TUMECHOKA: Sheria mpya zitungwe kuwabana Lecturers vyuoni wanaowalaghai kingono watoto wetu wa kike, mama zetu, wake zetu na wachumba wetu

Ukiangalia vizuri vyuo karibu vyote vina namna ya kudeal na matatizo kama hayo vizuri sana, tatizo watu hawafanyi kazi zao inavyotakiwa na wanafunzi wengi hawajui haki zao, wanafunzi wangeanza kuelimisha haki zao kutokana na walimu washenzi kama wapenda ngono au lectures wanaotoa false grades
 
Kuwe na sheria kabisa, hadi sasa haya mambo sana sana yapo kwenye by laws za vyuoni tu, wanaozisimamia unakuta ni ma lecturers hao hao ama marafiki zao, uchafu unafagiliwq chini ya kapeti, adhabu inakuwa ni kuhamishwa tawi ama kusimamishwa kwa miezi isiyozidi sita, huu ni ujinga tu wala si suluhisho,

Wapigwe pingu, waende gerezani miaka 10,

Kwa hali hii ndio maana wanasemaga usipeleke mke kusoma chuoni, hebu vuta picha tu mke unaetaka kumsomesha hata form 4 tu ana division 4 ama 3 ya kuchechemea, ni dhahiri kabisa huyo hata chuoni umewapelekea chakula lecturers, wakimtaka yani ni kumpunguzia maksi 5 tu kashafeli inabidi atoe tu huo mzigo ili apitishwe.
 
Have u ever thought bout girls wanaosumbua walimu/waadhiri vyuoni?
 
Huu uzi unanikumbusha machungu mengi na majanga niliyopitia chuoni, baada ya kutoka kimapenzi na classmate ambae Lecturer alikua anamsalandia. Nikae kimya tu.
 
Huna point. Kwana sasa hivi sheria inaruhusu? Halafu wakati mwingine haya huwa ni maneno tu ya watu waliofanya vibaya kusingizia kuwa lecturer amanifelisha.

Hawa watoto wana vituko...ukisikiliza upande wa ma lecturer wakuambie vituko vya hawa wanafunzi wa kike utashangaa
 
How wote ni watu wazima
Wanakubaliana
 
Dawa yao ni kuumizana kitamaduni.
Kuna lecturer wetu mmoja alikua anafaidi pisi flani hiv ya msela, baadae akaja kumstukia huyo msela wanachovya shimo moja. Lecturer akaanza kumuekea jamaa kiwingu, mwamba kaisoma degree anaenda mwaka wa 5 akasema huu ujinga, akaemda bush kwao. Mwamba hakulaza dam kilingeni lecturer akapigwa kipapai.
Huku na huku mzee wa watu haoni mbele, anaeza kaa mwez fresh af miez 2 mbele hali tete. Ikabd aende kwenye kisomo, maustaadh wakamchana tu kuwa hapa kuna nguvu ya utamaduni. Ikabd amtafte jamaa wayamalize.
After hapo mika iliofuata jamaa alikua anatoa pepa kama ya primary kila mtu aende
 
Lecturer atamfelishaje Kama uwezo anao?

Kwani hicho chuo hakina bodi ya rufaa scipt ikasahihishwe na lecturer mwngine?

ASILIMIA kubwa
Ya wanaogongwa na lecturer Ni wale mabinti vilaza, afu huwa wanajilengesha wenyewe ili waliwe.
Exactly [emoji817] vitoto vimalaya Malaya ndo vinajilengesha viliwe afu Nye Nye Nye...
Waambieni vibinti viache umalaya vyuoni pale law school pale marafiki zangu watatu pisi kaali wadada wa mjini wamesoma n wamefaulu hawajahi Hata kutongozwa kwa kua Wana akili zao binafsi


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Usiseme uwezo wa kawaida, Sema vilaza
Binti anayejitambua hawez kuvua chupi kisa matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…