Tume ya Uchaguzi Uganda yamtangaza Museveni mshindi, Besigye apinga matokeo

Tume ya Uchaguzi Uganda yamtangaza Museveni mshindi, Besigye apinga matokeo

Trump akipita kuwa rais wa marekani hawa wakina museveni atakuwa anawaokota kama njugu.
 
Vyama vya upinzani kufanya shughuli zao kwa Uhuru bila kutishwa ama kuingiliwa na vyombo vya dola. Tume ya uchaguzi kuwa huru na kutangaza aliyeshinda kuwa ndie mshindi halali. Je ? chama chako cha ccm kinaweza kuiga mambo kama haya kutoka ktk nchi zilizo starabika?
Toa ushuhuda wa hiki ulichoandika, na nakusihi wela hisia pembeni, toa ushuhuda, mimi sio mfuasi wa siasa za maji taka, ndio maana siwaungi mkono upinzani huu uliojitokeza baada ya kubadili gia, mimi sio siaiemu!
 
Yaani viongozi wa kiafrica ni madikteta tu. Hakuna demokrasia. Jana nilishangaa kusikia kuwa uganda wamefunga mitandao ya kijamii mfano FB pamoja na huduma za utumaji / utoaji wa pesa kwa mtandao katika kipindi hiki cha uchaguzi!!!!!!!!!!!

Hii yote ni kuwanyima watu uhuru na kufanya uchaguzi usio wa haki.

Serikali zetu ZILIZO MADARAKANI ni JIPU LINALOPASWA KUTUMBULIWA.

MUSEVENI ATAPITA LAKINI SIYO KWA RIDHAA YA WANANCHI WA UGANDA BALI KWA MATAKWA YA TUME YA UCHAGUZI UGANDA.
 
Yaani viongozi wa kiafrica ni madikteta tu. Hakuna demokrasia. Jana nilishangaa kusikia kuwa uganda wamefunga mitandao ya kijamii mfano FB pamoja na huduma za utumaji / utoaji wa pesa kwa mtandao katika kipindi hiki cha uchaguzi!!!!!!!!!!!

Hii yote ni kuwanyima watu uhuru na kufanya uchaguzi usio wa haki.

Serikali zetu ZILIZO MADARAKANI ni JIPU LINALOPASWA KUTUMBULIWA.

MUSEVENI ATAPITAALAKINI SIYO KWA RIDHAA YA WANANCHI WA UGANDA BALI KWA MATAAKWA YA TUME YA UCHAGUZI UGANDA.
Hivi Lubuva wa kule anaitwa nani tena?
Kivuitu wa KENYA alishakufa kwa sababu ya dhuluma, bado LUBUVA, JECHA na huyo wa Uganda!
 
Waganda uwezo wao wa kufikili ni zero unamrudishaje mseven
 
Toa ushuhuda wa hiki ulichoandika, na nakusihi wela hisia pembeni, toa ushuhuda, mimi sio mfuasi wa siasa za maji taka, ndio maana siwaungi mkono upinzani huu uliojitokeza baada ya kubadili gia, mimi sio siaiemu!
We unataka ligi, kipi hakieleweki hapo? unajifanya kukimbia kivuli chako? unakataa kama we sio mfuasi wa ccm na siasa za maji taka wakati unatetea ushenzi na udhalimu wa ccm, hivi nyinyi wenye mahaba na ccm hamuoni waziwazi ujinga mnaofanya? rejea Kyle Zanzibar nini kinaendelea?
 
Hakuna wakumtenganisha mseveni na urais jua jecha yupo Uganda pia kashaanza kazi labda kifo tu ndio kitakacho mtenganisha
 
Back
Top Bottom