Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,346
Baada ya wiki moja ya kampeni tumepokea taarifa mbali mbali za mienendo ya kampeni.
Kinachonifanya niandike huu uzi ni kitendo cha NEC kufumbia macho suala la wanafunzi kuamriwa kuacha masomo kwenda kuhudhuria mikutano ya kampeni.
Ni kweli kuwa baadhi ya wanafunzi wana umri wa kutosha kupiga kura, lakini siamini kama ni busara kwao kukatiza masomo kwenda kuhudhuria kampeni.
Haya mambo yalikuwa yanafanyika zamani ambapo hata vyombo vya mawasiliano vilikuwa duni, lakni kwa sasa kama mtu hajahudhuria mkutano wa kampeni bado ana fursa ya kuwapambanisha wagombea (kama anataka) kwa kusikia taarifa zao kwenye vyombo vya habari
Naomba sana tume itoe tamko la kukataza tabia hii inayodumaza elimu za watoto wetu.
Kinachonifanya niandike huu uzi ni kitendo cha NEC kufumbia macho suala la wanafunzi kuamriwa kuacha masomo kwenda kuhudhuria mikutano ya kampeni.
Ni kweli kuwa baadhi ya wanafunzi wana umri wa kutosha kupiga kura, lakini siamini kama ni busara kwao kukatiza masomo kwenda kuhudhuria kampeni.
Haya mambo yalikuwa yanafanyika zamani ambapo hata vyombo vya mawasiliano vilikuwa duni, lakni kwa sasa kama mtu hajahudhuria mkutano wa kampeni bado ana fursa ya kuwapambanisha wagombea (kama anataka) kwa kusikia taarifa zao kwenye vyombo vya habari
Naomba sana tume itoe tamko la kukataza tabia hii inayodumaza elimu za watoto wetu.