Tumechezwa shere! Ruzuku ya bilioni 100 kwenye mafuta ni changa la macho

Tumechezwa shere! Ruzuku ya bilioni 100 kwenye mafuta ni changa la macho

Bro unadhani ile 100B kwa vituo vya gasi unadhani tungejenga vingapi?or wangeitoa io 100B yajengwe matank ya kiweza kuhifadhi mafuta kwa miezi 6 to yr?
tungevumilia within a yr or two tungekua tumesahau hizi shida. ni vile tu hakuna watu wenye maono na nia dhabiti ya kutaka kutatua tatzo, wanataka ku capitalize kwenye matatzo yetu, waume na kupuliza then maisha yaende.
Wahuni wanaangalia kwenye uwezekano wa kufanya tatizo liwe endelevu ili mfumo wa kupiga uwe wa kudumu. Walambe asali madumu kwa madumu mkija shtuka ndio ile unasikia waziri lameck atumbuliwa na Raisi kwa ubadhirfu wa fedha za umma wa Trillion 11 toka kwenye tozo za miamala ya simu. Mnabaki kusikitika tu dah 😀😀😀
 
Kinachonisikitisha ni kua ktk hili hatuna mipango ya muda mrefu...
kwa sisi tulioambiwa tuna akili ndogo tulizani ule mradi wa kujenga matank ya mafuta ya Tipper huu ndo ulikua muda wake kujengwa kwa kasi kubwa.
Tuwe na uwezo mkubwa wa kununua wakati bei ikiwa ndogo na kuyahifadhi incase of inflation

Tulizani pia huu ndo ulikua muda pia kuongeza vituo vya gas, na kutoa ruzuku km ile ya mafuta ili vijengwe vituo vingi vya kuunganisha gasi kwenye magari kwa bei nafuu na pia ujenzi wa vituo vya kuuza gas.

Inchi hii wasio na nafasi wana maono ila hawana uwezo wa kuyafanzia kazi, na wenye nafasi hawana maono so hawana cha kufanyia kazi, mwisho wa siku wote tunabaki kwenye endless loop ya malalamiko.
Utakuwaje na maono wakati una uhakika wa kulala miaka yako yote iliosalia duniani kwa hela ilioko kwenye account😁 na usitetereke kimaisha. Sio wewe tu na familia yako
 
Inasikitisha sana,sasa kulikuwa na umuhimu gani wa ile ruzuku ya kupunga kutolewa halafu mateso back yanaendelea si bora ile hela ingefanya Kazi nyingine muhimu au akili yangu ndogo? naomba mnifafanulie wana Jf.
 
Hakika, hakuna cha maana chochote wanachofanya, waache tu yafike elfu10 kwa lita moja...
 
Hili jambo nililiona jana, nikaingia kule kwenye market kuona live price, ya juu kabisa kwa wakati ule ikawa $99.4

Pengine ni muda wa nchi/TRA kutuvunjia kodi inayokusanywa kwa mwezi ili tujue wapi panatubeba.

1. Paye -
2.
3.
.
.
.

Bandarini hakuna makusanyo yoyote ni janjajanja TRA inategemea sana kwenye Provisional Assessment kama utakaguliwa utalimbikiziwa madeni utalipa ndo TRA wanapata hela. Kwenye VAT nako wanategemea ila bado kuna janja janja nyingi watu hawalipi VAT mfano unakuta mimi na wewe tunafanya biashara moja ya electronics mimi na VAT wewe huna bei ya TV hatuwezi uza sawa lazma wewe ushushe na mimi nipandishe ili kufidia VAT kwa ishu kama hii nani yuko tayar kulipa VAT?

Mwenyewe hapa silipagi VAT huwa nafile repayment hii nchi ukijifanya pasta utaishia kufanyia biashara TRA. TRA wakubali kukaa na wafanyabiashara ili tuwape ukweli wakijifanya wana forces basi wajue wafanyabiashara tunaakili kushinda wao, tunambinu kama za Russia kwenye vita.
 
Bro unadhani ile 100B kwa vituo vya gasi unadhani tungejenga vingapi?or wangeitoa io 100B yajengwe matank ya kiweza kuhifadhi mafuta kwa miezi 6 to yr?
tungevumilia within a yr or two tungekua tumesahau hizi shida. ni vile tu hakuna watu wenye maono na nia dhabiti ya kutaka kutatua tatzo, wanataka ku capitalize kwenye matatzo yetu, waume na kupuliza then maisha yaende.
ni tatizo la kuwa na viongozi ambao hawaumizi vichwa kutafuta suluhu ya changamoto za kiuchumi hususani wizara ya uchumi.
sasa ngoja mzungu alete gari za umeme ambazo hazitumii mafuta,watawa hawajuwi
 
EWURA imetangaza bei mpya za mafuta Tanzania kwa mwezi July. Ni bei kikomo na bei elekezi.. Maumivu ni kwamba mafuta yamepanda tena bei, kwa hiyo vilio zaidi vinakuja.

