DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,628
Rasim ya warioba ilikuwa na vipengele vizuri kuhusu serikali tatu sasa Leo tutaona kikwete na NEC watakavyo haha
acha kutoa mapovu wewe! uchaguzi umechakachuliwa na CCM na kibaraka wao, NEC.
Haiwezi kushinda au haiwezi kutangazwa mshindi?Leo nimebishana na watu hapa kuwa CUF hawapewi nchi ya Zanzibar na watu wakanipinga. Mimi mwenyewe ni CUF lakini najua siasa ya ZNZ, kwasababu ninaishi ZNZ maisha yangu yote haya. Nyinyi ndugu zetu wa Bara hamuijui Zanzibar. CUF haiwezi kushinda ZNZ hata kwa dakika moja. Aminini maneno yangu na baadae mtuachie wenyewe siasa yetu ya Zanzibar, kwani nyinyi hamtoifahamu milele!
ni hao hao, ila matatizo yako kwenye karatasi zilizopigiwa kura za wakina Raisi wa ZNZ na Wawakilishi, Matokeo ya Bara yanasimama.
Wanajua matokeo ya bara yatawa influence wapiga kura Zanzibar. Na vile vile inategemea uchaguzi utarudiwa lini, Kama ni baada ya Magufuli kuanza kazi anaweza kuanza kwa moto ika influence wapiga kura wa Zanzibar pia.
kumbuka masanduku ya kura yanayotumika ni yaleyale. ina maana kura zitamwagwa chini zichambuliwe za muungano zihesabiwe?
Kwanini uchaguzi urudiwe?kwani chama tawala kimeshindwa?
kama kimeshindwa basi ni sana urudiwe!