Rufaro JF-Expert Member Joined May 7, 2022 Posts 222 Reaction score 342 Aug 28, 2022 Thread starter #21 makaveli10 said: Tuna viongozi vilaza hawana vision, thinking capacity yao ni ndogo mnoo Click to expand... Vilaza wa mwendokasi kabisa
makaveli10 said: Tuna viongozi vilaza hawana vision, thinking capacity yao ni ndogo mnoo Click to expand... Vilaza wa mwendokasi kabisa
Waminyato JF-Expert Member Joined Jun 22, 2022 Posts 2,197 Reaction score 4,525 Aug 28, 2022 #22 serikali iachane kabisa na sisi abiria tunaopandia ofisi za mabasi,kule usalama mkubwa unaweza kuacha mzigo wako ukaenda kutafuta chakula,chooni,dukani kufata maji,vocha n,k
serikali iachane kabisa na sisi abiria tunaopandia ofisi za mabasi,kule usalama mkubwa unaweza kuacha mzigo wako ukaenda kutafuta chakula,chooni,dukani kufata maji,vocha n,k