joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
https://www.facebook.com/hahaa...kadanganye wajinga.ati bagamoyo iliahirishwa na magufuli ndio achunguze kama kuna rushwa??hakukuwa na pesa na hiyo information iko kwa public
Govt halts building of Bagamoyo Porthahaa...kadanganye wajinga.ati bagamoyo iliahirishwa na magufuli ndio achunguze kama kuna rushwa??hakukuwa na pesa na hiyo information iko kwa public
Govt halts building of Bagamoyo Porthahaa...kadanganye wajinga.ati bagamoyo iliahirishwa na magufuli ndio achunguze kama kuna rushwa??hakukuwa na pesa na hiyo information iko kwa public
mimi sijui kama imeahirishwa ama imekua cancelled,what i know nikuwa whatever rzn it was, hii ya kusema walitaka kuchunguza mambo ya rushwa is not there, ni kukurupuka mlikurupuka tu bila mpango kuanzisha hii project..mngekua na pesa na sifa za magu saa ii ingekuwa imeishaWeka link au taarifa inayoonyesha Bagamoyo project imefutwa, mimi ninakuletea inayo support haya ninayokuambia, japo wakenya kama kawaida yenu kutokuwa na information mlidanganyana kwamba project imefutwa, mkajiliwaza,
unaona vile unajicontradict,,mnakurupuka kuanzisha kitu na hamna pesa za kujenga,,hiyo ndio inaitwa kujitakia makubwa zaidi ya uwezo wenu..mpaka sasa haijajulikana kama itaendelea au laa kwa sababu hamna pesa bado mnaomba ombaNisaidie kushare hiyo link kwa wenzako tafadhali
Mradi huu ulisainiwa na rais wa China alipondembelea Tanzania mara tu alipochaguliwa, pesa zimetolewa na Exim ya China na ile ya Uarabuni, mbona hata pesa ya SGR tulikua tumepata toka China ila uncle Magu akazikataa?, wewe unamjua huyu mtu au unamsikia?mimi sijui kama imeahirishwa ama imekua cancelled,what i know nikuwa whatever rzn it was, hii ya kusema walitaka kuchunguza mambo ya rushwa is not there, ni kukurupuka mlikurupuka tu bila mpango kuanzisha hii project..mngekua na pesa na sifa za magu saa ii ingekuwa imeisha
wacha masihara wewe...hii ni kama machakos au hata ule wa governor johoView attachment 594799
Chamazi stadium, far better than Nyayo
sawa bana..nimechoka kubishanaMradi huu ulisainiwa na rais wa China alipondembelea Tanzania mara tu alipochaguliwa, pesa zimetolewa na Exim ya China na ile ya Uarabuni, mbona hata pesa ya SGR tulikua tumepata toka China ila uncle Magu akazikataa?, wewe unamjua huyu mtu au unamsikia?
Mbona una matatizo ya kuelewa?, nimekuambia pesa ilishasainiwa tunasubiriwa sisi tukiwa tayari ziletwe, China Exim Bank and UAE exim bank, au unataka link?, Tanzania sio nchi ya kukurupuka kama Kenyaunaona vile unajicontradict,,mnakurupuka kuanzisha kitu na hamna pesa za kujenga,,hiyo ndio inaitwa kujitakia makubwa zaidi ya uwezo wenu..mpaka sasa haijajulikana kama itaendelea au laa kwa sababu hamna pesa bado mnaomba omba
Come on man, unaongelea kauwanja kana two benches!wacha masihara wewe...hii ni kama machakos au hata ule wa governor joho
nmesema ivyo kwa sababu nimesoma hapo kwa hiyo link ukiyonipa...Mbona una matatizo ya kuelewa?, nimekuambia pesa ilishasainiwa tunasubiriwa sisi tukiwa tayari ziletwe, China Exim Bank and UAE exim bank, au unataka link?, Tanzania sio nchi ya kukurupuka kama Kenya
Vipi kuhusu kubeba mafuta kwa barabara?nmesema ivyo kwa sababu nimesoma hapo kwa hiyo link ukiyonipa...
“It all depends with the financial resources. If we get the funding soon the projects will run,” he said. The initial works for the construction of the Bagamoyo Port had already started after former President Jakaya Kikwete officially broke ground last October. Residents have also started being compensated and relocated to other areas to pave way for the project.
hapo walikuwa wanasema wanatafuta pesa bado so kuwa mpole...anyway..yaishe
Hiiii haiwezi host chan...TZ mko na uwanja moja pekee yenye viwango
so tunekubaliana mlikuwa hamna pesa kutoka kwa link yako uliyoileta na mlikurupuka ama bado ndio tuende kwa mafutaVipi kuhusu kubeba mafuta kwa barabara?
Uwanja yenye zulia haiwezi tumika 'fifa rules" ila ni nyasi real pekeee inatakiwa.(DECO grass)Come on man, unaongelea kauwanja kana two benches!
Ndio maana wamewapora nafasi ya host CHAN.
huu ni uwanja wa Uhuru (Uhuru stadium) uko under maintainance!
View attachment 594809
Come on man, unaongelea kauwanja kana two benches!
Ndio maana wamewapora nafasi ya host CHAN.
huu ni uwanja wa Uhuru (Uhuru stadium) uko under maintainance!
View attachment 594809
Pia KISUMU kuna uwanja kama hiii exactly but ilikataliwa last yearView attachment 594799
Chamazi stadium, far better than Nyayo