Tume ya Uchaguzi Uganda yamtangaza Museveni mshindi, Besigye apinga matokeo

Tume ya Uchaguzi Uganda yamtangaza Museveni mshindi, Besigye apinga matokeo

We kweli hamnazo..... unamleta malkin kwenye utawala huu? Kwa UK ulitakiwa umwongelee waziri mkuu ndo maana elimu elimu elimu ndo majibu ya mtu kama nyie.......
Bwana mdogo mbona mwaka jana hukwenda kuwasaidia wascotchi walivyokuwa wanapiga kura ya kujitenga UK...na Australia wanaandaa kura baada ya kushindwa kujitenga UK 1999...usipige kelele jenga hoja...sasahivi mnataka kuwachagulia waganda raisi,Mkapa aliwapa jina lililowafaa "malofa na wapumbavu"...kwa uzuzu mkayaandika kwenye fulana zenu ngoja mbowe awazamishe mto mara mliwe na mamba ndio mtapata akili..nyumbu!
 
Bwana mdogo mbona mwaka jana hukwenda kuwasaidia wascotchi walivyokuwa wanapiga kura ya kujitenga UK...na Australia wanaandaa kura baada ya kushindwa kujitenga UK 1999...usipige kelele jenga hoja...sasahivi mnataka kuwachagulia waganda raisi,Mkapa aliwapa jina lililowafaa "malofa na wapumbavu"...kwa uzuzu mkayaandika kwenye fulana zenu ngoja mbowe awazamishe mto mara mliwe na mamba ndio mtapata akili..nyumbu!
Nyumbu ni wewe na ukoo wenu wa panya wa lumumba, kima wewe
 
Siyo kama hamnazo bali ni hana akili tu
Hizi mbinu za chadema kumuiga gwajima jinsi ya kubrain wash misukule..itasaidia chadema kwa muda mfupi ila ni bomu baya sana,siku mmoja mtakula nyama viongozi wenu....ngoja mzamishwe mto mara mliwe na mamba nyumbu nyie!
 
Nyumbu ni wewe na ukoo wenu wa panya wa lumumba, kima wewe
Pamoja na matusi yako wagombea wa chadema wanatokea Lumumba!..Kingunge kawazungusha mikono hadi mmepata vilema na miaka ijayo atawazungusha viuno hadi mkome!..mabalalikoooo...zungusha*1000...korogaaa*1000!
 
Kufuatia uchaguzi uliofanyika jana nchini Uganda, mawaziri 17 wa serikali ya Rais Museveni tayari wameshabwagwa huku matokeo yakiwa bado yanaendelea kutolewa, pamoja na mizengwe yoote anayofanyiwa mpinzani mkubwa Kizza Besigye kukamatwa na kuwekwa ndani mara kwa mara katika kipindi hiki cha uchaguzi, hongera sana wananchi wa Uganda kwa kufanya maamuzi.
safi sana shemeji zetu waganda kwa kutumia haki yenu ya kidemokrasia kumng'oa dikteta Museven.
 
Pamoja na matusi yako wagombea wa chadema wanatokea Lumumba!..Kingunge kawazungusha mikono hadi mmepata vilema na miaka ijayo atawazungusha viuno hadi mkome!..mabalalikoooo...zungusha*1000...korogaaa*1000!
1455905895112.jpg
 
...watu wazima mnatia huruma kwa kushindwa kuelewa kitu kidogo, kuna dogo hapa ana miaka 12 nqimemtest kwa kumuonyesha hizi komments na nini barafuyamoto amemaanisha, KAELEWA na katoa maelezo!
Wale waliowaita nyumbu hawakukosea, UPSTAIRS ni vacuum.
Kwa mujibu wa wataalamu wa afya ya akili , mtu anayedhani ana akili kushinda wengine wote ni kichaa .
 
Watu wana atimiliki ya nchi daaah africa aisee mungu bora kuzaliwa silylia
 
Kwa kweli ,tunamuomba sana trump,na waamerika wamchague aje alete demokrasia ya kweli east africa
 
Pamoja na matusi yako wagombea wa chadema wanatokea Lumumba!..Kingunge kawazungusha mikono hadi mmepata vilema na miaka ijayo atawazungusha viuno hadi mkome!..mabalalikoooo...zungusha*1000...korogaaa*1000!


Kumbe wee mkvndv kweli, tena wa kuku...mmaaaninaaa..!!!
 
Pamoja na matusi yako wagombea wa chadema wanatokea Lumumba!..Kingunge kawazungusha mikono hadi mmepata vilema na miaka ijayo atawazungusha viuno hadi mkome!..mabalalikoooo...zungusha*1000...korogaaa*1000!


Kumbe wee mkvndv kweli, tena wa kuku...mmaaaninaaa..!!!
 
Back
Top Bottom