Tume ya Uchaguzi Uganda yamtangaza Museveni mshindi, Besigye apinga matokeo

Tume ya Uchaguzi Uganda yamtangaza Museveni mshindi, Besigye apinga matokeo

Kufuatia uchaguzi uliofanyika jana nchini Uganda, mawaziri 17 wa serikali ya Rais Museveni tayari wameshabwagwa huku matokeo yakiwa bado yanaendelea kutolewa, pamoja na mizengwe yoote anayofanyiwa mpinzani mkubwa Kizza Besigye kukamatwa na kuwekwa ndani mara kwa mara katika kipindi hiki cha uchaguzi, hongera sana wananchi wa Uganda kwa kufanya maamuzi.
 
Kumbe tatizo lako ni status quo? Sikujua! Hata ukawa wakiingia madarakani utaanza kuwapinga!
 
Natamani kuiona Uganda mpya
Mkuu uganda mpya itakuja lkn ule mkono wa chuma bado unaendelea kuwatesa na kuwanyima haki wananchi wa uganda, hivi sasa kiongozi wa upinzani kizza besigye anashikiliwa na police huku ofisi za fdc zikwa zimezingilwa na majeshi ya watawala
 
Mkuu uganda mpya itakuja lkn ule mkono wa chuma bado unaendelea kuwatesa na kuwanyima haki wananchi wa uganda, hivi sasa kiongozi wa upinzani kizza besigye anashikiliwa na police huku ofisi za fdc zikwa zimezingilwa na majeshi ya watawala
Wapuuzi sana hawa wadudu sitaki kukumbuka machungu ya uchaguzi wetu
 
Mpinzani anakamatwa kila wakati
Kwa nini uwanja wa demokrasia hauko huru kwenye nchi zetu za kiafrica

Besgye kajitahidi sana.
Kweli kabisa mkuu maana hadi saa kumi walipotangaza matokeo museven alikuwa na kura 2m na besigye alikuwa na 1.4m
 
Huyo hana mahaba na mume wake hata, hela mbele kama chama chao.
Ndiyo maana yeyote anayekuja na atakachoongea/Fanya wao hushangilia tu pasipo kujua wanashangilia nini
Ni sawa na wale wanyama wanaopatikana mbuga ya serengeti wakati wanaenda kunywa maji huwa hawasikii chochote hata kama simba yupo karibu nao hawajali
 
Hata mimi mkuu... M7 ameoverdue.... tangu 86? Do.... ndo maana kina Trump wanatuona watumwa.... rushwa Ug ni shida
Hao ndio viongozi tulio nao ktk bara letu la Afrika, na ndio hao wanapendekeza nchi za afrika kujiondoa kutoka icc
 
Uganda ni shida nimesoma kule bt wale polis hawanaga masiara...na isitoshe polis wa uganda kwanza wanaongea lugha ya kiswahili wananchi hawajui chochote mana wao wamezoea lugha ya kiganda na kingereza..huwa wanawadhibu vilvyo wale hawachk na wewe..so kwenye ishue ya uchaguzi watakuwa very serius na hawatochka na mtu
 
Museveni akishinda kalazimisha anatoa maneno ya vitisho na yeye kageuka ndio tume...
 
Kufuatia uchaguzi uliofanyika jana nchini uganda, mawaziri 17 wa serikali ya raisi museveni tayari wameshabwagwa huku matokeo yakiwa bado yanaendelea kutolewa,pamoja na mizengwe yoote anayofanyiwa mpinzani mkubwa kizza besigye kukamatwa na kuwekwa ndani mara kwa mara ktk kipindi hiki cha uchaguzi, hongera sana wananchi wa uganda kwa kufanya maamuzi
Uganda ilikuwa na mawaziri wangapi ili tuone ni kwa kiasi gani kuna anguko kubwa.
 
Museven aliwahi kusema kuwa yeye ni sawa na kotapin ya baiskeli inaiingizwa kwa nyundo na inatolewa kwa nyundo.

Pia aliwahi kusema bora umtukanie mama yake lakini usitukane jeshi lake.
 
Back
Top Bottom