Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi, yatoa ratiba ya Uchaguzi 2020

Bwashee hv mbna mnaweweseka sana na huyu mtu?wakat wagombea wapo wengi tu
Sasa kwa mfano urais nani huko upinzani anakubalika zaidi ya Magufuli?

Tundu Lisu dhambi ya kumkejeli Nyerere inampotezea ushawishi kabisa!
 
wanahesabu kura au wanafanya tallying ya matokeo ya vituoni?
yani tunarudi zile zama za kulinda masandaku halmashhuri ndio yahesabiwe ?
 

Upo sahihi nilimsikia Mnyika akilalamika kuw amwaka huu hakuna kuhesdabu kura vituoni na hata zikihesabiwa hakuna kupewa fomu ya matokeo vituoni, kwahiyo hatutayajua matokeo mpaka wakachakachue halmashahuri.
 
Upo sahihi nilimsikia Mnyika akilalamika kuw amwaka huu hakuna kuhesdabu kura vituoni na hata zikihesabiwa hakuna kupewa fomu ya matokeo vituoni, kwahiyo hatutayajua matokeo mpaka wakachakachue halmashahuri.
Na cha ajabu zaidi ni kwamba hivi vyama vya upinzani vimekubali tu kupelekeshwa pelekeshwa na tume ya uchaguzi, sijui wapinzani wanakubali vipi kufanya mtihani ambao hawakuusomea, ina maana tayari wanayajua matokeo au wamekubalina nayo kabla hata ya mtihani wenyewe kutoka...
 
Sasa kwa mfano urais nani huko upinzani anakubalika zaidi ya Magufuli?

Tundu Lisu dhambi ya kumkejeli Nyerere inampotezea ushawishi kabisa!
60% vijana hata hawakuwahi kumuona Nyerere...umeona msiba wa Mkapa vijana wakiulizwa mnamzungumziaje hawana cha kujibu..nyie vikongwe ni 10% ya Watanzania mnaomjua mwalimu
 
Hiyo namba 7, wagombea kuweka fedha za dhamana ni kinyume cha katiba. Itawanyima fursa baadhi ya wagombea, hela ya fomu tu inatosha. Dhamana tena ya kazi gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…