Tumeanza kulazimisha mabasi na abiria kwenda kupakia stendi kuu?

serikali iachane kabisa na sisi abiria tunaopandia ofisi za mabasi,kule usalama mkubwa unaweza kuacha mzigo wako ukaenda kutafuta chakula,chooni,dukani kufata maji,vocha n,k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…