DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,628
Wakuu.
Kwa niaba ya wapenda demokrasia namuomba mwanasheria msomi Tundu Lissu na Kibatala Peter wajitokeze kutoa ufafanuzi wa uhai wa kura za muungano baada ya ZEC kufuta uchaguzi visiwani
Kwa niaba ya wapenda demokrasia namuomba mwanasheria msomi Tundu Lissu na Kibatala Peter wajitokeze kutoa ufafanuzi wa uhai wa kura za muungano baada ya ZEC kufuta uchaguzi visiwani