Elections 2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

Elections 2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

Cha ajabu TBC watakua wanarusha nyimbo za amani na vita vya rwanda na burundi.
 
Mwenyekiti wa ZEC amesema uchaguzi ulikuwa na kasoro nyingi, hivyo kwa mamlaka
aliyokuwa nayo amefuta matokeo yote ya uchaguzi Zanzibar. Uchaguzi kurudiwa tena.
Taarifa zaidi zinafuata

Ulikua na kasoro kwa kua maalim ameshinda au
 
Matokeo yaliyofutwa ni URAISI WA ZANZIBAR na WAWAKILISHI.

Matatizo ni KARATASI ZA URAISI ZANZIBAR sio BARA!!! ..hivi jamani watu wa UKAWA kwanini mnataka kuleta vurugu ??
 
/uchaguzi unarudiwa kwani wamegawana kura?....kama sio wa haki nini kilitokea?UKAWA wasikubali goli lamkono lilikataa sasa wanataka kujipanga upya
 
Haya ndo yalikuwa maneno ya Paul Kagame!
 

Attachments

  • 1446030670535.jpg
    1446030670535.jpg
    28 KB · Views: 113
kuna jimbo la kusini limetangazwa kuwa waliojiandikisha wote wamepiga kura !! Hakuna mgonjwa, aliyesafiriri au aliyefariki ?

tehteh jimbo gani hilo.......?...perfect place to live.......
 


tume-nec futeni matokeo ya urais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania.

Simple logic

kama tume ya kule zanzibar-zec inakiri kuwa uchaguzi ulikuwa na kasoro nyingi,
means hata matokeo ya ya urais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania inabidi yafutwe pia

kwa sababu

1. Kati ya lowassa/magufuli mmoja wao angekuwa rasi wa jamhuri ya muungano wa tanzania ambapo ndani ya kula ambazo wangepata zipo kura za kule zanzibar, hivyo kama zec imefuta matokeo kule means hata kura za urasi za jamuhuri ya muungano wa tanzania zifutwe pia.

2. Mpigaji kura wa zanzibar alipewa kura tano (watu wa kuwachagua), zikiwemo za rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, hivyo alipiga kura tano, hivyo ni ngumu kusema kuwa hizo kasoro zilimuathiri shein na maalimu seifu tuna siyo kura za raisi wa jamuhuri ya muuungano wa tanzania ( lowasa na magufuli)

tume ifute huu uchaguzi kwa kura za uraisi

kuendelea kulazimisha hiii ni kupoteza muda na pesa bure kabisa, na huenda machafuko yakazuka,

kasoro za wazi ziko nyingi sana
bumbuli-tanga idadi ya wapiga kura wote ni tofauti na kula zote zinazoonekana katika ubunge na urais.

Lakini pia kuna sehemu nyingi sana asilimia za matokeo hazimatch na
100% ya kura zote

poleni nec-mmeponzwa na marombe jr... Poleni, na mkicheza mnaliingiza taifa katika machafuko.
 
Nawaambia hata Lowassa kaibiwa KURA NYINGIII NYINGIIIIIII SANA SANAAAAAAA... Lubuva anaaminisha watu upuuzi tu..!!! Maalim Seif hongera sana sanaaaa kamanda wa kupigania haki....!!!

Lowassa, Ukawa wameibiwa kura nyingii sanaaa sanaaaa...!!! NEC ni CCM 100%...!!!
 
rais wa rwanda aliandikaje
he is curiously looking to tanzania presidential 's election to see how his friend hon.president is practising democracy,in order to differentiate himself from either kagame or nkurunzima!!ni maneno ya busara sana na ya tahadhali kubwa.
 
aliyoyaandika Rais wa RWANDA yameanza kutimia....................

TEHETEH...Yule mzee atakuwa na intelijensia kali sana hapa Bongo......Alishaona Hili litatokea......
 
Anataka kuendelea kutawala yule mkwele, katafuta njia ya kubaki madalakani mpaka kaipata shuaini
 
Naomba kuuliza je kura za urais za Lowassa na Magufuli nazo zimefutwa?

Maswali ya kijinga. Uchaguzi wa JMT husimamiwa na NEC; wa Zanzibar na ZEC. ZEC ndio waliofuta uchaguzi waliousimamia.
 
Back
Top Bottom