Askari alipokuja kitu cha kwanza niliulizwa unanipa kiasi gani. Yaani hapo ndio pameoza. Sikumpa hata sumni.Wewe unasema hilo, unakuta baada ya ajali gari likipelekwa kituo cha polisi ukaliacha siku moja basi ukirudi unakuta kuna baadhi ya mali kwenye gari hazipo kama redio power window nk so hiyo ipo mpaka vituoni vya polisi unajiuliza aliechomoa ni nani, so uaminifu haupo kila mahali
Pole sana. Hiyi ndiyo hali halisi ya Tanzania, hauo yameanza kujengeka kidogo kidogo kwenye njia kuu za safari, yanaandikwa yanaongelewa, "vicgtims" wanatoa ripoti. yanawakuta wengi sana, mpoaka imekuwa ni "norm" siku hizi.Nilipata ajali ya gari Morocco bodaboda walikimbia kuja waliivamia wakaniibia kila kitu, pamoja jeki, tairi la gari, hela na kila kitu.
Juzi tu kuna mtu amepata ajali akagongwa na alikuwa na mshahara akiupeleka nyumbani kwa mkewe. Watu walimkuta na boxer tu hela wamebeba. Kila mahali kwenye ajali watu wanakimbilia kuumiza mwenye shida. Imekuwaje tumefikia hapa kama watanzania!
Pole sana. Hiyi ndiyo hali halisi ya Tanzania, hauo yameanza kujengeka kidogo kidogo kwenye njia kuu za safari, yanaandikwa yanaongelewa, "vicgtims" wanatoa ripoti. yanawakuta wengi sana, mpoaka imekuwa ni "norm" siku hizi.Nilipata ajali ya gari Morocco bodaboda walikimbia kuja waliivamia wakaniibia kila kitu, pamoja jeki, tairi la gari, hela na kila kitu.
Juzi tu kuna mtu amepata ajali akagongwa na alikuwa na mshahara akiupeleka nyumbani kwa mkewe. Watu walimkuta na boxer tu hela wamebeba. Kila mahali kwenye ajali watu wanakimbilia kuumiza mwenye shida. Imekuwaje tumefikia hapa kama watanzania!
Inaonekana labda ulikuwa hufahamu kwamba hilo ni jambo la kawaida na lipo kwa miaka mingi tu iliyopita.Nilipata ajali ya gari Morocco bodaboda walikimbia kuja waliivamia wakaniibia kila kitu, pamoja jeki, tairi la gari, hela na kila kitu.
Juzi tu kuna mtu amepata ajali akagongwa na alikuwa na mshahara akiupeleka nyumbani kwa mkewe. Watu walimkuta na boxer tu hela wamebeba. Kila mahali kwenye ajali watu wanakimbilia kuumiza mwenye shida. Imekuwaje tumefikia hapa kama watanzania!
Kufa kufaana,we kufa sie tunasepa na pochi, simu, begi, viatu,Nilipata ajali ya gari Morocco bodaboda walikimbia kuja waliivamia wakaniibia kila kitu, pamoja jeki, tairi la gari, hela na kila kitu.
Juzi tu kuna mtu amepata ajali akagongwa na alikuwa na mshahara akiupeleka nyumbani kwa mkewe. Watu walimkuta na boxer tu hela wamebeba. Kila mahali kwenye ajali watu wanakimbilia kuumiza mwenye shida. Imekuwaje tumefikia hapa kama watanzania!
Nakuelewa ndio maana mpo. Natamani tu mmalizike kila siku mmoja mmoja tusiwe na watu kama nyinyi ttk jamii wasiopenda kutafuta kwa haki bali kuumiza wengine wasio na hatia.Kufa kufaana,we kufa sie tunasepa na pochi, simu, begi, viatu,
Hatuna jinsi, maaana sie kitaa tunakufa kwa taabu, njaa, sasa, tukipata nafasi Bora afe mwingine, sie tuendelee kupumua kwenye hii dunia, sio kwa, ubaya, hatuna jinsi, ni ama wewe au Sisi, hatufanyi hayo kwa sababu hatuna utu,njaa njaa jombaa
Mama kijacho unajifungua lini?Mbowe na watu wake hao
Khery yako wewe uliyebakia salama sisi ndugu yetu alipata ajali lakini wasamalia wema wakaja wakammalizia na kuchukua kila kitu.Nilipata ajali ya gari Morocco bodaboda walikimbia kuja waliivamia wakaniibia kila kitu, pamoja jeki, tairi la gari, hela na kila kitu.
Juzi tu kuna mtu amepata ajali akagongwa na alikuwa na mshahara akiupeleka nyumbani kwa mkewe. Watu walimkuta na boxer tu hela wamebeba. Kila mahali kwenye ajali watu wanakimbilia kuumiza mwenye shida. Imekuwaje tumefikia hapa kama watanzania!
Umechelewa kujua. Siku ingine jifanye umepoteza fahamu maana wakiona bado upo upo wanaweza kukupiga na kipande cha nondo ili waibe vizuri.Nilipata ajali ya gari Morocco bodaboda walikimbia kuja waliivamia wakaniibia kila kitu, pamoja jeki, tairi la gari, hela na kila kitu.
Juzi tu kuna mtu amepata ajali akagongwa na alikuwa na mshahara akiupeleka nyumbani kwa mkewe. Watu walimkuta na boxer tu hela wamebeba. Kila mahali kwenye ajali watu wanakimbilia kuumiza mwenye shida. Imekuwaje tumefikia hapa kama watanzania!