Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Ndugu wanajamii, mimi naona Jaji Warioba na tume yake wametuchanganya zaidi kuliko kutuongoza.
Kwa kupendekeza tu serikali TATU wameleta balaa kubwa kuliko suruhu.
Kwanza hii katiba yao ni ya hiyo NCHI MPYAA YAANI TANZANIA mpya ambayo bado haijaundwa. Tukumbuke hiyo rasimu ni ya Tanganyika na Zanzibar na mpaka leo hii Tanganyika haipo.
Pili Jaji na tume yake wanatuambia kuwa katiba hii itatumika baada ya kuundwa nchi na katiba ya Tanganyika ambavyo hatuanza hata kuvizungumzia.
Wimbo wa MAJANGA hapa umepata chapter. Hili ni janga maana kimantiki sioni kama haya mambo yatatekelezwa hivi karibuni. SIONI KAMA WALIOBA AMEJIBU ILE KIU YA KATIBA MPYA.
Kwa kupendekeza tu serikali TATU wameleta balaa kubwa kuliko suruhu.
Kwanza hii katiba yao ni ya hiyo NCHI MPYAA YAANI TANZANIA mpya ambayo bado haijaundwa. Tukumbuke hiyo rasimu ni ya Tanganyika na Zanzibar na mpaka leo hii Tanganyika haipo.
Pili Jaji na tume yake wanatuambia kuwa katiba hii itatumika baada ya kuundwa nchi na katiba ya Tanganyika ambavyo hatuanza hata kuvizungumzia.
Wimbo wa MAJANGA hapa umepata chapter. Hili ni janga maana kimantiki sioni kama haya mambo yatatekelezwa hivi karibuni. SIONI KAMA WALIOBA AMEJIBU ILE KIU YA KATIBA MPYA.