Tume ya Warioba yazima ndoto za waislamu..

Tume ya Warioba yazima ndoto za waislamu..

Status
Not open for further replies.
Kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi ni muhimu. Kadhi court zipo nchi nyingi ambazo kuna mchanganyiko wa dini tofauti kama vile:
1. S. Africa
2. Kenya
3. Zanzibar
4. Uganda
5. Gambia
6. Nigeria
7. India nk.
Lakini zimeingizwa kwenye katiba zao na zinahudumiwa na Serikali zao. Kwa nini isiwe Tanzania?

Hivi ni mahakama ya kazi au kadhi ?
 
Kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi ni muhimu. Kadhi court zipo nchi nyingi ambazo kuna mchanganyiko wa dini tofauti kama vile:
1. S. Africa
2. Kenya
3. Zanzibar
4. Uganda
5. Gambia
6. Nigeria
7. India nk.
Lakini zimeingizwa kwenye katiba zao na zinahudumiwa na Serikali zao. Kwa nini isiwe Tanzania?

Kwa sababu serikali haina dini, Na kutoa hela kuhudumia nguzo hiyo ya uislam ni kufungamana na dini hiyo
 
Kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi ni muhimu. Kadhi court zipo nchi nyingi ambazo kuna mchanganyiko wa dini tofauti kama vile:
...
Lakini zimeingizwa kwenye katiba zao na zinahudumiwa na Serikali zao. Kwa nini isiwe Tanzania?
Kwa sababu Watanzania hawajataka iwe hivyo!
 
Kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi ni muhimu. Kadhi court zipo nchi nyingi ambazo kuna mchanganyiko wa dini tofauti kama vile:
1. S. Africa
2. Kenya
3. Zanzibar
4. Uganda
5. Gambia
6. Nigeria
7. India nk.
Lakini zimeingizwa kwenye katiba zao na zinahudumiwa na Serikali zao. Kwa nini isiwe Tanzania?

hamia gambia tz haya mambo hatutaki kabisa tuheshimiane mwaya nchi yetu ya amani usituchulie.
 
Vunja hizo hoja mbili siyo kuleta jazba
-Nchi kadhaa zina dini tofauti lakini zimeiweka mahakama ya kadhi kwenye katiba
-Hizo nchi zenye dini tofauti inaendesha mahakama ya kadhi kwa gharama ya Serikali zao
Kwa nini isiwe Tanzania kuna shida gani hapo?
 
Watanzania mnapenda sana kuiga maisha ya watu wengine. Hao wa nchi hizo walikubaliana iwe hivyo lkn kwetu hatuja kubaliana ndo maana haaitakuwa hivyo. Mungu akutangulie.
Kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi ni muhimu. Kadhi court zipo nchi nyingi ambazo kuna mchanganyiko wa dini tofauti kama vile:
1. S. Africa
2. Kenya
3. Zanzibar
4. Uganda
5. Gambia
6. Nigeria
7. India nk.
Lakini zimeingizwa kwenye katiba zao na zinahudumiwa na Serikali zao. Kwa nini isiwe Tanzania?
 
Kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi ni muhimu. Kadhi court zipo nchi nyingi ambazo kuna mchanganyiko wa dini tofauti kama vile:
1. S. Africa
2. Kenya
3. Zanzibar
4. Uganda
5. Gambia
6. Nigeria
7. India nk.
Lakini zimeingizwa kwenye katiba zao na zinahudumiwa na Serikali zao. Kwa nini isiwe Tanzania?


Hamjielewi totally
 
Kwa sababu serikali haina dini, Na kutoa hela kuhudumia nguzo hiyo ya uislam ni kufungamana na dini hiyo
S. Africa, Kenya, Uganda, Gambia, Nageria na India nazo pia Serikali zao hazina dini lakini pia zimeka kwenye katiba na zinatoa pesa kugharamia iweje Tanzania tunakuwa na choyo?
 
hamia gambia tz haya mambo hatutaki kabisa tuheshimiane mwaya nchi yetu ya amani usituchulie.
Nchi gani ilikosa amani shauri mahamaka ya kadhi ? toka mfano hata mmoja nikupatie shs milioni moja sasa hivi.
 
Kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi ni muhimu. Kadhi court zipo nchi nyingi ambazo kuna mchanganyiko wa dini tofauti kama vile:
1. S. Africa
2. Kenya
3. Zanzibar
4. Uganda
5. Gambia
6. Nigeria
7. India nk.
Lakini zimeingizwa kwenye katiba zao na zinahudumiwa na Serikali zao. Kwa nini isiwe Tanzania?


Hamia kwenye hizo nchi basi ili ufaidi uhuru wa mahakama ya kadhi!
 
Vunja hizo hoja mbili siyo kuleta jazba
-Nchi kadhaa zina dini tofauti lakini zimeiweka mahakama ya kadhi kwenye katiba
-Hizo nchi zenye dini tofauti inaendesha mahakama ya kadhi kwa gharama ya Serikali zao
Kwa nini isiwe Tanzania kuna shida gani hapo?
Masuala ya nchi zingine yanatuhusu nini mbona huhoji nchi zingine kuruhusu ushoga kwanini isiwe Tanzania?
 
Kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi ni muhimu. Kadhi court zipo nchi nyingi ambazo kuna mchanganyiko wa dini tofauti kama vile:
1. S. Africa
2. Kenya
3. Zanzibar
4. Uganda
5. Gambia
6. Nigeria
7. India nk.
Lakini zimeingizwa kwenye katiba zao na zinahudumiwa na Serikali zao. Kwa nini isiwe Tanzania?


unataka kuaminisha uma kuwa sababu nchi zingine zinakubali ushoga basi na sisi tuukubali tukianzia kwako
 
Na kwanini iwe Tanzania? Huu mwaka mtahama tu, nenda huko na ukiona hapakufai hamia UARABUNI kabisa!!!!!
Moja ya kazi ya katiba ni kutoa haki kwa raia wake wa jamii zote mahakama ya kadhi ni muhimu kwa jamii ya waislamu wa Tanzania. Hivyo mahakama ya kadhi ni muhimu kuingizwa kwenye katiba yetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom