Tumeambiwa na Kusomeshwa kuwa Waarabu ndio walioanzisha Biashara haramu ya utumwa Nchini Zanzibar

Tumeambiwa na Kusomeshwa kuwa Waarabu ndio walioanzisha Biashara haramu ya utumwa Nchini Zanzibar

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
6,515
Reaction score
6,230
Hii nimeipata sehemu, jioneeni wenyewe.

Tumeambiwa na Kusomeshwa kuwa Waarabu ndio walioanzisha Biashara haramu ya utumwa Nchini Zanzibar (Na Waarabu hili Walikataa katakata). Leo Wazungu wenyewe Wanakiri kuwa wao ndio walioanzisha Biashara ya utumwa hiyo haramu ya utumwa Nchini Zanzibar, na pia wameomba samahani kwa kitendo hicho hadharani. Hii Inathibitisha ukweli umedhihiri na uongo umejitenga. Haki siku zote itabaki ni haki tu. Ukristo uliingia Zanzibar kabla ya kuingia Tanganyika! Ndio maana leo Makanisa ya Mkunazini na Mbweni sasa yanatimiza miaka 400.

Hakuna Kanisa Tanganyika linalofikia hata Miaka 250 - Hakuna, Kuanzia leo Ndugu zetu Wakristo elimisheni jamii Shuleni na sehemu za Makumbusho ya enzi za kale ya kwamba Biashara hiyo kwa kauli na utamshi ilifanywa na Wazungu na sio Waarabu, sisi kama sisi Waislamu na Ndugu zetu Waarabu hatuna budi ya kusema ALHAMDULILAH ALLAHU AKBAR UKWELI UMEDHIHIRIKA NA BATIL IMETAMBULIWA WASHAHADA SHAHIIDUN MIN AHLIHAA.

Palestine 🇵🇸 will be free in shaa Allah!
 
Hebu punguza propaganda za waarabu kujihusisha na utumwa wakati historia ipo wazi akina tip tipu wakifanya ulanguzi wa kuuza watu. Ungesema wazungu walinunua watumwa toka kwa waarabu/waislam ungeeleweka. Au ungesema walihodhi biashara ni wazungu na waarabu walikuwa ni mawakala tu ungeeleweka. Sasa wazungu wameomba radhi kwa upande wao, na waarabu nao wanapaswa kuomba radhi kwa ushiriki wao, acha kurukaruka kwa kushangilia huku ukishadidia uislam wako wakati madhara ya uislam yangalipo hata sasa jamii imezama kwenye tope zito la uislam/utumwa na ni shughuli pevu kuinasua itoke kwenye utumwa huo wa kifikra na kitamaduni toka ng'ambo
 
Hebu punguza propaganda za waarabu kujihusisha na utumwa wakati historia ipo wazi akina tip tipu wakifanya ulanguzi wa kuuza watu. Ungesema wazungu walinunua watumwa toka kwa waarabu/waislam ungeeleweka. Au ungesema walihodhi biashara ni wazungu na waarabu walikuwa ni mawakala tu ungeeleweka. Sasa wazungu wameomba radhi kwa upande wao, na waarabu nao wanapaswa kuomba radhi kwa ushiriki wao, acha kurukaruka kwa kushangilia huku ukishadidia uislam wako wakati madhara ya uislam yangalipo hata sasa jamii imezama kwenye tope zito la uislam/utumwa na ni shughuli pevu kuinasua itoke kwenye utumwa huo wa kifikra na kitamaduni toka ng'ambo
Haliwezi kukuelewa hilo!
 
Kama ingekuwa ni hukumu wote waliohusika na biashara hiyo wangehukumiwa kwa kosa hilo kuanzia kwa aliyohodhi, wakala na aliyeuza watu wake. Hawa machifu na watemi waliouza watu wao kwa mawakala wa biashara hiyo wanapaswa kuomba radhi. Zipo tawala za kijadi/asili ambazo zilihusika na biashara hiyo vizazi vyao wapo waombe radhi, yu mkini mabalaa, mikosi na laana ziwatoke katika jamii zao. Toba ni muhimu sana kuna nguvu katika kuomba radhi wazungu wanajua hilo ndio maana wanaomba radhi na waarabu waombe radhi wasishupaze shingo na kuwa na kiburi cha dini yao kiislam isiwe kinga wakati walishiriki kufanya ushetani huo mpaka wazungu wakaona ni dhambi kwa Mungu kuuza watu. Kwa nini waarabu ni wabishi wakati bagamoyo inawasuta? Halafu anatokea muislam anatetea waumini wenzake kuwa hawakufanya biashara hiyo na wahanga mateka walio kwenye dini hiyo wanaona ni sawa. Mateka wameharibiwa akili mpaka hawaoni ubaya waliofanyiwa babu zao still wanafuata mila na tamaduni za washenzi hao waliouza babu zetu
 
Puuzi linarukaruka likishabikia dini yake allah akbar linaona raha wazungu wakijifaragua ushiriki wao kwenye biashara hiyo. Wazungu ndio waliokomesha biashara hiyo, ni zamu ya waarabu nao kukiri na kuomba radhi ushiriki wao, wasijifiche kwenye uislam wao still wanautumia kuendeleza utumwa tena utumwa mbaya zaidi wa kifikra na kitamaduni ongeza na uchumi. Wanatengeneza matrilioni ya hela kwa kutumia dini yao kila mwaka watu wanakwenda eti kuhiji maka! Ifike muda utumwa huu wa kifikra na kitamaduni nao ukomeshwe haukubaliki. Wame impose utamaduni wao kwa kumeza tamaduni za mataifa mengi hususani ya afrika na kuwageuza nyumbu wa imani zao walizozisimika tangu waje afrika. Tumewashitukia hatutaki tena imani na tamaduni zao za kitumwa, tuko huru
 
Quran imeandika biashara ya utumwa hata mtume muhammad kafanya

Hebu punguza propaganda za waarabu kujihusisha na utumwa wakati historia ipo wazi akina tip tipu wakifanya ulanguzi wa kuuza watu. Ungesema wazungu walinunua watumwa toka kwa waarabu/waislam ungeeleweka. Au ungesema walihodhi biashara ni wazungu na waarabu walikuwa ni mawakala tu ungeeleweka. Sasa wazungu wameomba radhi kwa upande wao, na waarabu nao wanapaswa kuomba radhi kwa ushiriki wao, acha kurukaruka kwa kushangilia huku ukishadidia uislam wako wakati madhara ya uislam yangalipo hata sasa jamii imezama kwenye tope zito la uislam/utumwa na ni shughuli pevu kuinasua itoke kwenye utumwa huo wa kifikra na kitamaduni toka ng'ambo

Waombe radhi kwa kitu ambacho hawajakifanya! Wewe endelea kuamini tu waarabu walishiriki, ila wenye elimu zao wanajua kama waarabu hawakuhusika.

Waarabu wabarikiwe sana
 
Puuzi linarukaruka likishabikia dini yake allah akbar linaona raha wazungu wakijifaragua ushiriki wao kwenye biashara hiyo. Wazungu ndio waliokomesha biashara hiyo, ni zamu ya waarabu nao kukiri na kuomba radhi ushiriki wao, wasijifiche kwenye uislam wao still wanautumia kuendeleza utumwa tena utumwa mbaya zaidi wa kifikra na kitamaduni ongeza na uchumi. Wanatengeneza matrilioni ya hela kwa kutumia dini yao kila mwaka watu wanakwenda eti kuhiji maka! Ifike muda utumwa huu wa kifikra na kitamaduni nao ukomeshwe haukubaliki. Wame impose utamaduni wao kwa kumeza tamaduni za mataifa mengi hususani ya afrika na kuwageuza nyumbu wa imani zao walizozisimika tangu waje afrika. Tumewashitukia hatutaki tena imani na tamaduni zao za kitumwa, tuko huru

Uislamu upo, na utaendelea kuwepo na unazidi kunawiri siku hadi siku, eti waombe radhi, wewe ulikuwepo wakati wanafanya uharamia huo?
 
