Mbeya home
Member
- Jan 4, 2021
- 88
- 123
[emoji110][emoji110][emoji110][emoji110]Pole Natafuta Ajira
Ungebaki nae tu,muhimu alielewa hali yako na bado akachagua kuwepo kwenye maisha yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji110][emoji110][emoji110][emoji110]Pole Natafuta Ajira
Ungebaki nae tu,muhimu alielewa hali yako na bado akachagua kuwepo kwenye maisha yako
umekosea sana,ulitakiwa kumwelezacwaziwazi kuwa una hali ngumu sana ya kipato,ili mjadala wenu ndio uwaongoze ama muachane,au mtafute njia nyingine ya kutafuta kipatoNimekua pamoja na huyu binti kwa miaka miwili na ziada. Marafiki na baadhi ya ndugu kila upande wanajua mahusiano yetu. Kilichopelekea kuachana nae ni hali yangu duni kiuchumi. Kwa kipindi cha takribani mwaka na nusu sasa napitia hali ngumu sana.
Kwa mwanaume ni ngumu kudumisha mahusiano kama haupo stable kiuchumi, sio binti muomba hela akiniomba basi najua kabisa huyu ana shida kweli tatizo hata hizo mara chache anapoomba msaada wangu nakua sina kitu.
Baada ya kujitafakari nimeona ni bora tuachane uenda akakakutana na mwingine mwenye hali nzuri. Sijamuambia sababu nipo broke nimetafuta sababu nyingine. Kama kawaida kaniaga kwa maneno makali kidogo lakini nilishajiandaa kwa ilo.
Vijana wenzangu usiwe commited kwenye mahusiano kama bado uchumi unayumba. Hata kama mwanamke anakupenda kwa hali yako hautakuwa sawa kisaikolojia. Siku ya pili sasa bado najilaumu kwa nilichokifanya lakini maisha lazima yaendelee. Nimelazimika kumuacha kwa sababu nampenda.
Haya maisha Ni ya kijinga mno ,hiyo familia inatengeneza mlolongo WA umasikini mpaka kufaaaa ....kiufupi hayo maisha watoto wanaenda kujuta kwann wamezaliwa ...Kuna mwenzio ameoa mke kwa Mali kauli ikiwa hata kushika 500 kwa uwezo Hana akamtoa bush akaja nae town chumba cha Giza mwananyamala kwa makoma kwa mwezi 7000/- kachukua chumba akaanza kutafuta vibarua amemchukua mke 2017 akaanza piga saidia fundi beba sana zege jichanganya mapori ya ulinzi shirikishi usiku na kwenye makampuni ya ulinzi si haba mke akamwelewa 2020 akamtunuku mtoto wa kwanza msoto na wewe 2022 mke akamtunuku mtoto wa Pili sasa ni baba Ila kula yake na ya familia yake anaijua yeye na Mungu wake Ila maisha yanasonga Leo kapata kesho kakosa Ila alichobahatika alipata mwanamke mvumilivu sijapata kuona wangekua hawa maslay queen wanaotutunishia matako yaan siku 2 nyingi kashakimbiwa 2023 sasa ni baba wa watoto wawili anaishi chumba cha Giza Kodi inakata Mwezi ujao na hajui atamlipa nini mwenye nyumba lakini hajakata tamaa anakomaa na mkewe mpaka kieleweke , wewe unashindwaje mwanaume Simba toka lini akamwacha Swala aende?
Ndio Maisha yenyewe haya haya utafanyaje on one way jamaa anafurahia kuoa on another way jamaa anajutia kuoa Ila ndio ishatokea kila Jambo lina faida na hasara Ila kikubwa akitaka pa kukojolea bila malipo anapo ananunui km wengine kikubwa UhaiHaya maisha Ni ya kijinga mno ,hiyo familia inatengeneza mlolongo WA umasikini mpaka kufaaaa ....kiufupi hayo maisha watoto wanaenda kujuta kwann wamezaliwa ...
Kwa hio lengo kwenye maisha Ni kupata pa kukojolea ? Atakojolea Sana na kuzaa watoto Zaidi ya 7 unajua what next ....Ni kuongezeka omba omba na machokolaa mtaani ,kama anakaa chumba cha Giza mpaka sasa ,watoto 3 ,bado anafurahi kuendelea kuzalisha Bora atoke mapema mjini aende kijijini mashambani akatafute urithi WA Hao watoto ambao muda Si mrefu wanaenda kuwa machokoraaa dsm ...Ndio Maisha yenyewe haya haya utafanyaje on one way jamaa anafurahia kuoa on another way jamaa anajutia kuoa Ila ndio ishatokea kila Jambo lina faida na hasara Ila kikubwa akitaka pa kukojolea bila malipo anapo ananunui km wengine kikubwa Uhai
Tanzania tuna kasumba ya kushindana kuishi maisha ya shida.Haya maisha Ni ya kijinga mno ,hiyo familia inatengeneza mlolongo WA umasikini mpaka kufaaaa ....kiufupi hayo maisha watoto wanaenda kujuta kwann wamezaliwa ...
