Tumebadilishana rasilimali za nchi na PhD?

Tumebadilishana rasilimali za nchi na PhD?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Nyuki wa mama salaam, wazalendo mpo?

Safari ya Korea imezaa imetunda bwana. Kumbe PhD ya Jeshima ilikuwa inatuandaa kwa jambo lenyewe. Inamaama Korea ndio wametuona wajinga kiasi hiki mpaka tumebadilishana PhD na Madini na Bahari!

Mbona tunarudi kwenye Mikataba ya kina Mangungo! Kweli na usomi huu wa karne hii tunaingia mikataba ya kipumbavu kama hii? Kuna watu wanaomshauri kweli Mkulu.

Sasa tunaanza kuamini ni hela za kapeni zinatafutwa kwa udi na uvumba. Mtu mwenye uchungu na nchi yake na mzalendo wa kweli hawezi kufanya jambo kustajaabisha kama hili.

I'm so wonders kwakweli (kwa sauti ya Steve Nyerere).

PIA SOMA
- Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
 
Nyuki wa mama salaam, wazalendo mpo?

Safari ya Korea imezaa imetunda bwana. Kumbe PhD ya Jeshima ilikuwa inatuandaa kwa jambo lenyewe. Inamaama Korea ndio wametuona wajinga kiasi hiki mpaka tumebadilishana PhD na Madini na Bahari!...
"... na usomi huu wa karne hii..."
Nani msomi?
 
Ndio ndio!

Tafakuri!

"Wakati wanajeshi wetu wanamwaga damu mpakani kizalendo kulinda mipaka yetu,wanasiasa walipaswa kulinda rasilimali zetu,je ulinzi wa rasilimali zetu unaridhisha!!!?
Hauridhishi kabisa, ni kama anatekeleza kwa uzuri msemo wake wa kula kwa urefu wa kamba zao, yake ni kama ule msshale tulikuwa tunachora kwenye hesabu, hauna mwisho! Unachota mpaka ufie hapo hapo kama nzi kwenye kidonda
 
Mbona tunarudi kwenye Mikataba ya kina Mangungo! Kweli na usomi huu wa karne hii tunaingia mikataba ya kipumbavu kama hii? Kuna watu wanaomshauri kweli Mkulu.

Huo mkataba upo wapi sio kila mtu kauona? Vipengele gani vya mkataba vina walakini?

Nyie watanganyika mnapoleta habari muwe mnaleta na ushahidi otherwise ni umbea na udaku kama mwingine wote hamna tofauti na hao mnaowaponda.
 
Kuna jamaa alikua anataka kununua simu nikamwambia anipe 230,000 akakubali, ila qkaniambia kuna mteja anamleta nimwambie bei ni 260,000 iyo 30,000 atakuja kuichukua.

Kilicho nishangaza ni kwamba yule mteja aliye letwa alikua mama mzazi wa yule jamaa, yaani mtoto kamdalali mama yake.

Kwahyo usishangae kuona yanayotokea huko juu, tama imekua kwa kasi。
 
Huyu Rais hafai hata uenyekiti wa kijiji leo mnampatia Nchi.

Hata hao wazungu wenyewe hawana ujinga kama wetu!

Sema nini watanzania tuna tabia za ujinga mwingi hasa kujipendekeza( uchawa) na woga. Hizi nitabia za kimasikini sana.
 
Back
Top Bottom