Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani watanzania tuwe na mchango utakaosaidia na sio kuwa na mawazo ya mkosaji. Uchaguzi umekwisha na rais ataapishwa muda si mrefu tuanze kudunda na kazi achana na dua la kuku ambalo daima halimpati mwewe. Nadhani watz mmenipata barabara sana. Uchaguzi umefanyika, alopata kapata alokosa kakosa hivyo mshukuru Mungu na kudunda kwa kwenda mbele kwani dua mbaya haisaidii hata kidogo.Kwani Mtandao huu wa kutoa matokeo walibambikiwa au ndio ugeni wa teknolojia?
Nadhani wamegundua kuwa inconsistencies wanazotoa katika majibu ya uchaguzi zitawaumbua. Wanajaribu kurekebisha. Hata hivyo watakuwa wanafanya kwa haraka na ku panic kwa hiyo kitakachotokea ni kuvuruga na kujiharbia zaidi.BREEEAKING NEWS,,,,,,,,Hadi wakati huu Mitandao ya kutuma matokeo ya tume ya taifa ya uchaguzi haijetengamaa