Tena hawa walistahiri viboko vingi kabla ya kwenda jela,..Kamuanzishie dawa haraka kabla hamjamuua bwana mdogo kwa conspiracy zenu za kitoto
Sasa kuna mtu ambaye hana mawazo ?Lakini anaishi na Mawazo
so sadJidanganyeni tu, nina ndugu yangu anateseka na huo ugonjwa sana.....inaniuma sana, mtu aliyeolewa bikra leo yupo wa kuzoa kitandani.
Na sio kwamba alikuwa hatumii dawa, katumia sana.....ugonjwa umeenda kuibua magonjwa mengine makubwa now yupo anateseka kitandani.....😭😭
Kinachomuua ni hayo MADAWA.Jidanganyeni tu, nina ndugu yangu anateseka na huo ugonjwa sana.....inaniuma sana, mtu aliyeolewa bikra leo yupo wa kuzoa kitandani.
Na sio kwamba alikuwa hatumii dawa, katumia sana.....ugonjwa umeenda kuibua magonjwa mengine makubwa now yupo anateseka kitandani.....😭😭
Natamani waingie kwenye hamsini zangu niwapige viboko mpaka akili iwakae sawaTena hawa walistahiri viboko vingi kabla ya kwenda jela,..
ndo hawa, wanawapeleka wagonjwa kwenda kuombewa na kuambiwa waache DOZI,...shenzi type
Huyo mnaweza zika akiwa na nusu kilo ,endelea kumdanganya na tuchips na tunyama twa kuku muone Kama atatoboayaani vikimuibukia anasahaulika ndani ya sekunde
Ni HIV sio HIB we dogo
Uzur haujawapa ngoja ukupate uone rang rang wenzako wanatia hurumaWadau hamjamboni nyote?
Mjumbe mmoja tu tena mbishi kweli na anajifanyaga kasoma na mjuaji ndiyo kapinga azimio letu!
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima za kipekee
Mchana mwema
Aah sie tunataka peku peku kama mpotoCD4 below 200?. Vijana nawasihi acheni ngono zembe gojwa hili ni zito na linamaliza vijana. Mishangazi na Mimama yenye makalio makubwa na wale weupe na mapaja yenye michirizi na mishipa ya damu ya kijani ni magwiji wa retroviruses.. usicheze peku kabisa Dr Remmy Ongala aliwahi kuimba “Mambo kwa soksi” .. I gotta go!
She is no more.....ni uchungu tu😭😭😭 Tuombeni Mungu atulinde na haya maradhi na sisi tuchukue hatua tujilinde.😥 pole wifi, watu wanaona km mzaha huo ugonjwa.!!
Mungu awatie nguvu na amponye mgonjwa..!!
Madai aliambukizwa ndoani, We cant judge hatuyajui yote....Mola ndo mjuzi wa kila kitu.Kama alikuwa bikra, Aliambukizwa au alizaliwa nao?
kikao kilichopita hukuwepo lakiniWadau hamjamboni nyote?
Mjumbe mmoja tu tena mbishi kweli na anajifanyaga kasoma na mjuaji ndiyo kapinga azimio letu!
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima za kipekee
Mchana mwema
Mungu akutie nguvu, Poleni sana 😥She is no more.....ni uchungu tu😭😭😭 Tuombeni Mungu atulinde na haya maradhi na sisi tuchukue hatua tujilinde.
Inawezekana. Last seen yake inaonesha Oktoba 2022 inamaana anakwenda mwaka wa tatu hajatimba humu. mwamba alipoteza watu sana humu na seori zake zisizo na rejea yoyote ya kisayansi.Nasikia eti mkuu Deception aliyekuwa mpingaji mkuu wa huo ugonjwa nae ameng'oka kwa ugonjwa huo ndio maana haonekani muda mrefu sana humu
SureInawezekana. Last seen yake inaonesha Oktoba 2022 inamaana anakwenda mwaka wa tatu hajatimba humu. mwamba alipoteza watu sana humu na seori zake zisizo na rejea yoyote ya kisayansi.
sure