Tumeachana rasmi

Tumeachana rasmi

Mkuu kwani wewe huna kazi yeyote inayo kuingizia hata buku mbili? Kwa hiyo utaanza kuwa na mwanamke ukiwa tajiri? Mimi naamini kwa ulichonacho bado mgepambana wote lakini wewe kuondoka umeonesha udhaifu ….yeye kama alikubali kuwa nawe kwanini ukimbie?
Sina kazi yoyote mkuu. Kama ramani inasomeka upande huo tupeane connection
 
Nimekua pamoja na huyu binti kwa miaka miwili na ziada. Marafiki na baadhi ya ndugu kila upande wanajua mahusiano yetu. Kilichopelekea kuachana nae ni hali yangu duni kiuchumi. Kwa kipindi cha takribani mwaka na nusu sasa napitia hali ngumu sana.

Kwa mwanaume ni ngumu kudumisha mahusiano kama haupo stable kiuchumi, sio binti muomba hela akiniomba basi najua kabisa huyu ana shida kweli tatizo hata hizo mara chache anapoomba msaada wangu nakua sina kitu.

Baada ya kujitafakari nimeona ni bora tuachane uenda akakakutana na mwingine mwenye hali nzuri. Sijamuambia sababu nipo broke nimetafuta sababu nyingine. Kama kawaida kaniaga kwa maneno makali kidogo lakini nilishajiandaa kwa ilo.

Vijana wenzangu usiwe commited kwenye mahusiano kama bado uchumi unayumba. Hata kama mwanamke anakupenda kwa hali yako hautakuwa sawa kisaikolojia. Siku ya pili sasa bado najilaumu kwa nilichokifanya lakini maisha lazima yaendelee. Nimelazimika kumuacha kwa sababu nampenda.
Vipi siku ukioa halafu uchumi wako ukaporomoka je, utaamua kuachana na mkeo ili aolewe na Mwanaume mwenye hali nzuri kifedha?
 
nakaribia miaka 40 ya kuishi hapa duniani, nimepitia hali tofautitofauti kiuchumi na kimahusiano kwa nyakati tofauti pia.

Kwa hiyo nina uzoefu wa nini naongea, wewe ni starter yaani hujajipata bado lakini naona unafeli mwanzoni kabisa kutokana na hatua unazochukua.
Kuachana kupo sana na hata mimi nimeachana, lakini itokee kwasababu ya jambo ambalo lipo nje ya uwezo na ni gumu kutatulika kwa urahisi.
Hili lako una uwezo nalo, pambana , mrudishe mpenzio katika himaya yako.

Halafu naona hili unalijutia hapo ulipo sema unakaza fuvu tu, ndio maana umelileta huku.
Huyu jamaa mshamba, kuna mambo ameyaficha. Its either hakuwa na mapenzi ya kweli na huyo demu na amepata next better option au la ameshagundua kuwa demu tayari ana mtu mwengine so anaweza akachekechwa at any moment.

Wanaume huwa hatuachi wanawake tunaowapenda kirahisi regardless what isipokuwa penye dalili za usaliti tu. Kukosa hela haijawahi kuwa sababu ya kuacha mwanamke mtoa mada ajiangalie maana kuna dalili atakuja kuikimbia familia yake siku 1 huko mbeleni.
 
Daaah[emoji119][emoji119][emoji119]kumbe unaweza kuachwa coz mwenzako anakupenda
Uongo umedevelop sana miaka hii, siasa imeingia hadi penzini kudadadeq! Unaachwa sababu unapendwa zaidi 🤣
 
Hicho ndicho nimegundua na nimeanza kukifanyia kazi. Ingawa ukijipata thamani ya jinsia nyingine itashuka kwa kujuwa hapa bila hela sipendwi ndio iyo inapelekea mwanaume kuwaangalia wanawake kama chombo cha starehe tu, mambo yakiwa mazuri financialy hopeful nitauvuka huo mtihani
Pambana sana mkuu ila tambua umri aukusubirii upate hela. Usije ukaishia kuchanganyikiwa tu mbeleni.
 
Wacheni uasherati na uzinzi, ni uchafu. Oaneni.

Angekuwa mkeo wa ndoa saa hizi hata mashemeji wanakupiga tafu.
 
Kwa hiyo tia maji na kuchoka kwake wewe kunakufurahisha maana ni kama umeandika kipande hicho kwa bashasha sana.

Muombee afanikiwe na awe na maisha mazuri huko aliko bana. Kufurahishwa na maisha magumu ya ex wako siyo ishara nzuri....
Mimi ilinitokea nikawa nadata lakini nilishangaa yule mwanamke anawatafuta ndugu anawaambia ndugu yenu hayupo sawa kaeni nae vizuri muongee siku akaniita akaniambia unaelekea kuwehuka nilimsikiliza nikajitafakari now alhamdulilah
 
Huyu jamaa mshamba, kuna mambo ameyaficha. Its either hakuwa na mapenzi ya kweli na huyo demu na amepata next better option au la ameshagundua kuwa demu tayari ana mtu mwengine so anaweza akachekechwa at any moment.

Wanaume huwa hatuachi wanawake tunaowapenda kirahisi regardless what isipokuwa penye dalili za usaliti tu. Kukosa hela haijawahi kuwa sababu ya kuacha mwanamke mtoa mada ajiangalie maana kuna dalili atakuja kuikimbia familia yake siku 1 huko mbeleni.
"Akachekechwa" 🤣🤣🙌
 
Huyu jamaa mshamba, kuna mambo ameyaficha. Its either hakuwa na mapenzi ya kweli na huyo demu na amepata next better option au la ameshagundua kuwa demu tayari ana mtu mwengine so anaweza akachekechwa at any moment.

Wanaume huwa hatuachi wanawake tunaowapenda kirahisi regardless what isipokuwa penye dalili za usaliti tu. Kukosa hela haijawahi kuwa sababu ya kuacha mwanamke mtoa mada ajiangalie maana kuna dalili atakuja kuikimbia familia yake siku 1 huko mbeleni.
Maisha ni rahisi sana kuyatolea maelezo ya kitaalamu au dhihaka ikiwa situation husika haijakukuta wewe.
 
Huyu jamaa mshamba, kuna mambo ameyaficha. Its either hakuwa na mapenzi ya kweli na huyo demu na amepata next better option au la ameshagundua kuwa demu tayari ana mtu mwengine so anaweza akachekechwa at any moment.

Wanaume huwa hatuachi wanawake tunaowapenda kirahisi regardless what isipokuwa penye dalili za usaliti tu. Kukosa hela haijawahi kuwa sababu ya kuacha mwanamke mtoa mada ajiangalie maana kuna dalili atakuja kuikimbia familia yake siku 1 huko mbeleni.

So hamuachi mwanamke kirahisi[emoji848]
 
Unakosea,Mimi wangu alinivumilia miaka 10 ya msoto na hakuwahi kunidharau na hela ya kutembeza bahasha alikuwa ananipa,yeye alikuwa anafanya kazi.U know what?nilipata kazi sasa ni mke wangu na nipo vzr kiuchumi.
Hizi story za namna hii zinavutia Sana na kuoendeza ukizisoma na hata zikiimbwa kwenye music na naamini kila mwanaume anahitaji hiki lakini je mwanamke yupo tayari, so kitu Kama hiki kuwezekana ni inategemea kwenye maamuzi ya mwanamke na si mwanaume, mwanaume hauwezi amua kitu hiki kitokee ila mwanamke anaouwezo huo so sio cha kujisifu mwanaume bali kushukuru tu.
 
Back
Top Bottom