Ciprofloxacin.
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,583
- 2,702
Sisi hatumo lkn hapo kwenye ,,hii miraisi ya Afrika"... au?
Kwa hiyo unataka kusemaje wewe mbwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi hatumo lkn hapo kwenye ,,hii miraisi ya Afrika"... au?
mtu aliyeanza sekondari 86 alimaliza 89 labda akaoa 95 akazaa mtoto wa kwanza 96 wewe umezaliwa 96??duh tunachat na baba zetu humu
Imenikumbusha uchaguzi wa mwaka jana!!! AFRICA TUKO MBALI SANA!!!Tume ya Uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Museveni kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Alhamisi.
Rais Museveni alipata kura 5,617,503 sawa na asilimia 60.75 ya kura zilizohesabiwa kwa mujibu wa mwenyekiti wa tume hiyo Dkt Badru Kiggundu.
Mpinzani wake mkuu Dkt Kizza Besigye alipata kura 3,270,290 ambazo ni sawa na asilimia 35.37%.
Museveni ametangazwa mshindi licha ya kwamba kuna vituo ambavyo bado matokeo hayajatangazwa. Dkt Kiggundu amesema matokeo ya vituo hivyo hayawezi kubadilisha mambo. Awali, waangilizi kutoka Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Madola walikuwa wamekosoa uchaguzi huo wakisema kulikuwa na kasoro nyingi.
Aidha walishutumu kukamatwa kwa mgombea wa upinzani Dkt Besigye na kuzimwa kwa mitandao ya kijamii.
chanzo : BBC
Cc Nyani Ngabu"Miafrika ndivyo tulivyo" by Nyani Ngabu wa jf
Wewe mweupe auKweli kabisa mkuu,kuishi kwenye nchi hizi za ngozi nyeusi na roho nyeusi ni bora kwenda kuishi torabola
Nimmeo auTunaomba mmarekani aje atutawale
Kila uchaguzi ni hivoMseveni chali,Jiji la kampala linaenda ukawa ya UG