Tume ya Uchaguzi ifanye nini ionekane ipo huru?

Tume ya Uchaguzi ifanye nini ionekane ipo huru?

Wapo wanaodhani kuwa Tume haiko huru na Kuna wanaoamini iko huru.

Wale wasioamini kuwa Tume iko huru kipi Tume ifanye ili ionekane iko huru?
Engua engua ni kiashiria kidogo kionesha kuwa haipo huru. Kitendo cha kutaka tuamini kuwa ccm hakuna hata mmoja mwenye makosa ya ujazaji na uwasilishaji wa form ni kiashiria kuwa tume tume iliwajazia form hizo, hata hizi lawama za tume kwa upinzani tu ktk mwenendo wa kampeni ni kiashiria kuwa haiko huru, kwani kuna makosa makubwa yanayo fanywa na CCM waziwazi lkn tume ipo kimyaaaaa,........
 
Wapo wanaodhani kuwa Tume haiko huru na Kuna wanaoamini iko huru.

Wale wasioamini kuwa Tume iko huru kipi Tume ifanye ili ionekane iko huru?
Acheni kucheza na Amani ya nchi hii sikilizenini mapenzi ya wananchi na sio matakwa ya mtu mmoja nyie ndio mtaibeba amani ya tz na nyie ndio mtapoteza amani ya nchi hii sasa msitangulize masilahi yenu mbele ambao nyie ni kikundi tu cha watu mkashindwa kuwasamini mamilion ya wa tz in short msitupangie acheni wa tz tupange sisi
 
Kwanza hii iliyopo ijiuzulu,iundwe mpya iwashirikishe wadau wa vyama vyote vya siasa.

Mwisho isipokee maagizo toka kwa kina polepole na genge lake la kijani.
 
Nadhani kuilamu Tume Ni kukosa weledi, huko Ni kulaumu kule mlikoangukia badala ya mlikojikwaa. Tatizo la msingi hapa Ni KATIBA yetu na sio tume, msajili wala polisi.
 
Zikitangazwa wanafanyiwa interview na nani? Mwisho wa siku hao tume ni binadamu kwa namna yoyote lazima watakuwa na mafungamano ya chama flani
Lakini watakua mchanganyiko. Ni kama maeneo mengine tu ya kazi mkuu. Sasahivi tume nzima ni CCM kwa sababu wote wameteuliwa na mwenyekiti wa CCM.
 
Back
Top Bottom