Tumeachana rasmi

Ulichokosea ni kumdanganya, ni bora umuambie ukweli ili ajue, kwa hiyo kesho ukipata hela utataka urudishe majeshi
 
Akili yako ndogo sana..
 
Kwa hiyo tia maji na kuchoka kwake wewe kunakufurahisha maana ni kama umeandika kipande hicho kwa bashasha sana.

Muombee afanikiwe na awe na maisha mazuri huko aliko bana. Kufurahishwa na maisha magumu ya ex wako siyo ishara nzuri....
 
Tafuta tu hela mwaya, penzi bila hela ni kama uji usio na sukari wala maziwa wala limao....haunyweki!!!
Atafutie wapi mtafanya ajiingize kwenye vitendo viovu aridhike tu na alichonacho akubaliane na umaskini uwe kama pambo kwake ila asimuache mpenzi coconut oil au baby care mpaka pale atakapofariki..hela sio zakila mtu unaweza kupambana na ukazikosa
 
Kwa hiyo tia maji na kuchoka kwake wewe kunakufurahisha maana ni kama umeandika kipande hicho kwa bashasha sana.

Muombee afanikiwe na awe na maisha mazuri huko aliko bana. Kufurahishwa na maisha magumu ya ex wako siyo ishara nzuri....
Hapana mkuu sijafurahishwa na huwa sipendi kumfuatilia wanaonipa taarifa nimewakataza wasinipe taarifa za kumhusu yeye. Na huwa sikuwa na ubaya wowote na yeye sema alishindwa kuonesha kunisupport kwenye hz hustle za mtaa so akaona anitukane kuwa kama nipesa niwe freemason. Mkuu mm sina kinyongo wala kisasi nae maana i was real 100%
 
Kosa kubwa umefanya,Kwa hiyo ukipata hela ndio utatafuta mke?utapata Malaya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…