Elections 2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

Elections 2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

Nini tena, huko zanzibar hawaishi vituko!

Wanasiasa wazifikirie damu zisizo na hatia!
 
Hahhahahah...finalllyyyyy doh...
Hawa watu hawa...wanashindwa kusimamia kanuchaguzi ka watu laki tano....aibuuuuuuu
 
Mwenyekiti wa ZEC amesema uchaguzi ulikuwa na kasoro nyingi, hivyo kwa mamlaka
aliyokuwa nayo amefuta matokeo yote ya uchaguzi Zanzibar. Uchaguzi kurudiwa tena.
Taarifa zaidi zinafuata

Goal la mkono limeshindikana ................... si wangetangaza tu kama 1995!!
 
Nawaza damu za wananchi wasio na hatia!
 
Nimeiona breaking news AzamTv. halafu wakaichomoa.........
 
Wao zile za 'bao la mkono' hazikutosha kama wenzao wa bara. Ukweli ni kuwa hata huko Zanzibar CCM wameiba sana lakini hesabu hazikufika. Bara wenzao wamepiga mahesabu yao vizuri.
 
Hatimaye ZEC wamefitilia mbali uchaguzi wa Zanzibar.

Kwa mujibu wa tangazo la ZEC wameainisha mambo mawili ambayo yamepelekea kufutwa kwa uchaguzi huo ambayo ni mgombea mmoja kujitangaza mshindi kinyume cha taratibu na jambo lingine wamedai kuwa uchaguzi huo haukuwa wa huru na haki.

CC: Octogenarian Faiza foxiiii!!
 
Azam TV pia wameriport kufutwa kwa uchaguzi mkuu Zanzibar
 
ccm wakishindwa...it was not fair..........I see
 
Nyerere alisema angekuwa na uwezo angekisogeza kile kisiwa cha zenji mbali zaidi
 
Back
Top Bottom