Kama ingekuwa ni hukumu wote waliohusika na biashara hiyo wangehukumiwa kwa kosa hilo kuanzia kwa aliyohodhi, wakala na aliyeuza watu wake. Hawa machifu na watemi waliouza watu wao kwa mawakala wa biashara hiyo wanapaswa kuomba radhi. Zipo tawala za kijadi/asili ambazo zilihusika na biashara hiyo vizazi vyao wapo waombe radhi, yu mkini mabalaa, mikosi na laana ziwatoke katika jamii zao. Toba ni muhimu sana kuna nguvu katika kuomba radhi wazungu wanajua hilo ndio maana wanaomba radhi na waarabu waombe radhi wasishupaze shingo na kuwa na kiburi cha dini yao kiislam isiwe kinga wakati walishiriki kufanya ushetani huo mpaka wazungu wakaona ni dhambi kwa Mungu kuuza watu. Kwa nini waarabu ni wabishi wakati bagamoyo inawasuta? Halafu anatokea muislam anatetea waumini wenzake kuwa hawakufanya biashara hiyo na wahanga mateka walio kwenye dini hiyo wanaona ni sawa. Mateka wameharibiwa akili mpaka hawaoni ubaya waliofanyiwa babu zao still wanafuata mila na tamaduni za washenzi hao waliouza babu zetu

Kinachokusumbua ni chuki dhidi ya waarabu na Uisilamu kwa ujumla, na si kingine.

Swali, ulikuwepo wakati waarabu wanafanya biashara hiyo?
 
Okay
 

Attachments

  • main-qimg-362eb8cccacb0b71ffcf421eef6033f1-lq.jpeg
    main-qimg-362eb8cccacb0b71ffcf421eef6033f1-lq.jpeg
    57.8 KB · Views: 13
Hebu punguza propaganda za waarabu kujihusisha na utumwa wakati historia ipo wazi akina tip tipu wakifanya ulanguzi wa kuuza watu. Ungesema wazungu walinunua watumwa toka kwa waarabu/waislam ungeeleweka. Au ungesema walihodhi biashara ni wazungu na waarabu walikuwa ni mawakala tu ungeeleweka. Sasa wazungu wameomba radhi kwa upande wao, na waarabu nao wanapaswa kuomba radhi kwa ushiriki wao, acha kurukaruka kwa kushangilia huku ukishadidia uislam wako wakati madhara ya uislam yangalipo hata sasa jamii imezama kwenye tope zito la uislam/utumwa na ni shughuli pevu kuinasua itoke kwenye utumwa huo wa kifikra na kitamaduni toka ng'ambo

Historia ya wapi? Kanisani na mashuleni sio?
 
Waombe radhi kwa kitu ambacho hawajakifanya! Wewe endelea kuamini tu waarabu walishiriki, ila wenye elimu zao wanajua kama waarabu hawakuhusika.

Waarabu wabarikiwe sana
wabarikiwe au walaaniwe?
 
Uislamu upo, na utaendelea kuwepo na unazidi kunawiri siku hadi siku, eti waombe radhi, wewe ulikuwepo wakati wanafanya uharamia huo?
historia ndiyo inayowahukumu, vipi na wewe ulikuwepo wakati babu zako wanafanya huo uharamia?
 
Hii nimeipata sehemu, jioneeni wenyewe.

Tumeambiwa na Kusomeshwa kuwa Waarabu ndio walioanzisha Biashara haramu ya utumwa Nchini Zanzibar (Na Waarabu hili Walikataa katakata). Leo Wazungu wenyewe Wanakiri kuwa wao ndio walioanzisha Biashara ya utumwa hiyo haramu ya utumwa Nchini Zanzibar, na pia wameomba samahani kwa kitendo hicho hadharani. Hii Inathibitisha ukweli umedhihiri na uongo umejitenga. Haki siku zote itabaki ni haki tu. Ukristo uliingia Zanzibar kabla ya kuingia Tanganyika! Ndio maana leo Makanisa ya Mkunazini na Mbweni sasa yanatimiza miaka 400.

Hakuna Kanisa Tanganyika linalofikia hata Miaka 250 - Hakuna, Kuanzia leo Ndugu zetu Wakristo elimisheni jamii Shuleni na sehemu za Makumbusho ya enzi za kale ya kwamba Biashara hiyo kwa kauli na utamshi ilifanywa na Wazungu na sio Waarabu, sisi kama sisi Waislamu na Ndugu zetu Waarabu hatuna budi ya kusema ALHAMDULILAH ALLAHU AKBAR UKWELI UMEDHIHIRIKA NA BATIL IMETAMBULIWA WASHAHADA SHAHIIDUN MIN AHLIHAA.

Palestine 🇵🇸 will be free in shaa Allah!
 
Back
Top Bottom