Hapa kuna kitu cha kushangaza mno kuhusu serikali yetu, na watu inaowaamini katika kutoa maamuzi...Hivi kuna haja gani ya kutoa ruzuku wakati serikali ingeweza kupunguza tu kodi ya mapato kwa kipindi hiki, huku pia ikipunguza ama kufuta kabisa tozo kwenye mafuta zinazofikia 21 toka organs za serikali? Ambapo baadhi ya organ hizo majukumu yake yanaweza kubebwa na organs nyinginezo?

Kuna nini kinafichwa hapa? Kuna nini kinalindwa hapa? Organs husika ni za serikali, ruzuku inatoka serikalini.. Sasa kujisumbua kote huku kunatokana na nini? Haioni ni kumtaabisha tu mwananchi wa kawaida na kumuongezea mzigo wa maisha magumu tayari aliyonayo!?

EWURA wamekuja na jedwali linaloonesha bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku ili kutuaminisha kwamba serikali imefanya kitu kumsaidia mwananchi. Kama hakuna agenda ya siri hapa basi huu ni uono hafifu mno. Kwenye duru za miamala ya fedha kutoa/kupunguza kuna faida nyingi kuliko kuongeza ama kujazia.

Yaani ni sawa na kuwa na mikono miwili kisha ukaanza kuitaabisha kwa kutoa pesa mfuko wa kulia na kupeleka mfuko wa kushoto na kinyume chake.. Hapo hakuna kitu bali ni michezo ya namba tuu.. Na kwenye kuchezesha hizo number kuna watu wanafaidika kwa kiwango kikubwa mno.

Serikali haimjali mwanamchi. Haimjali kabisaa. Serikali inajali maslahi ya taasisi zake tuu na faida ya wafanyabiashara wa mafuta. Vyovyote namba zitakavyochezeshwa faida ya mfanyabiashara inabaki palepale.. Huyu ni mungu mtu anayelindwa sana.

Chezesha namba kwa kupunguza kodi ya mapato na kufutilia mbali tozo za michongo uone kama mafuta hayatashuka kufikia chini ya 2500 kwa lita. Lakini kuchezesha namba kwa kuweka ruzuku ni upigaji mwingine wa aina yake na kutufanya sisi majuha sana.

Piga hesabu ya matumizi ya mafuta kwa siku kisha kwa mwezi uone hiyo hesabu yake, halafu linganisha na hiyo ruzuku ya million 100 uone jinsi watu wanavyolamba asali kwa vidole vyote.

Hebu ona wafaidikaji wa mafuta pindi yanapotua bandarini, ambapo mwisho wa siku mzigo mkubwa unaenda kwa mwananchi na si serikali ama mfanyabiashara.

1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.

Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.

2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita

3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.

4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita

5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita

6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita

7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita

8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita

9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita

10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita

11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita

12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita

13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita

14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita

15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita

16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita

17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita

18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita

19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita

Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.

Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita

2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita

3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita

4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita
Okay
 
Chazo kikubwa cha mapato serikalini ni mafuta... Kwa hyo wanaogopa kupunguza kodi kwa maana watapoteza ela nyingi sana kwenye mapato na watashindwa kula asali..

Ni aibu na fedhea nchi yenye watu zaidi ya mili60 inategemea kodi ya mafuta kwa ajili ya kuendesha nchi..

Serikali kama imeshindwa kutafuta vyanzo vingine vya mapato ni bora waombe ushauri kwa wanauchumi.. Husasa watafute hawa na professor wa vyuoni na wakina kimei.. Watoe ushauri
Proffesorior rubbish!
 
ni balaa mwaka huu yatafika 5,000
IMG-20230802-WA0001.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
EWURA imetangaza bei mpya za mafuta Tanzania kwa mwezi July. Ni bei kikomo na bei elekezi.. Maumivu ni kwamba mafuta yamepanda tena bei, kwa hiyo vilio zaidi vinakuja.

