Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Kiukweli EL aliitikisa ngome ya CCM 2015 ilihitajika kazi ya ziada
Teh teh teh!Jk, anawapa salaaaamuu
Hawapigiwi kura ya NDIYO au HAPANA?1. Ushetu - Elias Kwandikwa
2. Kongwa - Job Ndugai
3. Gairo - Ahmed Shabiby
4. Kilosa - Palamagamba Kabudi
5. Mvomero - Jonas Van Zeeland
6. Morogoro Kusini - Kalogereris Innocent
7. Morogoro Mashariki - Taletale Hamis Shabani
8. Mlele - Eng. Isaack Kamwelwe
9. Kavuu - Geofrey Pinda
10. Songwe - Philipo Mulugo
11. Bukene - Zedi Jumanne
12. Nzega Vijijini - Hamis Kigwangalla
13. Ruangwa - Kassim Majaliwa
14. Mtama - Nape Nnauye
15. Namtumbo - Vita Kawawa
View attachment 1551183
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.Wilson Mahera (katikati) akizunghumza na waandishi wa Habari katika ofisi za Tume Njendengwa Jijini Dodoma leo ambapo ametangaza majimbo 18 ya uchaguzi ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa. Kushoto ni Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpigakura, Givness Aswile na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Habari na Elimu ya Mpigakura, Dk. Cosmas Mwaisobwa.
======
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUTEULIWA WAGOMBEA PEKEE WA UBUNGE KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020 #uchaguzimkuu2020
View attachment 1551101View attachment 1551102
Yaani Philipo Mulugo anakwenda Bungeni unopposed ?
Yule nae walewale tu na Mulugo heri angewekwa mtu mwingine kuliko kumpeleka bungeni Mulugo tena unopposed ni aibu kwa nchi.Halaf degree nne za Kyela zinaenda benchi
Mbona wanadai wabunge 50 sijui wa chadema na act 47 wamekatwa alafu orodha ina majina 18 tu. Kwahiyo kuna majimbo yatakosa wawakilishi au Mimi ndio kichwa changu kizito
Jk, anawapa salaaaamuu
Uzuri wenu mnaongea huku mmejificha nyuma ya keyboardLissu atawatesa Sana na kesho tunaanza maandamano kwenye Majimbo yenu hakuna Cha kupita bila kupingwa
Haya mwambie Dovotha Minja wenu akapambane na Abood sasa1. Ushetu - Elias Kwandikwa
2. Kongwa - Job Ndugai
3. Gairo - Ahmed Shabiby
4. Kilosa - Palamagamba Kabudi
5. Mvomero - Jonas Van Zeeland
6. Morogoro Kusini - Kalogereris Innocent
7. Morogoro Mashariki - Taletale Hamis Shabani
8. Mlele - Eng. Isaack Kamwelwe
9. Kavuu - Geofrey Pinda
10. Songwe - Philipo Mulugo
11. Bukene - Zedi Jumanne
12. Nzega Vijijini - Hamis Kigwangalla
13. Ruangwa - Kassim Majaliwa
14. Mtama - Nape Nnauye
15. Namtumbo - Vita Kawawa
View attachment 1551183
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.Wilson Mahera (katikati) akizunghumza na waandishi wa Habari katika ofisi za Tume Njendengwa Jijini Dodoma leo ambapo ametangaza majimbo 18 ya uchaguzi ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa. Kushoto ni Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpigakura, Givness Aswile na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Habari na Elimu ya Mpigakura, Dk. Cosmas Mwaisobwa.
======
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUTEULIWA WAGOMBEA PEKEE WA UBUNGE KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020 #uchaguzimkuu2020
View attachment 1551101View attachment 1551102
Wewe hapoNini kinazuia kupindua matokeo mwaka huu??
Nimevipata Lumumba hapa CCMViroba vimepigwa marufuku kipindi hiki wewe umepata wapi!
1. Ushetu - Elias Kwandikwa
2. Kongwa - Job Ndugai
3. Gairo - Ahmed Shabiby
4. Kilosa - Palamagamba Kabudi
5. Mvomero - Jonas Van Zeeland
6. Morogoro Kusini - Kalogereris Innocent
7. Morogoro Mashariki - Taletale Hamis Shabani
8. Mlele - Eng. Isaack Kamwelwe
9. Kavuu - Geofrey Pinda
10. Songwe - Philipo Mulugo
11. Bukene - Zedi Jumanne
12. Nzega Vijijini - Hamis Kigwangalla
13. Ruangwa - Kassim Majaliwa
14. Mtama - Nape Nnauye
15. Namtumbo - Vita Kawawa
View attachment 1551183
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.Wilson Mahera (katikati) akizunghumza na waandishi wa Habari katika ofisi za Tume Njendengwa Jijini Dodoma leo ambapo ametangaza majimbo 18 ya uchaguzi ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa. Kushoto ni Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpigakura, Givness Aswile na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Habari na Elimu ya Mpigakura, Dk. Cosmas Mwaisobwa.
======
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUTEULIWA WAGOMBEA PEKEE WA UBUNGE KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020 #uchaguzimkuu2020
View attachment 1551101View attachment 1551102
Ni kweli,tume yetu ya uchaguzi wanaongea mfano wa tume inayofanya kazi kwa kujibu wa sheria.Tume hii sio guru na imejidhihirisha ilivyojibu pingamizi la lissu dhidi ya rais magufuli na prof lipumba, ule uamuzi sio wa kisheria.
Pili,kutosikiliza rufaa za wabunge wa upinzani kwa weledi,
Hapa wanazidisha fitina tu kwa wapinzani wakihisi Cdm,act watajitoa ndiyo wanachohisi