Najua angesema tu atavumilia. Tatizo kwa upande wangu hali iyo inanitesa sana kisaikolojia.umekosea sana,ulitakiwa kumwelezacwaziwazi kuwa una hali ngumu sana ya kipato,ili mjadala wenu ndio uwaongoze ama muachane,au mtafute njia nyingine ya kutafuta kipato
Yaani alichofanya ni kukwepa majukumu, wangelijadili hili kwa mapana huenda njia ya mafanikio ingepatikana hapoumekosea sana,ulitakiwa kumwelezacwaziwazi kuwa una hali ngumu sana ya kipato,ili mjadala wenu ndio uwaongoze ama muachane,au mtafute njia nyingine ya kutafuta kipato
YMe nimeiona familia mwamba ana kazi nzuri tu, maisha kwa macho yapo poa tu lkn yy na my wife wake wana mgogoro na wife anataka kuondoka nyumbani.
Hata ukiipata hiyo hela sio guarantee kwamba amani itakuwepo.
Wanawake wanamambo mengi sn, ukiwapa hili watadai lile shida mwanzo mwisho.
Usivichukulie serious sn hv viumbe mkuu.
Masuala ya mahusiano na maisha kiujumla ni rahisi sana kuyatolea maelezo ya kitaalamu pale ambapo situation husika haijakukuta wewe.Yaani alichofanya ni kukwepa majukumu, wangelijadili hili kwa mapana huenda njia ya mafanikio ingepatikana hapo
Pia huwezi jua huyo mwanamke ndio akawa njia ya mafanikio yenyewe.
Naona jamaa hajasimamia wajibu wake, kuachana kupo kwa sababu mbali mbali lakini isiwe ndani ya uwezo wako na wala bila kuwepo sababu ya msingi kama hii ya upungufu wakipato.
Sasa ukimuacha ndio maisha yame/ yatakuwa mazuri?.
Muombe radhi mrudie kisha muangalie njia ipi itafanya mpate nafuu ya kiuchumi.
nakaribia miaka 40 ya kuishi hapa duniani, nimepitia hali tofautitofauti kiuchumi na kimahusiano kwa nyakati tofauti pia.Masuala ya mahusiano na maisha kiujumla ni rahisi sana kuyatolea maelezo ya kitaalamu pale ambapo situation husika haijakukuta wewe.
afaddhali bana hujajinyonga na wala hukumchinja mwenzio.Nimekua pamoja na huyu binti kwa miaka miwili na ziada. Marafiki na baadhi ya ndugu kila upande wanajua mahusiano yetu. Kilichopelekea kuachana nae ni hali yangu duni kiuchumi. Kwa kipindi cha takribani mwaka na nusu sasa napitia hali ngumu sana.
Kwa mwanaume ni ngumu kudumisha mahusiano kama haupo stable kiuchumi, sio binti muomba hela akiniomba basi najua kabisa huyu ana shida kweli tatizo hata hizo mara chache anapoomba msaada wangu nakua sina kitu.
Baada ya kujitafakari nimeona ni bora tuachane uenda akakakutana na mwingine mwenye hali nzuri. Sijamuambia sababu nipo broke nimetafuta sababu nyingine. Kama kawaida kaniaga kwa maneno makali kidogo lakini nilishajiandaa kwa ilo.
Vijana wenzangu usiwe commited kwenye mahusiano kama bado uchumi unayumba. Hata kama mwanamke anakupenda kwa hali yako hautakuwa sawa kisaikolojia. Siku ya pili sasa bado najilaumu kwa nilichokifanya lakini maisha lazima yaendelee. Nimelazimika kumuacha kwa sababu nampenda.
Napambana sana mkuu lakini hakuna matumaini na ofcourse lazima iniume kuachana na mtu hajanikosea chochote. Najua baada ya dhiki ni faraja lakini sio wote wanaipata iyo faraja kuna ambao wanaishia kwenye dhiki zao maisha yao yote. vipi kama iyo ndio fate yangu? Ni story za waliofanikiwa baada ya kula msoto ndio zinatrend sana ndio maana imejengeka vichwani mwa watu baada ya shida lazima utakuja kufanikiwa kitu ambacho sio kweli, trust me kuna kundi kubwa zaidi linaishia kwenye msoto maisha yote ni vile tu story zao hazivutii watazamaji/wasikilizaji kwenye jamii kwaiyo hazina airtime ya kutosha. Sawa nitajifikiria mimi tu niendelee kuwa nae lakini kumbuka nae kama binadamu ana matamanio yake kama kuolewa, kuwa na familia imara (kiuchumi, kimaadili n.k) hauoni kama mimi nitakua kikwazo kwake? Nikilazimisha mahusiano wakati sina uwezo vp akipata mimba hauni kama naenda kutengeneza chain ya umasikini kwenye kizazi changu? Nimeona nimuache aende anaweza kumpata mwenye uwezo wakaishi vizuri. Acha mimi niendelee kujitafuta kama tushaandikiwa kuwa pamoja tutakutana tu uko mbele ya safari.nakaribia miaka 40 ya kuishi hapa duniani, nimepitia hali tofautitofauti kiuchumi na kimahusiano kwa nyakati tofauti pia.
