Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
what your trying to say hata serikali haina its own server ya kutunza its own data?seriously??My take :you don't know what you're talking about. Have you ever heard of the big business of Data Hosting companies like RackSpace Hosting,IBM Cloud services,Dimension Data ,Lenovo Cloud etc?
Why would organizations need to buy expensive hardware when you can rent space in a more secure place off location for a fraction of the costs?
Tayari hapo wameshikwa pabaya! Si muda tutaskia unatakiwa kurudiwa, eti seva yuko ulaya.! Huyo ndio alihaki mtandao na kuongeza matokeo!
Not necesarily mimi sisemi hivyo.Having your own servers is not a given ,you can rent and you can still own some- same as central banks keeping their $$ at home yet some still find it necesary to keep their money with the Federal Reserve of the USA.what your trying to say hata serikali haina its own server ya kutunza its own data?seriously??
Hii imekaaje?! Tume ya uchaguzi ya Kenya imekataa kuwaruhusu wataalm wa Odinga (NASA) kukagua computer yao kwa madai kuwa server yao iko Ulaya! Hii ni kinyume na amri ya Mahakama ya Rufaa iliyowataka Tume kuwaruhusu NASA kukagua computer hizo!
My take: Tume inataka kuficha nini?
Ukumbuke kuna watu wamesema siasa za kebya ni za kuigwaHii inafanana na huku kwetu
Amri toka juu!!!
Utakuwa na kilema cha ubongo si bureUnakumbuka uvamizi wa ccm kwa talling points za opposition?
Wenzenu kila kitu bayana....nyinyi kila kitu siri si upumbavu huo
Computer generated Leaders. Niliingia kwa website ya IEBC masaa machache baada ya kura kuanza kuhesabia na Kenyatta was leading at 54.1%. Hii winning rate haikubadilika mpaka mwisho. Ni kama vile kulikuwa na ka computer aligorithm kanakocompute resultsWanaosifia demokrasia ya Kenya mkuje. Hakika Odinga aliibiwa kura.
Labda uwe na mkojo wa kutoshaAngalau wenzetu wamefikia hatua ya kuhoji matokeo ya Urais! Hapa kwetu huwezi hata kuthubutu kufikiria!
Ningeshangaa. Leo hii ndo wanakumbuka kusema Server ipo Ulaya? Stupid African politics. Kumbe zile sifa zote kwamba Tume yao ipo huru ni bure tu. Kenya sawa na Uganda, Tanzania, Zimbabwe and all other African Countries
Computer generated Leaders. Niliingia kwa website ya IEBC masaa machache baada ya kura kuanza kuhesabia na Kenyatta was leading at 54.1%. Hii winning rate haikubadilika mpaka mwisho. Ni kama vile kulikuwa na ka computer aligorithm kanakocompute results
Walichotakiwa kukifanya NASA ni kukagua mfumo wa kupokelea na kutangazia matokeo na kujiridhisha kama haukuingiliwa!Hii imekaaje?! Tume ya uchaguzi ya Kenya imekataa kuwaruhusu wataalm wa Odinga (NASA) kukagua computer yao kwa madai kuwa server yao iko Ulaya! Hii ni kinyume na amri ya Mahakama ya Rufaa iliyowataka Tume kuwaruhusu NASA kukagua computer hizo!
My take: Tume inataka kuficha nini?
Hata hivyo huwezi linganisha na ya Tanzania!! Si bora huko mgombea anauwezo hata wa kupinga matokeo mahakamani???! Na mahakama ikayasikilza!! Na wanasheria wakapambana kwa hoja, hapa kwetu hata hayo tu ni ndoto. Kwa afrika kenya wamepiga hatua kubwa sana mbele!!Kuna zile nyumbu zilikuwa zinatiririka humu zinasifia demokrasia ya Kenya.