Tume ya Uchaguzi Uganda yamtangaza Museveni mshindi, Besigye apinga matokeo

Tume ya Uchaguzi Uganda yamtangaza Museveni mshindi, Besigye apinga matokeo

mkuu angalia uwezekano wa kupata mawasiliano ya katibu mkuu au viongozi wengine wa chama cha kiiza , maana nimejaribu kumpigia mwenyewe simu yake imezimwa , nadhani ni kwa vile jana alikamatwa na polisi , nataka niwape neno la pongezi .
Mkuu kwa sasa uongozi wote wa juu wa fdc wamezuiliwa ndani ya ofisi za chama na vikosi vyav ulinzi na usalama
 
Bado naushangaa uwezo wako wa kujenga hoja
Huna budi kushangaa, sijaandika straight, sikutegemea kama ungenielewa!
Ngoja nikueleweshe, UPUUZI WOTE UNAOANDIKA HUMU NI DALILI ZA CHADEMA UKIWAMO WEWE KUKUBALI MATOKEO YA HAPA TZ, sasa unatafuta msaada kwa kuingilia ya Ug.
Vipi? Bado kichwani ni DENSE?
 
Huna budi kushangaa, sijaandika straight, sikutegemea kama ungenielewa!
Ngoja nikueleweshe, UPUUZI WOTE UNAOANDIKA HUMU NI DALILI ZA CHADEMA UKIWAMO WEWE KUKUBALI MATOKEO YA HAPA TZ, sasa unatafuta msaada kwa kuingilia ya Ug.
Vipi? Bado kichwani ni DENSE?
Naona akili na uwezo wako wa kuishi ktk jamii ya wastaarabu ni mdogo sana,na kama huna muda wa kuwa mstaarabu nivema ukakaa pembeni
 
Huna budi kushangaa, sijaandika straight, sikutegemea kama ungenielewa!
Ngoja nikueleweshe, UPUUZI WOTE UNAOANDIKA HUMU NI DALILI ZA CHADEMA UKIWAMO WEWE KUKUBALI MATOKEO YA HAPA TZ, sasa unatafuta msaada kwa kuingilia ya Ug.
Vipi? Bado kichwani ni DENSE?
hoja yako haihusiani kabisa na uzi huu .
 
Hata mimi mkuu... M7 ameoverdue.... tangu 86? Do.... ndo maana kina Trump wanatuona watumwa.... rushwa Ug ni shida
Malkia tokea mwaka 1952 na hana ukomo na ukawa hamuwashauri kuupinga ufalme,leo mmempachika Triump uungu....kama waganda wanamtaka mnawashwa nini...hii sio ile chadema tuliyoijuwa..ni misukule tupu!
 
hoja yako haihusiani kabisa na uzi huu .
Ukiwa partisan hasa ni modern member wa kale kasosayati ka bavicha, lazima utakuwa one dimensional ktk kunielewa nimemaanisha nini, soma uzi wote na jikite na mahali nilipoanza kwa kusema ......STATUS QUO......
Kama hautaunga na kuelewa namaanisha nini, basi ngoja 'NIKUBALIANE' na nyie waleta uzi kuwa comment hii haihusiani na uzi.
Naona mko determined lazima tuchukue barabara ambayo ni DEAD END.
 
Umeonaeeeeee? Hapa jamvini kuna watu kazi yao ni kuonyesha umahiri wao wa hali ya juu wa kipumbavu
...watu wazima mnatia huruma kwa kushindwa kuelewa kitu kidogo, kuna dogo hapa ana miaka 12 nimemtest kwa kumuonyesha hizi komments na nini barafuyamoto amemaanisha, KAELEWA na katoa maelezo!
Wale waliowaita nyumbu hawakukosea, UPSTAIRS ni vacuum.
 
M7 ndo mental wa E and central Africa kwa
sasa..... angalia sasa kila Raisi anataka atawale milele.... Kagame atatawala mpaka 2034.... Nkurunzinza watu wanakufa, Kabila yeye hana pesa ya uchaguzi kabisa ila anao uwezo wa kumnunulia brand new prado kila mchezaji wa timu ya taifa, Tz ccm ni ile ile (thanks Mwaimu aliweka utaratibu wa kubadilishana vijiti maana
kwa hulka wanayonionyesha kwenye chaguzi, kuna ambao wangeisha g'ang'ania wasitoke; imebaki kenya tu tena na yenyewe ni baada ya kutiana adabu.... M7 ni janga la Eeast and Central Africa.... na hakuna wa kumnyooshea mkono mwenzie maana kila mtu ana dhambi yake hivo kama Burundi wanaweza uwana mpaka waishe na EA Comunity ikipata kigugumizi cha kuingilia n na kusaidia....
 
Malkia tokea mwaka 1952 na hana ukomo na ukawa hamuwashauri kuupinga ufalme,leo mmempachika Triump uungu....kama waganda wanamtaka mnawashwa nini...hii sio ile chadema tuliyoijuwa..ni misukule tupu!
We kweli hamnazo..... unamleta malkin kwenye utawala huu? Kwa UK ulitakiwa umwongelee waziri mkuu ndo maana elimu elimu elimu ndo majibu ya mtu kama nyie.......
 
Nampongeza sana Besigye.
Mseveni ataondoka kwa aibu kuu.
Labda Trump asiwe rais wa Marekani which is not likely!
Nakesha namuombea Trump apate uraisi naamini tutaheshimiana tu na watawala
 
Kufuatia uchaguzi uliofanyika jana nchini Uganda, mawaziri 17 wa serikali ya Rais Museveni tayari wameshabwagwa huku matokeo yakiwa bado yanaendelea kutolewa, pamoja na mizengwe yoote anayofanyiwa mpinzani mkubwa Kizza Besigye kukamatwa na kuwekwa ndani mara kwa mara katika kipindi hiki cha uchaguzi, hongera sana wananchi wa Uganda kwa kufanya maamuzi.
Sidhani kama waganda wako hivyo. Majirani zangu hao siwaelewi
 
We kweli hamnazo..... unamleta malkin kwenye utawala huu? Kwa UK ulitakiwa umwongelee waziri mkuu ndo maana elimu elimu elimu ndo majibu ya mtu kama nyie.......
Ni kitu gani hamjamuelewa huyu jamaa? Lagic yake imewakwepa ubongoni? Anaongelea mtawala mmoja kuwa madarakani muda mrefu.
 
Ni kitu gani hamjamuelewa huyu jamaa? Lagic yake imewakwepa ubongoni? Anaongelea mtawala mmoja kuwa madarakani muda mrefu.
Nimeisha sema kama wewe ni Ke mmeo anafaidi sana maana una mahaba hatari.... taja mfalme kwetu na Uganda aliye kama malkia ili kuwe na ulinganifu mzuri wa Malkia wa UK na sisi....
 
Back
Top Bottom