Tumeanza kuishi kama wanyama, wakati wa ajali badala ya kusaidia watu waliopata ajali wanawaibia!

Tumeanza kuishi kama wanyama, wakati wa ajali badala ya kusaidia watu waliopata ajali wanawaibia!

Hiyo ndiyo picha halisi ya jamii ya kiTz.

Uadilifu sifuri, kuanzia mabarabarani hadi maofisini.

Kuanzia kwa raia hadi kwa viongozi wakuu, ni mwendo wa kula kwa urefu wa kamba, corruption iliyokithiri yaani ni laana.

Anayeonekana ni mwema kumbe anakuwa hajapata tufursa ya kutenda ufisadi uliopo damuni!

Fursa ya kutenda uhalifu inapojitokeza, ndipo inapodhihirisha kuwa nchi yote ni ya wezi na vibaka hii.

Pole kwa waliopata ajali na kuporwa badala ya kupatiwa msaada.
Umeongea neno ! Asante
 
Mbowe na watu wake hao
20240820_071826.jpg
 
Shida zinawafanya watu kubadilika mioyo.
 
Mikoa ya nyanda za juu ilitokea ajali ya basi zamani kidogo. Kama kawaida Wahafidhina wakawahi kuwaibia majeruhi bahati nzuri Wamasai walikua jirani.

Masai anaulizaa, "Rafiki mwenzako napata ajali, wewe naibia? Pyee anafyeka mikono.

VIVA MASAI.
 
Chezea Ufukara weyeee!! Wa tz ni mafukara na wamevurugwa na maisha.
Poleeee sanaaa.
 
Back
Top Bottom