Uganda,Kenya zina mahakama za Kadhi na idadi ya Waislam ipo chini kuliko Tanzania tatizo la watanzania mpaka yawakute kumbukeni maji yanapozuiliwa njia yake ya kawaida hutafuta njia nyengne ambayo kawaida huleta madhara, angalieni mbali msitizame karibu.
point of collection, hapo kwenye red inapaswa iwe "Gahawa" ili kuonesha msisitizo zaidi.
Terroeists will never succeed
Bora yao wanywa kahawa kuliko nyie wabwia unga, ------- zenu, mnashangilia ujinga. Mbona uganda,kenya,malawi,rwanda,burundi,zambia zipo. Tatizo lenu mawazo yenu mgando yanategemea sana maelekezo ya vatican. Mbona hamlalamiki kuwepo kwa ubalozi wa vatican. Kwani vatican ni nchi. Udini utakuja waanga,iza. Mnawachukia waislamu, na wao wakianza kuwachukia kwa style ya iraq msilalamike. Wao watakuf mashahidi, ninyi makafirinsijui mtakufa nani. Wote tukishadadia udini kwa style yenu, nchi haitakalika hii. Òooooooooooh
Teh,teh,teh,kwi,kwi,ninooooooma.Dogo hebu.kalale kumbuka saa10:30 alfajiri kuna azana ya kutshiaaa amani... maana hio shuka yako ndio itakuwa sanda yako...
Na hiko kitanda ndio kitakuwa jeneza lako.. kwi! kwi! kwi!
Haya mambo ya kuiga lugha za watu haya kazi sana, haya tuambie hili neno Terroeist linamaana gani? Ama unataka mabwana zako wazungu wakuongezee mshahara?
Bora yao wanywa kahawa kuliko nyie wabwia unga, ------- zenu, mnashangilia ujinga. Mbona uganda,kenya,malawi,rwanda,burundi,zambia zipo. Tatizo lenu mawazo yenu mgando yanategemea sana maelekezo ya vatican. Mbona hamlalamiki kuwepo kwa ubalozi wa vatican. Kwani vatican ni nchi. Udini utakuja waanga,iza. Mnawachukia waislamu, na wao wakianza kuwachukia kwa style ya iraq msilalamike. Wao watakuf mashahidi, ninyi makafirinsijui mtakufa nani. Wote tukishadadia udini kwa style yenu, nchi haitakalika hii. Òooooooooooh
Bora yao wanywa kahawa kuliko nyie wabwia unga, ------- zenu, mnashangilia ujinga. Mbona uganda,kenya,malawi,rwanda,burundi,zambia zipo. Tatizo lenu mawazo yenu mgando yanategemea sana maelekezo ya vatican. Mbona hamlalamiki kuwepo kwa ubalozi wa vatican. Kwani vatican ni nchi. Udini utakuja waanga,iza. Mnawachukia waislamu, na wao wakianza kuwachukia kwa style ya iraq msilalamike. Wao watakuf mashahidi, ninyi makafirinsijui mtakufa nani. Wote tukishadadia udini kwa style yenu, nchi haitakalika hii. Òooooooooooh
Wewe ndio miongoni mwa kina mtakatifu kayumba? Tumia lugha ambayo unaijua acha kutumia lugha usiyoijua eti 'point of collection' haya endelea kuiga lugha za mabwana zako wakati hata huielewi, tumia tu kiswahili ama tueleze umemaainisha nn
Hivyo ni vifungu vya katiba vilivyopigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la hoja iliyokuwa ikilazimishwa na baadhi ya watu wakitaka kuanzishiwa na kuendeshewa Mahakama ya Kadhi na serikali kwa fedha za serikali. Ingawa watu mnaona ilikuwa nyepesi tu, kuna kampeni kubwa na fedha nyingi zilizotolewa kuhakikisha Katiba inaicommit serikali iendeshe mahakama ya Kadhi. Kuna maeneo ilifikia hatua watu wakahariri maoni yaliyotolewa na wananchi wa imani moja na kuyawekea maneno ya kile walichokuwa wanahitaji. Haikuwa ajabu kuona maoni ya John Raphael (sio jina halisi) yakiwa yamehaririwa na kuonyesha anadai serikali ianzishe na iendeshe Mahakama ya kadhi, lakini huyo huyo John Raphael wakati ule wa maoni hakuzungumzia kabisa suala hilo la mahakama ya kadhi, ingawa kweli alitoa maoni kwenye mambo mengine. Tunamshukuru Jaji Warioba kwa busara zake na MUNGU atamlipa kwa kuilinda nchi yake32 (3) Shughuli ya uendeshaji wa jumuiya za dini itakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya Serikali
(5)Ni marufuku kwa mtu, kikundi au taasisi ya dini kutumia uhuru wa kutangaza dini kwa namna ambayo italeta uvunjifu wa amani, kujenga chuki au kuchochea vurugu na ghasia kwa madai ya kutetea imani au dini hiyo
Kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi ni muhimu. Kadhi court zipo nchi nyingi ambazo kuna mchanganyiko wa dini tofauti kama vile:
1. S. Africa
2. Kenya
3. Zanzibar
4. Uganda
5. Gambia
6. Nigeria
7. India nk.
Lakini zimeingizwa kwenye katiba zao na zinahudumiwa na Serikali zao. Kwa nini isiwe Tanzania?