Mtadhibitiwa mapema sanaWakimkataa ni "NI YEYE" tunaingia road leo
Utadhibitiwa wewe sio sisi ..tutakwenda nao mguu kwa shingo ..kiuno kwa mbavuMtadhibitiwa mapema sana
Mtapigwa kipigo cha mbwa coco,Utadhibitiwa ww sio sisi ..tutakwenda nao mguu kwa shingo ..kiuno kwa mbavu
Tena leo tunaanza afande moloto ..anasura ngumu ka jiwe lkn ile sura yake tutaifunika kiroba wkt tunamshughulikia ..pumbavu kbsMtapigwa kipigo cha mbwa coco,
I wish I could the IGP says Magufuli ,mmoja ya wagombea
Tunaajifunza kilichotokea Belarus na MaliMtadhibitiwa mapema sana
[emoji28][emoji23][emoji1787][emoji24] road unaijua wewe?Wakimkataa ni "NI YEYE" tunaingia road leo
[emoji28][emoji23][emoji1787][emoji24] road unaijua wewe?
"Ongeza sauti kidogo"Wakimkataa ni "NI YEYE" tunaingia road leo
[emoji23][emoji23] hata hujielewi. Mali, Belarus and the likes walipata sapoti ya jeshi. Mabeyo anaweza mgeuka magu? Wacha kuota amka kasake pesaBelarus
[emoji23][emoji23][emoji23] haiwezi tokea, tutakuwa wapole kama tumenyeshewa vileWakimkataa ni "NI YEYE" tunaingia road leo
Nguvu ya umma[emoji23][emoji23] hata hujielewi. Mali, Belarus and the likes walipata sapoti ya jeshi. Mabeyo anaweza mgeuka magu? Wacha kuota amka kasake pesa
Mnaingia na YeYe au na mkeo au mumeo. Ingieni muone halafu NI YEYE atakuwa keshasepa kwa manwana zake Ubeligiji. Nani alikwambia anautaka urais pasipokuwa na agenda yoyote ya maendeleo zaidi ya kutafuta vurugu kwa kumtukana Rais.Wakimkataa ni "NI YEYE" tunaingia road leo
Mnaingia na YeYe au na mkeo au mumeo. Ingieni muone halafu NI YEYE atakuwa keshasepa kwa manwana zake Ubeligiji. Nani alikwambia anautaka urais pasipokuwa na agenda yoyote ya maendeleo zaidi ya kutafuta vurugu kwa kumtukana Rais.
Na mtatandikwa kweli, unadhani vyombo vya dola ni mapambo. Muulizeni NI YEYE atawapa jibu. Hatuwezi haribu amani ya nchi kisa jinga moja limetoka Ubeligiji kutibiwa linatukana tu