kura za urais wa jamhuri ya muungano zinasimamiwa na NEC si ZECKwa hiyo kura zote za urais wa JMT kutoka Zanzibar zimefutwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kura za urais wa jamhuri ya muungano zinasimamiwa na NEC si ZECKwa hiyo kura zote za urais wa JMT kutoka Zanzibar zimefutwa?
tehteh jimbo gani hilo.......?...perfect place to live.......
Matokeo yaliyofutwa ni URAISI WA ZANZIBAR na WAWAKILISHI.
Matatizo ni KARATASI ZA URAISI ZANZIBAR sio BARA!!! ..hivi jamani watu wa UKAWA kwanini mnataka kuleta vurugu ??
.. Kikwete wa Tanzania atajitofautishaje na Kagame wa Rwanda na Nkurunziza wa Burundi!.. He is just another dictator.. who takes out his adversaries... " Walisema alituma ujumbe kwa Lowassa alipokuwa Mwanza au Bukoba.... sijui lakini Nina shaka na nyendo zake juu ya Tanzania na amani yetu!!Rais wa Rwanda aliandikaje
Impact yake kwa uchaguzi mkuu JMT ni nini ?
Matokeo yaliyofutwa ni URAISI WA ZANZIBAR na WAWAKILISHI.
Matatizo ni KARATASI ZA URAISI ZANZIBAR sio BARA!!! ..hivi jamani watu wa UKAWA kwanini mnataka kuleta vurugu ??