Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi leo tarehe 25.08.2020 kufanya uteuzi wa Wagombea mbalimbali

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi leo tarehe 25.08.2020 kufanya uteuzi wa Wagombea mbalimbali

Sioni Lissu akikatwa...tume ikimkata itampa jeuri ya ningeshinda. Na kujiona anaogopwa.

Lissu aachwe ashindwe kwenye sanduku la kura...mtu kama Lissu ni wa kumshinda kwenye sanduku la kura. Kumwonyesha nchi haihitaji mihemko.
 
Watu wamejaa hisia na mihemko eti flani anakatwa, eti sijui nini, NEC hawana mpango huo, mpango mzima Upo kwa watanzania, wanamsubiri wamusulubu asubhiii na mapema
 
Tume Ya Uchaguzi (NEC) Leo Itafanya Uteuzi Wa Wagombea Nafasi Mbalimbali Kwenye Uchaguzi Ujao:-
Nafasi Ya Rais, Makamu Wa Rais, Wabunge, Madiwani

Vyama Vyenye Usajili Ni Kumi Na Saba (17)

Wananchi Wengi Masikio Na Macho Yao yatakuwa Dodoma Kujua Hatua Kwa Hatua ya tukio lote.

Vyombo Vingi Vya Habari Vitakuwa Mubashara
Ngoja Muda ufike.
 
[emoji23][emoji23] hata hujielewi. Mali, Belarus and the likes walipata sapoti ya jeshi. Mabeyo anaweza mgeuka magu? Wacha kuota amka kasake pesa
Mali kwani aliyesapoti ni "Mabeyo"?
Bwana mdogo mmoja mwenye cheo cha kanali ndio kawapa furaha "Mali Mali".
 
Wakimkata Advertise tunachoma jengo lao hilo la "TUME YA UCHAFUZI".
 
Kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzto
Mnaingia na YeYe au na mkeo au mumeo. Ingieni muone halafu NI YEYE atakuwa keshasepa kwa manwana zake Ubeligiji. Nani alikwambia anautaka urais pasipokuwa na agenda yoyote ya maendeleo zaidi ya kutafuta vurugu kwa kumtukana Rais.

Na mtatandikwa kweli, unadhani vyombo vya dola ni mapambo. Muulizeni NI YEYE atawapa jibu. Hatuwezi haribu amani ya nchi kisa jinga moja limetoka Ubeligiji kutibiwa linatukana tu
 
hawa jamaa wakimkata mtu itakuwa wameshaiharibia CCM na kuipa hali ngumu kuiba kura,maana wapinzani wakiwa wengi wataweza kuzigawa kura za ushindi kwenye haya makundi ,yule nne,huyu mbili mwengine tatu ,wale wa ubwabwa moja CCM anapata nane tu,alafu wanatupa changa la macho wapinzani wangeungana wangetushinda ,mpo .Ni mbinu iliyobaki kucheza na wapinzani na sio kuwakata.

Hata wagombea wa ubunge udiwani kabla ya kurejesha form wawe na copy ya kile walichokijaza ili wajiwekee akiba ya ushahidi
 
[emoji23][emoji23] hata hujielewi. Mali, Belarus and the likes walipata sapoti ya jeshi. Mabeyo anaweza mgeuka magu? Wacha kuota amka kasake pesa
Hujui Kama hata Mabeyo mwenyewe anaweza kugeukwa? Au unadhani hata huko Mali aliyeongoza mapinduzi Ni mkuu wa majeshi
 
Siku ya historia kubwa Tanzania ya Tanganyika..nina AMANI kwakuwa hakatwi mtu...usiniulize nimejuaje
Unaweza usikatwe sahivi ila kwenye vichinjio kitaeleweka tu..😅
 
[emoji23][emoji23] hata hujielewi. Mali, Belarus and the likes walipata sapoti ya jeshi. Mabeyo anaweza mgeuka magu? Wacha kuota amka kasake pesa
Nchi chache saana zilizopinduliwa mkuu wa majeshi aligeuka.. Nyingi hupinduliwa na hawa makanali na wengine vyeo vya chini.. Tuombee tusifike huko.. Tume itatenda haki bila wasiwasi.. CDM acheni woga
 
[emoji23][emoji23] hata hujielewi. Mali, Belarus and the likes walipata sapoti ya jeshi. Mabeyo anaweza mgeuka magu? Wacha kuota amka kasake pesa
HOSNY MUBARAKA 2011 Egypt uprising aliondoka mbali na jeshi kuwa upande wake
 
Back
Top Bottom