Kwa hiyo nina uzoefu wa nini naongea, wewe ni starter yaani hujajipata bado lakini naona unafeli mwanzoni kabisa kutokana na hatua unazochukua.
Kuachana kupo sana na hata mimi nimeachana, lakini itokee kwasababu ya jambo ambalo lipo nje ya uwezo na ni gumu kutatulika kwa urahisi.
Hili lako una uwezo nalo, pambana , mrudishe mpenzio katika himaya yako.
Halafu naona hili unalijutia hapo ulipo sema unakaza fuvu tu, ndio maana umelileta huku.
Ok sawa! Hii imeenda.... nakutakia kheri Mungu akufanyie wepesi katika utafutaji wako .Napambana sana mkuu lakini hakuna matumaini na ofcourse lazima iniume kuachana na mtu hajanikosea chochote. Najua baada ya dhiki ni faraja lakini sio wote wanaipata iyo faraja kuna ambao wanaishia kwenye dhiki zao maisha yao yote. vipi kama iyo ndio fate yangu? Ni story za waliofanikiwa baada ya kula msoto ndio zinatrend sana ndio maana imejengeka vichwani mwa watu baada ya shida lazima utakuja kufanikiwa kitu ambacho sio kweli, trust me kuna kundi kubwa zaidi linaishia kwenye msoto maisha yote ni vile tu story zao hazivutii watazamaji/wasikilizaji kwenye jamii kwaiyo hazina airtime ya kutosha. Sawa nitajifikiria mimi tu niendelee kuwa nae lakini kumbuka nae kama binadamu ana matamanio yake kama kuolewa, kuwa na familia imara (kiuchumi, kimaadili n.k) hauoni kama mimi nitakua kikwazo kwake? Nikilazimisha mahusiano wakati sina uwezo vp akipata mimba hauni kama naenda kutengeneza chain ya umasikini kwenye kizazi changu? Nimeona nimuache aende anaweza kumpata mwenye uwezo wakaishi vizuri. Acha mimi niendelee kujitafuta kama tushaandikiwa kuwa pamoja tutakutana tu uko mbele ya safari.
Huyu jamaa hajiamini hata ukiangalia maandiko yake unaona kabisa ni mtu hana confidence kabisa!
Mwanaume uwezi kujiliza liza kwa mwanamke na kumuonesha hujiwezi …kama mwanamke hakumuacha na hakuwai kusema basi mwanamke aliona future kwa mshikaji kumbe mshikaji haoni future ndani yake ndio maana kakimbia mtanange.
Huyu hata akipata hela bado hatokuwa na confidence ya kukaa na mwanamke kwakuwa ataona hela alizonazo ni chache hivyo atakimbia.
Jamaa ana shida ya kutokujiamini alitakiwa akomae na huyo demu hata kwa kumpa pesa ndogo ndogo mara moja …kwani kama anampango wa kuendelea kuhustle kwanini amuache huyo mwanamke? Huyu jamaa anataka kurelax tu.
Alitakiwa kuendelea kupambana nae kunasiku una mpiga fix na siku nyingine unampa na siku nyingine unamwambia hauna. Sasa kulia lia hivi unafikiri ni suluhu?
Mimi naamini angeendelea na huyo mwanamke ingemsaidia sana kutafuta hela kwa hasira….
Achana na sound za motivational speakers izo wanaoongea mambo ambayo hawajayaishi au kuyafanya kwa vitendo. Confidence ina traits zake and one of them is financial wellbeing.
Ungemchana ukweli then ukamuachaNimekua pamoja na huyu binti kwa miaka miwili na ziada. Marafiki na baadhi ya ndugu kila upande wanajua mahusiano yetu. Kilichopelekea kuachana nae ni hali yangu duni kiuchumi. Kwa kipindi cha takribani mwaka na nusu sasa napitia hali ngumu sana.
Kwa mwanaume ni ngumu kudumisha mahusiano kama haupo stable kiuchumi, sio binti muomba hela akiniomba basi najua kabisa huyu ana shida kweli tatizo hata hizo mara chache anapoomba msaada wangu nakua sina kitu.
Baada ya kujitafakari nimeona ni bora tuachane uenda akakakutana na mwingine mwenye hali nzuri. Sijamuambia sababu nipo broke nimetafuta sababu nyingine. Kama kawaida kaniaga kwa maneno makali kidogo lakini nilishajiandaa kwa ilo.
Vijana wenzangu usiwe commited kwenye mahusiano kama bado uchumi unayumba. Hata kama mwanamke anakupenda kwa hali yako hautakuwa sawa kisaikolojia. Siku ya pili sasa bado najilaumu kwa nilichokifanya lakini maisha lazima yaendelee. Nimelazimika kumuacha kwa sababu nampenda.
NdioKwa hiyo kama huna pesa huna haki ya kupenda/ndwa?
Kama ipo nafasi mrudie mwenzako,pambana akiwepo
Kususa haikusaidii kitu
Kwa sasa huna mpenzi,pesa huna unaanza kuchukua sheria mkononi sio?