Hapa kuna kitu cha kushangaza mno kuhusu serikali yetu, na watu inaowaamini katika kutoa maamuzi...Hivi kuna haja gani ya kutoa ruzuku wakati serikali ingeweza kupunguza tu kodi ya mapato kwa kipindi hiki, huku pia ikipunguza ama kufuta kabisa tozo kwenye mafuta zinazofikia 21 toka organs za serikali? Ambapo baadhi ya organ hizo majukumu yake yanaweza kubebwa na organs nyinginezo?

Kuna nini kinafichwa hapa? Kuna nini kinalindwa hapa? Organs husika ni za serikali, ruzuku inatoka serikalini.. Sasa kujisumbua kote huku kunatokana na nini? Haioni ni kumtaabisha tu mwananchi wa kawaida na kumuongezea mzigo wa maisha magumu tayari aliyonayo!?

EWURA wamekuja na jedwali linaloonesha bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku ili kutuaminisha kwamba serikali imefanya kitu kumsaidia mwananchi. Kama hakuna agenda ya siri hapa basi huu ni uono hafifu mno. Kwenye duru za miamala ya fedha kutoa/kupunguza kuna faida nyingi kuliko kuongeza ama kujazia.

Yaani ni sawa na kuwa na mikono miwili kisha ukaanza kuitaabisha kwa kutoa pesa mfuko wa kulia na kupeleka mfuko wa kushoto na kinyume chake.. Hapo hakuna kitu bali ni michezo ya namba tuu.. Na kwenye kuchezesha hizo number kuna watu wanafaidika kwa kiwango kikubwa mno.

Serikali haimjali mwanamchi. Haimjali kabisaa. Serikali inajali maslahi ya taasisi zake tuu na faida ya wafanyabiashara wa mafuta. Vyovyote namba zitakavyochezeshwa faida ya mfanyabiashara inabaki palepale.. Huyu ni mungu mtu anayelindwa sana.

Chezesha namba kwa kupunguza kodi ya mapato na kufutilia mbali tozo za michongo uone kama mafuta hayatashuka kufikia chini ya 2500 kwa lita. Lakini kuchezesha namba kwa kuweka ruzuku ni upigaji mwingine wa aina yake na kutufanya sisi majuha sana.

Piga hesabu ya matumizi ya mafuta kwa siku kisha kwa mwezi uone hiyo hesabu yake, halafu linganisha na hiyo ruzuku ya million 100 uone jinsi watu wanavyolamba asali kwa vidole vyote.

Hebu ona wafaidikaji wa mafuta pindi yanapotua bandarini, ambapo mwisho wa siku mzigo mkubwa unaenda kwa mwananchi na si serikali ama mfanyabiashara.

1. Total Cost (CIF to Dar Port) = 1162 Tshs/Lita.

Then, LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES.

2. Wharfage = 20.6 Tshs/Lita

3. Railway Development Levy (1.5% CIF) = 17.4 Tshs/Lita.

4. Customs Processing Fee = 4.8 Tshs/Lita

5. Weights & Measures (WMA) Fee = 1.0 Tshs/Lita

6. TBS Charge = 1.2 Tshs/Lita

7. TASAC Fee = 3.5 Tshs/Lita

8. EWURA Fee = 6.1 Tshs/Lita

9. Fuel Marking = 14.1 Tshs/Lita

10. Demurrage Costs = 5.5 Tshs/Lita

11. Surveyors Cost = 0.18 Tshs/Lita

12. Financing Cost = 11.6 Tshs/Lita

13. Evaporation Losses = 5.8 Tshs/Lita

14. Fuel Levy = 413. Tshs/Lita

15. Excise Duty = 379 Tshs/Lita

16. Petroleum Fee = 100 Tshs/Lita

17. Oil Marketing Companies Overheads & Margins = 123 Tshs/Lita

18. Charges Payable to Executive Agencies = 1.0 Tshs/Lita

19. Service Levy Payable to Local government authorities (Ushuru wa Halmashauri~ Wholesale) = 5.7 Tshs/Lita

Total Wholesale Price Cap = Tshs/Lita 2275.

Then
1. Retailers Margin = 108 Tshs/Lita

2. Charges payable to Executive Agencies = 5.44 Tshs/Lita

3. Transport Charges (Local) = 10 Tshs/Lita

4. Service Levy payable to Local government authorities (Retail) = 6.1 Tshs/Lita
Serikali inajichanganya katika hili! Ukifuatilia sababu za bei ya mafuta kupanda mojawapo ni mabadiliko ya sera za Kodi..!! Haya mabadiliko vyovyote iwavyo vile yatamwathiri mlaji wa mwisho!!
 
Back
Top Bottom