Tumeachana rasmi

Tumeachana rasmi

Siku ya pili sasa bado najilaumu kwa nilichokifanya lakini maisha lazima yaendelee. Nimelazimika kumuacha kwa sababu nampenda.
Kuna mwenzio ameoa mke kwa Mali kauli ikiwa hata kushika 500 kwa uwezo Hana akamtoa bush akaja nae town chumba cha Giza mwananyamala kwa makoma kwa mwezi 7000/- kachukua chumba akaanza kutafuta vibarua amemchukua mke 2017 akaanza piga saidia fundi beba sana zege jichanganya mapori ya ulinzi shirikishi usiku na kwenye makampuni ya ulinzi si haba mke akamwelewa 2020 akamtunuku mtoto wa kwanza msoto na wewe 2022 mke akamtunuku mtoto wa Pili sasa ni baba Ila kula yake na ya familia yake anaijua yeye na Mungu wake Ila maisha yanasonga Leo kapata kesho kakosa Ila alichobahatika alipata mwanamke mvumilivu sijapata kuona wangekua hawa maslay queen wanaotutunishia matako yaan siku 2 nyingi kashakimbiwa 2023 sasa ni baba wa watoto wawili anaishi chumba cha Giza Kodi inakata Mwezi ujao na hajui atamlipa nini mwenye nyumba lakini hajakata tamaa anakomaa na mkewe mpaka kieleweke , wewe unashindwaje mwanaume Simba toka lini akamwacha Swala aende?
 
2020 niliacha binti kwa style hiyo kwa sababu hiyo hiyo ya kupigika na najua asinge weza nivumilia mashida zangu na sikumwambia kuwa nimekuacha ila nilijiweka sipo-nipo ahadi nikaisogeza mbele ili aamue kusepa au kubaki akasepa zake. Last conversation yetu alinitukana kipuuzi saana eti kama ni pesa basi niwe freemason nitapata kwa kebehi lukuki kedekede nikanyong'onyea kiasi ila nashukuru nilijiandaa kwa kila kitakacho tokea baada ya maamuzi yale. Mungu ni mwingi wa rehema nimehangaika angalau nipo njia yenye uelekeo wakujitafuta zaidi. Aliolewa now sijui maisha yake ila tia maji kachoka walio mwona wanavyosema. This is life. Hakuna wakukuvumilia pambania kombe lako mapenzi waachie wahindi wale waigizaji
Unakosea,Mimi wangu alinivumilia miaka 10 ya msoto na hakuwahi kunidharau na hela ya kutembeza bahasha alikuwa ananipa,yeye alikuwa anafanya kazi.U know what?nilipata kazi sasa ni mke wangu na nipo vzr kiuchumi.
 
Nimekua pamoja na huyu binti kwa miaka miwili na ziada. Marafiki na baadhi ya ndugu kila upande wanajua mahusiano yetu. Kilichopelekea kuachana nae ni hali yangu duni kiuchumi. Kwa kipindi cha takribani mwaka na nusu sasa napitia hali ngumu sana...
Mbona kama umepoteza binti mwema kwa inferiority complex yako?
 
Me nimeiona familia mwamba ana kazi nzuri tu, maisha kwa macho yapo poa tu lkn yy na my wife wake wana mgogoro na wife anataka kuondoka nyumbani.

Hata ukiipata hiyo hela sio guarantee kwamba amani itakuwepo.

Wanawake wanamambo mengi sn, ukiwapa hili watadai lile shida mwanzo mwisho.

Usivichukulie serious sn hv viumbe mkuu.
 
Pole Natafuta Ajira
Ungebaki nae tu,muhimu alielewa hali yako na bado akachagua kuwepo kwenye maisha yako
Huyu jamaa hajiamini hata ukiangalia maandiko yake unaona kabisa ni mtu hana confidence kabisa!

Mwanaume uwezi kujiliza liza kwa mwanamke na kumuonesha hujiwezi …kama mwanamke hakumuacha na hakuwai kusema basi mwanamke aliona future kwa mshikaji kumbe mshikaji haoni future ndani yake ndio maana kakimbia mtanange.

Huyu hata akipata hela bado hatokuwa na confidence ya kukaa na mwanamke kwakuwa ataona hela alizonazo ni chache hivyo atakimbia.

Jamaa ana shida ya kutokujiamini alitakiwa akomae na huyo demu hata kwa kumpa pesa ndogo ndogo mara moja …kwani kama anampango wa kuendelea kuhustle kwanini amuache huyo mwanamke? Huyu jamaa anataka kurelax tu.

Alitakiwa kuendelea kupambana nae kunasiku una mpiga fix na siku nyingine unampa na siku nyingine unamwambia hauna. Sasa kulia lia hivi unafikiri ni suluhu?

Mimi naamini angeendelea na huyo mwanamke ingemsaidia sana kutafuta hela kwa hasira….
 
