Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afande hakai front lineTena leo tunaanza afande moloto ..anasura ngumu ka jiwe lkn ile sura yake tutaifunika kiroba wkt tunamshughulikia ..pumbavu kbs
Ngoja Muda ufike.Tume Ya Uchaguzi (NEC) Leo Itafanya Uteuzi Wa Wagombea Nafasi Mbalimbali Kwenye Uchaguzi Ujao:-
Nafasi Ya Rais, Makamu Wa Rais, Wabunge, Madiwani
Vyama Vyenye Usajili Ni Kumi Na Saba (17)
Wananchi Wengi Masikio Na Macho Yao yatakuwa Dodoma Kujua Hatua Kwa Hatua ya tukio lote.
Vyombo Vingi Vya Habari Vitakuwa Mubashara
Mali kwani aliyesapoti ni "Mabeyo"?[emoji23][emoji23] hata hujielewi. Mali, Belarus and the likes walipata sapoti ya jeshi. Mabeyo anaweza mgeuka magu? Wacha kuota amka kasake pesa
Mnaingia na YeYe au na mkeo au mumeo. Ingieni muone halafu NI YEYE atakuwa keshasepa kwa manwana zake Ubeligiji. Nani alikwambia anautaka urais pasipokuwa na agenda yoyote ya maendeleo zaidi ya kutafuta vurugu kwa kumtukana Rais.
Na mtatandikwa kweli, unadhani vyombo vya dola ni mapambo. Muulizeni NI YEYE atawapa jibu. Hatuwezi haribu amani ya nchi kisa jinga moja limetoka Ubeligiji kutibiwa linatukana tu
hawa jamaa wakimkata mtu itakuwa wameshaiharibia CCM na kuipa hali ngumu kuiba kura,maana wapinzani wakiwa wengi wataweza kuzigawa kura za ushindi kwenye haya makundi ,yule nne,huyu mbili mwengine tatu ,wale wa ubwabwa moja CCM anapata nane tu,alafu wanatupa changa la macho wapinzani wangeungana wangetushinda ,mpo .Ni mbinu iliyobaki kucheza na wapinzani na sio kuwakata.
Hujui Kama hata Mabeyo mwenyewe anaweza kugeukwa? Au unadhani hata huko Mali aliyeongoza mapinduzi Ni mkuu wa majeshi[emoji23][emoji23] hata hujielewi. Mali, Belarus and the likes walipata sapoti ya jeshi. Mabeyo anaweza mgeuka magu? Wacha kuota amka kasake pesa
Unaweza usikatwe sahivi ila kwenye vichinjio kitaeleweka tu..😅Siku ya historia kubwa Tanzania ya Tanganyika..nina AMANI kwakuwa hakatwi mtu...usiniulize nimejuaje
Nchi chache saana zilizopinduliwa mkuu wa majeshi aligeuka.. Nyingi hupinduliwa na hawa makanali na wengine vyeo vya chini.. Tuombee tusifike huko.. Tume itatenda haki bila wasiwasi.. CDM acheni woga[emoji23][emoji23] hata hujielewi. Mali, Belarus and the likes walipata sapoti ya jeshi. Mabeyo anaweza mgeuka magu? Wacha kuota amka kasake pesa
Aspokatwa nakupa buku ya bandoSiku ya historia kubwa Tanzania ya Tanganyika..nina AMANI kwakuwa hakatwi mtu...usiniulize nimejuaje
HOSNY MUBARAKA 2011 Egypt uprising aliondoka mbali na jeshi kuwa upande wake[emoji23][emoji23] hata hujielewi. Mali, Belarus and the likes walipata sapoti ya jeshi. Mabeyo anaweza mgeuka magu? Wacha kuota amka kasake pesa
Labda road ya kwenye mitandao ilasio road ya barabara zilizojengwa na serikali ya CCM.Wakimkataa ni "NI YEYE" tunaingia road leo
Wewe pumba kabisa kwani Mabeyo ni jeshi kumbuka[emoji23][emoji23] hata hujielewi. Mali, Belarus and the likes walipata sapoti ya jeshi. Mabeyo anaweza mgeuka magu? Wacha kuota amka kasake pesa