ni ngumu sana kuproove kwamba kura za urais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania hazijaathirika na hizo sababu za zec. Ikiwa mpiga kura ni yule yule, kituo ni kile kile, msimamizi wa kituo ni yule yule na mazingira ni yale yale.
rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania anatokana na kura za urais za bara na visiwani, hivyo kama kura za kura za kule zanzibar ni batili-ndio maana uchaguzi umefutwa, means hata kura za urais za jamuhuri ya muungano wa tanzania ni batili pia.
Kura zote ni batili, other wise tume-nec ihesabu tu kura za huku bara, na isubiri mpaka zanzibar watakapo fanya uchaguzi wao tena, ndipo matokeo ya urasi wa jmt yajumlishwe upya. Hivyo kikwete by that time ataendelea kubaki madarakani
wale waliosema tareh 29 oktoba watamuapisha rais basi wasitukane mamba na huku hawaja vuka mto. Haki ya mtu huwa haipotei.
Asante mungu