Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm wakishindwa...it was not fair..........I see
Mbona kuna mikoa mingi uchaguzi umehairishwa, kwanini USIRUDIWE ZANZIBAR ??? ..Hii ni internal matter ya wana Zanzibar sio swala la kila mtu. Leo hii Ubungo wakitaka kurudia uchaguzi utafutwa na waanze upya, HAUWEZI kusema TANZANIA nzima WARUDIE UCHAGUZI.
Kwani Bara mliona picha ya MAALIM SEIF kwenye karatasi YOYOTE ?? ?? ?? Hili tatizo ni LOCAL jimboni Zanzibar sio TANZANIA nzima.... Wao wanapiga kote, sisi tunapiga ya kwetu tu kama Jimbo lolote, kura zinapigwa hierarchical ..kijimbo na kitaifa, ARUSHA WAMEPIGA KURA ZA RAISI BARA LAKINI UBUNGE BAADAE. Kwahiyo Zanzibar za PAMOJA URAISI BARA ni sawa ila majimbo yaani RAISI wao ndio zinarudiwa.
Tunaomba ututajie mikoa ambayo uchaguzi wa RAIS umeahirishwa??
Chaguzi nyingi mkoani zilizoahirishwa ni za UDAWANI na KATA. Lakini kila jimbo tanzania BARA wamepiga kura za RAISI. Mfano Kimara Stop Over hawajapiga kura za DIWANI. ARUSHA MJINI, LUDEWE hawajapiga kura za MBUNGE.
Mbona kuna mikoa mingi uchaguzi umehairishwa, kwanini USIRUDIWE ZANZIBAR ??? ..Hii ni internal matter ya wana Zanzibar sio swala la kila mtu. Leo hii Ubungo wakitaka kurudia uchaguzi utafutwa na waanze upya, HAUWEZI kusema TANZANIA nzima WARUDIE UCHAGUZI.
Kwani Bara mliona picha ya MAALIM SEIF kwenye karatasi YOYOTE ?? ?? ?? Hili tatizo ni LOCAL jimboni Zanzibar sio TANZANIA nzima.... Wao wanapiga kote, kama Jimbo lolote, kura zinapigwa hierarchical ...(sijui kiswahili wanaitaje).
Ugomvi upo kwa Urais na sio kwa wabunge,, madiwani etc!
Mmetuangusha hamkumtilia kura Lowassa basi sisi hatuna tena tamaa ya kuupata Urais wa Zanzibar. Hawatupi, hawatupi, hawatupi n'go!!!!!
ZEC wamejichanganya tayari na NEC wameshaonyesha dalili za kuchakachua kura lakini Wananchi wamenyamaza japo wanaelewa. Kosa kubwa ni kutangaza huku bara na hizi irregularities zote.Mbona bara hawafuti, kwao wao hawakupiga kura za rais wa muungano?
Mfano: Tanzania bara Jimbo la ubungo, unapewa karatasi TATU (Raisi muungano, Mbunge na Diwani) . kwa ZANZIBAR unapewa 4 (Raisi wa Muungano, Raisi wa Zanzibar, Mwakilishi na Diwani) tatizo liko kwenye hizi tatu za mwisho sio ile ya TANZANIA yote!!! TANZANIA BARA Hawana karatasi ya nne ya URAISI ZANZIBAR kwahiyo HAWARUDII.
Hapa ndipo tuone itavyokuwa ni vipi; maana:-
1. Ikiwa ni kweli uchaguzi wa rais wa JMT unasimamiwa na NEC na si ZEC, tuelezwe kulikuwa na daftari tofauti la wapiga kura wa kura za urais wa JMT?
2. Je, kulikuwa na wasimamizi wawili tofauti katika kila kituo na jimbo mmoja kwa ajili ya kura za rais wa JMT na mwingine rais wa SMZ?
3. Je, kulikuwa na vituo tofauti kabisa kwa ajili kupigia kura za rais wa JMT na rais wa SMZ?,
4. Je, kura hizi zilipigwa siku tofauti kwa kura za rais wa JMT siku yake na rais wa SMZ siku yake?
Kama jibu ni HAPANA kwa angalau swali moja katika hayo; ni wazi kwamba "uchaguzi huu na matokeo yake yote" yafutwe (kama nilivyonukuu katika taarifa ya ZEC si mimi)
Mkuu mi ndio sijakuelewa au malezo yako ndio hayaeleweki ...!?
Muungano huu unaufahamu vizuri... na athari zake umeziona au una tongo ...!?
Ni aina gani ya Muungano tulionao hapo...!?
Suali linalofuata linatokana na jibu hapo juu... 
Zanzibar ni Nchi au ni Mkoa katika Mikoa ya Tanzania ...!?
Kwani Magufuli na Lowassa walikua wanagombea urais wa Zanzibar au wa Tanzania?....
Ndo nikakuuliza huyu rasi atakuwawa Tanganyika peke yake kama matokeao yake ya Zanzibar yamefutwa?
Katika hali ya kushtua Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar(ZEC) imetangaza kuyafuta Matokeo ya urais wa Zanzibar.
Yadaiwa Uchaguzi uligubikwa na kasoro nyingi.
Imeahidi kutangaza tarehe rasmi ya kurudiwa uchaguzi.
====
Statement:
![]()
![]()
![]()
VIDEO:
Chanzo: ZBC TV