Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyama vya upinzani kufanya shughuli zao kwa Uhuru bila kutishwa ama kuingiliwa na vyombo vya dola. Tume ya uchaguzi kuwa huru na kutangaza aliyeshinda kuwa ndie mshindi halali. Je ? chama chako cha ccm kinaweza kuiga mambo kama haya kutoka ktk nchi zilizo starabika?Demokrasia maana yake nini kwako?
Watu wanaochukiwa hayafi mapema lakini angalia wanaopendwa jinsi wanavyo katikaHata Hua hayafi sijui kwanini
Toa ushuhuda wa hiki ulichoandika, na nakusihi wela hisia pembeni, toa ushuhuda, mimi sio mfuasi wa siasa za maji taka, ndio maana siwaungi mkono upinzani huu uliojitokeza baada ya kubadili gia, mimi sio siaiemu!Vyama vya upinzani kufanya shughuli zao kwa Uhuru bila kutishwa ama kuingiliwa na vyombo vya dola. Tume ya uchaguzi kuwa huru na kutangaza aliyeshinda kuwa ndie mshindi halali. Je ? chama chako cha ccm kinaweza kuiga mambo kama haya kutoka ktk nchi zilizo starabika?
Mseveni chali,Jiji la kampala linaenda ukawa ya UG
Hivi unafikiri huko hakuna Akina Rubuva ee,Mseveni chali,Jiji la kampala linaenda ukawa ya UG
Watu wanaochukiwa hayafi mapema lakini angalia wanaopendwa jinsi wanavyo katika
Ni Ghana na Zambia tu hizo zingine bado.Ghana, Kenya, Botswana, Namibia, Zambia, na wengineo hawamo.
Hivi Lubuva wa kule anaitwa nani tena?Yaani viongozi wa kiafrica ni madikteta tu. Hakuna demokrasia. Jana nilishangaa kusikia kuwa uganda wamefunga mitandao ya kijamii mfano FB pamoja na huduma za utumaji / utoaji wa pesa kwa mtandao katika kipindi hiki cha uchaguzi!!!!!!!!!!!
Hii yote ni kuwanyima watu uhuru na kufanya uchaguzi usio wa haki.
Serikali zetu ZILIZO MADARAKANI ni JIPU LINALOPASWA KUTUMBULIWA.
MUSEVENI ATAPITAALAKINI SIYO KWA RIDHAA YA WANANCHI WA UGANDA BALI KWA MATAAKWA YA TUME YA UCHAGUZI UGANDA.
Hiyo ndiyo democracia ya Africa!TRUMP aliongea ukweli kuhusu Africans
We unataka ligi, kipi hakieleweki hapo? unajifanya kukimbia kivuli chako? unakataa kama we sio mfuasi wa ccm na siasa za maji taka wakati unatetea ushenzi na udhalimu wa ccm, hivi nyinyi wenye mahaba na ccm hamuoni waziwazi ujinga mnaofanya? rejea Kyle Zanzibar nini kinaendelea?Toa ushuhuda wa hiki ulichoandika, na nakusihi wela hisia pembeni, toa ushuhuda, mimi sio mfuasi wa siasa za maji taka, ndio maana siwaungi mkono upinzani huu uliojitokeza baada ya kubadili gia, mimi sio siaiemu!
Kama ndo hivo basi hata Tanzania ni zeroWaganda uwezo wao wa kufikili ni zero unamrudishaje mseven