jikwete
Senior Member
- Feb 22, 2015
- 157
- 71
source zako zitanisaidia nini sasa?
kwani hapa unacheza?
Wew usiwe mbishi tatizo mmezoea wizi wizi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
source zako zitanisaidia nini sasa?
kwani hapa unacheza?
Wew usiwe mbishi tatizo mmezoea wizi wizi tu
Asante umejileta vizuri sana, sasa swali linarudi kwako, kama umesema hujawahi kusikia uchaguzi unarudiwa nchi nzima hata kama kuna majimbo yenye utata sasa ni kwa nini Zanzibar wanarudia? kwa maelezo yako si ni kwamba wangerekebisha hayo majimbo yenye utata tu?
yani unashangaa la kurudia kupiga kura bara lakini hushangai la uchaguzi wote kufutwa zanzibar???
kweli sa ivi mmedakwa bafuni wakati bao la mkononi ndo linakaribia tu kutoka,au safari hii mlitumia sabuni ya REVOLA ISIYO NA POVU JINGI?
Kwa maana hiyo majumuisho ya kura ya Urais nayo yatasimama mpaka uchaguzi urudiwe???? Je Rais wa JMT hatapatikana mpaka uchaguzi wa Zanzibar urudiwe?
Hata mm mkuu nashanga sana uharari wa hizi kula wakati wapiga kur ni wale wale, vituo vile vile, wasimamizi wale wale. Kiukweli Africa hakuna Democracy, tuombe ajratokee tu kiongozi anae wapenda wananchi wake na afanye maendeleo ya nchi nakuweka misingi ya kidemocracia, vinginevyo haina hata haja kuwa na uchaguzi maana vizaz vya viongozi wetu watendelea kuwa viongozi siku zote kwaabavu kama haya.
Haipo hivyo wewe! Zanzibar kuna kura za nec na za zec na zote zina waangalizi tofauti! Sema mpiga kura ni yuleyule!
Kila siku nalia humu kuhusu tume uhuru.
Kwamba, hizi tume zinazoundwa na CCM kamwe haziwezi kumtangaza mgombea asiye wa CCM kuwa ndo mshindi.
Na haya ya leo ndo ushahidi wenyewe sasa.
The Boss where ya at?
Katika hali ya kushtua Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar(ZEC) imetangaza kuyafuta Matokeo ya urais wa Zanzibar.
Yadaiwa Uchaguzi uligubikwa na kasoro nyingi.
Imeahidi kutangaza tarehe rasmi ya kurudiwa uchaguzi.
====
Statement:
![]()
![]()
![]()
VIDEO:
Chanzo: ZBC TV
ni sawa kuchemsha kitimoto na kuku kwenye sufuria moja, halafu unampa sheikh na kumwambia kula huyu kuku halalhapa ninachoshangazwa ni kwanini matokeo ya uchaguzi ZnZ yafutwe,lakini matokeo hayohayo kwa bara yaonekane yapo active ktk mchakato wa URAIS
Ripneno moja kwa jemedari hili la siasa za Zanzibar......mm namwambia tuna matumaini makubwa juu yake...amepigania haki za watu wa Zanzibar bila kuchoka...we love you Maalim Seif Shariff Hamad
Katika hali ya kushtua Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar(ZEC) imetangaza kuyafuta Matokeo ya urais wa Zanzibar.
Yadaiwa Uchaguzi uligubikwa na kasoro nyingi.
Imeahidi kutangaza tarehe rasmi ya kurudiwa uchaguzi.
====
Statement:
![]()
![]()
![]()
VIDEO:
Chanzo: ZBC TV
AmenPumzika kwa amani Maalim Seif!