...

Ni wakati sasa watuletee digital election au uchaguzi utao fanywa kutotiliwa mashaka, ukakasi na ujanja ujanja .

Sishauri wafanye kidijitali, wataHACK kisha wajipe matokeo ya uwongo.
 
me hata hizo 60 naona ni nyingi, sa mtu ka mgombea udiwani siku zote 60 anakua anaongea nini? ndomana wanatupaga ahadi za uongo coz ukiwa mkweli na mwenye fact siku chache tu zinakutosha na ukaeleweka, ila kwakua siku ni nyingi wanaamuaga kutafuta uongo wa kutosha siku zote
Kata zote hazilingani, ukienda vijijini kuna mahali umbali wa kuanzia mwanzoni mwa kata hadi mwishoni ni kilometa zaidi ya 30, na si wagombea wote wa magari, wengine watatumia pikipiki na wengine baiskeli na wengine miguu tu. Pia unakuta kata ina vitongoji zaidi ya 10 na ili uweze kukutana na wananchi kwa karibu ni vyema ukafanya mkutano kila kitongoji, hivyo unahitaji siku 10 za mikutano na mikutano hufanyika weekend kwa hiyo katika miezi 2 una weekend 8 tu, zikizidi sana 9. Ndiyo maana siku 60 hazitoshi. Pia kumbuka kuna mikutano ya ngazi ya jimbo atakayolazimika kuwa na mgombea urais.
Hivyo hivyo kwa wabunge. Kwa urais ndiyo kabisaa hazitoshi. Kumbuka tuna majimbo mangapi na mgombea urais ni vyema akafanya mkutano kila jimbo na kwa usafiri wa magari anaweza kufanya mkutano majimbo mawili kwa siku vinginevyo ni kujionyesha tu kwa wapiga kura si kampeni (kumbuka mikutano lazima isizidi saa 12 jioni)
 
Back
Top Bottom