Kosa kubwa umefanya,Kwa hiyo ukipata hela ndio utatafuta mke?utapata Malaya tu
Yes of course ndio hivyo hapo ni kusaka Malaya tu, mwanamke atapiga kelele za hela Ila km anakupenda wapo wanaokomaa na dagaa chungu wanaamini ipo siku utaangusha ndama tu maana siku hazifanani ieleweke hapa sizungumzii maslayqueen wapigaji wa town
 
Kuna mwenzio ameoa mke kwa Mali kauli ikiwa hata kushika 500 kwa uwezo Hana akamtoa bush akaja nae town chumba cha Giza mwananyamala kwa makoma kwa mwezi 7000/- kachukua chumba akaanza kutafuta vibarua amemchukua mke 2017 akaanza piga saidia fundi beba sana zege jichanganya mapori ya ulinzi shirikishi usiku na kwenye makampuni ya ulinzi si haba mke akamwelewa 2020 akamtunuku mtoto wa kwanza msoto na wewe 2022 mke akamtunuku mtoto wa Pili sasa ni baba Ila kula yake na ya familia yake anaijua yeye na Mungu wake Ila maisha yanasonga Leo kapata kesho kakosa Ila alichobahatika alipata mwanamke mvumilivu sijapata kuona wangekua hawa maslay queen wanaotutunishia matako yaan siku 2 nyingi kashakimbiwa 2023 sasa ni baba wa watoto wawili anaishi chumba cha Giza Kodi inakata Mwezi ujao na hajui atamlipa nini mwenye nyumba lakini hajakata tamaa anakomaa na mkewe mpaka kieleweke , wewe unashindwaje mwanaume Simba toka lini akamwacha Swala aende?
Kuishi kwa shida sio mashindano pale unapoona una nafasi ya kuepuka yanamkuta mwenzako basi chukua hatua sahihi
 
Hapana mkuu sijafurahishwa na huwa sipendi kumfuatilia wanaonipa taarifa nimewakataza wasinipe taarifa za kumhusu yeye. Na huwa sikuwa na ubaya wowote na yeye sema alishindwa kuonesha kunisupport kwenye hz hustle za mtaa so akaona anitukane kuwa kama nipesa niwe freemason. Mkuu mm sina kinyongo wala kisasi nae maana i was real 100%
Haya ni maneno ya binadamu anayejielewa. Safi sana bro!

Hawa wenzetu nao ni binadamu na wana uhuru kamili wa kujiamulia mustakhabali wa maisha yao. Wakati mwingine wanatukosea sana na kutuumiza lakini ndiyo maisha. We be real. We love them dearly (with pure intentions kama ulivyofanya) na wakiamua kuondoka, we wish them well...na maisha yanaendelea 🙏🏿🙏🏿 🙏🏿
 
Huyu jamaa hajiamini hata ukiangalia maandiko yake unaona kabisa ni mtu hana confidence kabisa!

Mwanaume uwezi kujiliza liza kwa mwanamke na kumuonesha hujiwezi …kama mwanamke hakumuacha na hakuwai kusema basi mwanamke aliona future kwa mshikaji kumbe mshikaji haoni future ndani yake ndio maana kakimbia mtanange.

Huyu hata akipata hela bado hatokuwa na confidence ya kukaa na mwanamke kwakuwa ataona hela alizonazo ni chache hivyo atakimbia.

Jamaa ana shida ya kutokujiamini alitakiwa akomae na huyo demu hata kwa kumpa pesa ndogo ndogo mara moja …kwani kama anampango wa kuendelea kuhustle kwanini amuache huyo mwanamke? Huyu jamaa anataka kurelax tu.

Alitakiwa kuendelea kupambana nae kunasiku una mpiga fix na siku nyingine unampa na siku nyingine unamwambia hauna. Sasa kulia lia hivi unafikiri ni suluhu?

Mimi naamini angeendelea na huyo mwanamke ingemsaidia sana kutafuta hela kwa hasira….
Kuna mambo yanaonekana ni rahisi sana kama hayajakukuta wewe.
 
Nafsi inanisuta najiona nampotezea muda nilishafanya majaribio kadhaa kumyima attention, kukata mawasiliano n.k ili mwenyewe ajiongeze nikaona imeshindikana ikabidi nimuambie tu
Daaah! It's so painful, once a woman loves a man for really.
 
Wewe unaishi vipi? Usije ukawa unashambulia aliekutana na aituation ambayo hauna uzoefu nayo au kwa stori za kuambiwa tu
Wewe unaishi vipi kivipi Mimi naishi hivyo hivyo mke wangu yupo kitengo serekalini una swali lingine?
 
Huyu jamaa hajiamini hata ukiangalia maandiko yake unaona kabisa ni mtu hana confidence kabisa!

Mwanaume uwezi kujiliza liza kwa mwanamke na kumuonesha hujiwezi …kama mwanamke hakumuacha na hakuwai kusema basi mwanamke aliona future kwa mshikaji kumbe mshikaji haoni future ndani yake ndio maana kakimbia mtanange.

Huyu hata akipata hela bado hatokuwa na confidence ya kukaa na mwanamke kwakuwa ataona hela alizonazo ni chache hivyo atakimbia.

Jamaa ana shida ya kutokujiamini alitakiwa akomae na huyo demu hata kwa kumpa pesa ndogo ndogo mara moja …kwani kama anampango wa kuendelea kuhustle kwanini amuache huyo mwanamke? Huyu jamaa anataka kurelax tu.

Alitakiwa kuendelea kupambana nae kunasiku una mpiga fix na siku nyingine unampa na siku nyingine unamwambia hauna. Sasa kulia lia hivi unafikiri ni suluhu?

Mimi naamini angeendelea na huyo mwanamke ingemsaidia sana kutafuta hela kwa hasira….
Mkuu unatania au uko serious?iv confidence bila Hela inatokea wap?mbona kama unajifanya umetua bongo Leo na hauna experience na Hawa dada zetu?
 
Back
Top Bottom